Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Inauma sana kiukwel kikombe tunakipoteza hivihv kulikuwa kuna haja gan ya kumuuza clyne ilihal hatufanyi usajil wa mbadala wake na uhakika game ya united kama tutapata n point 1 tumebaki kusubir timu nyngne situsaidie kumtuliza city wakat ss wenyewe hatuonesh jtihada yeyote

Sent using Jamii Forums mobile app


Mipango mingine ya kocha wetu ni bangi bangi tu mwanaLFC mwenzangu

Kumpanga Lallana kwenye serious game kama hii ndio unaelewa management ipo katika hali gani
 
Klopp atarudi na vijana Melwood tutajipanga mechi ijayo nyumbani!
Mwenzetu alishindwa pata hata sare hiyo ugenini kwa Newcastle!
Sasa mkuu hizi sare zimetusaidia nini,pamoja na man cty kupoteza dhidi ya new castle kaaumbulia point 3 ktk match 2 huku sie na sare zetu tuna point 2 gape linazidi kupungua alafu unajisifia kuwa man cty alishindwa pata hata sare
 
Klopp is Genius
we might as well find ourselv at 3rd position come end of th season...

guys not clicking, no plan whatever...

whats more worrying is Allison t like he has switched off since turn of th year...

Jan n Feb blues still eating us up slowly...

Pep had th last laugh today...

we aint in FA, Carabao n yet th guys wanacheza kama wapo mazoezini...
 
Klopp is Genius
FB_IMG_1549299734535.jpg
ati unasema??
 
Screenshot_20190205-005107.jpg
Pelegrini be like....natetea timu yangu ya zamani kama wewe ulivyotetewa na Rafa kuiua City


natania tu
 
Our race is over honestly
Tukutane may
Kila lenye heri katika ujenzi wa timu yetu
hahaha dont give up yet...

Jan n Feb have been Kloop spiral months...

tho vijana wanaonekana wamechoka balaa yaaani creativity haipo, without a proper RB tutazidi kuumia..umeona upande wa Robo ni kazi kazi mwanzo mwisho...
 
Aliyepigwa na Newcastle ugenini ndiyo kwako genius!!
Points 3 clear at the top
Haina ubaya wowote
hivi we mwenzangu ni mwenzetu kweli au ni usalama wa taifa?yani unasema point 3 clear wakati kila tunavyoenda mbele tofauti inazidi kupungua kweli ukistaajabu ya musa utaona ya firauni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
the man blew the FA cup on purpose to focus on the league., and this is what he brings onto the table

the end is rhetorical
Manciti going for treble...

here we have Bavarians n Manure on th horizon n yet we seeem lost..t bit scary ahead if measure r not in place
 
hahaha dont give up yet...

Jan n Feb have been Kloop spiral months...

tho vijana wanaonekana wamechoka balaa yaaani creativity haipo, without a proper RB tutazidi kuumia..umeona upande wa Robo ni kazi kazi mwanzo mwisho...
Loaning Clyne will prove to be the watershed if we dont clinch this shit.

Been eluding us like a rich chick
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom