Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Ni Mechi 2 hapo ya Man United na Everton
Man U tunashinda mkuu 0-2 nimwambia hata Belo usiwe na hofu nao
Ni Mechi 2 hapo ya Man United na Everton
Naona umejiunga Liverpool ya Malafyale ambaye kila msimu anasema anachukua ubingwaMsimu huu hamtufungi hapo OT tunawapiga 0-2 tutarudi kuijadili hii baada ya mechi
Ligi tunachukua kwa tofauti ya 6pts
Naona umejiunga Liverpool ya Malafyale ambaye kila msimu anasema anachukua ubingwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpumbavu peke yake asiyejua maana ya soka ndiye anaweza kuongea ujinga Kama huu unaoongea wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Most neutrals even in Uk are divided on whose season is this...Absolutely man!!
Yaan imebak mashabiki wa liverpool tu dunian + jiji la liverpool(though limegawanyika), na wale british pundits wakiongozwa na carra ndo wanaotusupport liverpool..
The rest of the world is against us
Liverpool vs everyone!!!
We will fight till the last drop!
kabisa hali tete kotekote,hapa ni kupambana hatuna namna...
Sasa Wewe una timu ya kupeleka uefa? Au unatafuta tu kiki kwamba arsenal nayo ipo uefa.!Mzee wakujiteka upo,
Utakapocheza na man city, na siku mtakapokutana na manyumbu, ndio siku nitakapowaacha solemba wewe na manyumbu,
Sent using Jamii Forums mobile app
City atampiga Everton halafu kwake naenda kutafuta draw..Wewe karibu Man City watakurudisha ICU
ni sahihi na kimbaya zaidi timu tunazokutana nazo watakopi na kupaste haya yaliyotutokea hizi mechi mbili...Ukiangalia Games 2 tulizopoteza points 4 basi timu yetu haipo vibaya kama watu wanavyoiongelea.
• Leicester wametufunga goli kwa Set-Piece
• West Ham pia wametufunga goli la aina kama ile la Set-Piece.
Sasa hapo tumepoteza points 4 kwa kushindwa defend Set pieces.
Kwahiyo Klopp kama kocha anatakiwa alifanyie kazi hilo tatizo ili lisiwe linajirudia kwani kila kocha anatusoma kwenye udhaifu huo.
Without poor defending on set piece basi Leicester na West Ham wasingeliweza kusawazisha Yale magoli.
Kwahiyo kabla ya next game kocha anatakiwa afanyie kazi tatizo la set piece.
Hahahaha kwa mbinde..Naiona liver ikishika nafasi ya tatu, tena kwa mbinde!
Huyo man u huwa anipi tabu yeyote kabisa. Najua ni wap atapotea..kwanza OT kama ilivyo Anfield, nitakuja kuchukua point zote sita napita nazo bila shaka yeyote.Mkuu Chuga, umepotea humu si kawaida yako...
Jpili huu mfupa alieshidwa Dully na Aroon ebu watulize bana tupumue...
ukizembea Manure nafasi ya nne ya kwao hivyo piga kazi kazi
at Bayern he had Lewodski, Piere n.k n were effective sana, sasa hapa sijui kwa nini anaona shinda kuleta a proper goal scorer wa 25+ goals...Na Klopp ingawa ndiye anayejua soccer management lakini Next season kama kweli kakusudia kupambana basi asajili Striker wa 20+ goals per season kwenye EPL tu na wala so all competition.
Tunao Salah, Mane na Firmino lakini ninonly Salah ambaye anaweza kufunga 15+ per season kwenye EPL.
Firmino na Mane katika Career yao yote Kwenye ligi hawajawahi Kufikisha goli 15 per season.
Kwahiyo hao si wafungaji na ndiyomana wanafunga kwa zamu.
√ Akianza kufunga Salah, Basi Mane na Firmino huwa ni Wazururaji.
√ Sasahivi Anafunga Mane, Basi Firmino na Salah hawana tofauti na Adam Salamba.
√ Akianza Kufunga Firmino, basi Salah na Mane wanakuwa sawa na Solanke.
Kwahiyo tunahitaji Mfungaji mwenye Consistency kwa kipindi chochote kile.
Unakuta mtu kama Aguero na Harry Kane wanakaa injury lakini wakipona Hawamuachi mtu Salama.
Lakini sisi Washambuliaji wetu wanafunga Kama Hopa za Vipindi.
Anza na Citi ndio tuelewane ndugu...Huyo man u huwa anipi tabu yeyote kabisa. Najua ni wap atapotea..kwanza OT kama ilivyo Anfield, nitakuja kuchukua point zote sita napita nazo bila shaka yeyote.
Arsenal imeshajifia muda haina tofauti na QPR..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipigwa unajipiga bani week.Huyo man u huwa anipi tabu yeyote kabisa. Najua ni wap atapotea..kwanza OT kama ilivyo Anfield, nitakuja kuchukua point zote sita napita nazo bila shaka yeyote.
Arsenal imeshajifia muda haina tofauti na QPR..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ..umeona eeh ...akifungwa huyo haonekani kabisa..mbaya zaidi anajiaminisha kushinda mechi za away wakati anajua kabisa kuwa ni ngumu kupata point Tatu..kuja siku nilienda jukwaa la Chelsea nikawaambia kama mzaha kwamba wana nyakati ngumu kwani mechi zote za top 8 watamalizia away ukianzia Arsenal, man city ,man utd,Liverpool ,Everton na Leicester city..kasoro mechi yao ya Tottenham tu ndio watakuwa darajani.sasa kutokana na ratiba hiyo wa naweza kukuta wanapeteza points nyingi na kujikuta wapo hata chini ya arsenal ila wakawa wakaidi.sasa now arsenal wamewaprove wrong.. Na city anafuata mwisho wa siku anajikutq anajibiga ban ya wiki isiyo na sababu..ndio shida ya kujipa matumaini hewa wakati unajua mambo Ni magumu kwao .so mkuu mzoee tu siku si nyingi atakimbia tena jukwaa!
We chalii unakimbiaga jukwaa mpaka watu tunapatwa na wasiwasi labda umejirestisha.Huyo man u huwa anipi tabu yeyote kabisa. Najua ni wap atapotea..kwanza OT kama ilivyo Anfield, nitakuja kuchukua point zote sita napita nazo bila shaka yeyote.
Arsenal imeshajifia muda haina tofauti na QPR..
Sent using Jamii Forums mobile app