Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078

nyepesi na walio nafasi ya 5,6n.k nao watasema aje..Ndo mana tunasema hamna uwezo wa kuchukua epl kwa 7bu timu yenu nyepes,
Sent using Jamii Forums mobile app
Walio nafasi ya 5 & 6 pengn ni wabovu zaid lkn na nyny hamna timu ya ubingwanyepesi na walio nafasi ya 5,6n.k nao watasema aje..
huo wepesi unaujua wewe, wenye timu yao wala hatuna shinda mpira unaduda hivyo mtulieee hivyo hivyo wanaojua washindane wengine mtabaki kumeza mate tu..
YNWA
ni mind games fulani...soka ya siku hizi inachezwa kwa staili nyingi, wazee kubeti, mitadao ya kijamii ndio balaa,magazeti nayo vile vile n.k..Kauli ya Pep ilinistua yaani hadi manure daaah
kuongoza ligi ukiwa mbovu haipo nduguvhivyo usilazimishe kumbali umezidiwa kabisa..Walio nafasi ya 5 & 6 pengn ni wabovu zaid lkn na nyny hamna timu ya ubingwa
Sent using Jamii Forums mobile app
kuongoza ligi ukiwa mbovu haipo nduguvhivyo usilazimishe kumbali umezidiwa kabisa..
ni kama ni ubovu hua unaotaka kulazimisha basi tunazidiana maana walio nafasi ya 5,6 si wabovu tena mbali wameoza
Tukutane May 12, 2019 ndani ya Anfield Tukizunguka pitch kwa Shangwe na Kombe letu la EPL
Mkuu leo tuwe upande wa Everton ili kuwapa tafu hawa jamaa ..maana wamesha anza kuchanganyikiwa.Leo tupo upande upi?
Hahahaha sasa ivi hii timu inaomba timu ingine ishinde ili wao waendelee kuongoza ligi. Hahaha
Siku hizi mumekuwa wachawi hhahahaKama kawaida naiombea mabaya Man city![]()
ni mind games fulani...soka ya siku hizi inachezwa kwa staili nyingi, wazee kubeti, mitadao ya kijamii ndio balaa,magazeti nayo vile vile n.k..
hapa ni sisi kutulizana tu mpaka pale tunalipokea kombe kutoka Ethad ndio shangwe zianze...
sipati picha Walker atakavyokua amevurugwo maana siku izi kageuka kua msemaji wa Manciti department ya vijembe