msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,706
- 8,841
City akishinda jumapil zitabaki point mbili kuwafikia..nahisi jumatatu mtacheza kwa presha sana
City akishinda jumapil zitabaki point mbili kuwafikia..nahisi jumatatu mtacheza kwa presha sana
Nimeona mnamlalamikia sana kama ndio chanzo cha kudrop 2 pts nikajua kalikoroga kama kawaida yake kuna mdau kanijibu kuwa Robati ndio kasababisha.Sijaelewa mantiki ya swali lako na post yangu
by th tym Klopp wake up to th reality of issues il be where we started "i wish "Hate it when Hendo can't even make man city bench yet he is our Box-to-Box captain.
Shows how unambitious we are.
😡😡
mkuu ebu kwanza tupe raha piga hao Manciti n il dare dream again winnin th EPL..Nmekutana na ww Mara mbili
Msimu huu. Bado awamu moja ambayo najua ntashnda tyu
mkuu hio game usikae mbali na maji ya baridi hio ndio pona yako na si kingine.Tunaenda kuwaface Bayern Munich UEFA without our 2 reliable CB’s Van Dijk(yellow cards) na gomez(injured)..
kama game na wolves ilkua vile bila hawa.. bado sipati majib hiyo game vs bayern itakuaje
Keita was damn frustrated, just wen th boy s picking up th rythym sub hii hapa, Keita couldnt hide his concern kiasi alitupa gloves zake chini kwa hasira..If you want to win the title there is Siple way just try it! Ikifika 67' minutes send out Keita kisha ingiza Lallana.
This English Messi will give you a result.
Kimsingi tunaongoza ligi kwa tofauti ya point 5 sio kwa sababu tupo vzr la hasha kwa kuwa tu sometime mchezo wa mpira una maajabu yake flani flani hv.
kabisa, vs Foxes Mane was on song, n Salah was just there somewhere....The way our team is playing this season you'll never see Mane and Salah to be on fire at the same time!
When Mane is on fire, Salah anakuwa headless chicken
When Salah on fire, Mane anakuwa Headless chicken.
wen Fergie used to win titles for fun he ws being damn calculative...defence imara ndio priority kwakeTumejikuta tu tunaongoza, ndiyo maana hata strategy za kuendelea kuwa juu hazieleweki.
Mkuu Klopp bado anaikumbuka liverpool ile ya 70s n 80s wakati wachezaji wa uingereza scotland walituletea makombe mengi tu...ndio maana utaona anang'ang'ania wachezaji wasiokua na faida kwetu...Klop kwenye usajiri wa wachezaji kulingana na bei yupo vizuri,kwenye kufundisha napo huyo vizuri tena sana.tatizo lake kubwa ni kwenye kupanga kikosi na kubadili formation ya timu kipindi ikiwa inacheza yani eneo hili ni F kabisa.
Klop kwenye usajiri wa wachezaji kulingana na bei yupo vizuri,kwenye kufundisha napo huyo vizuri tena sana.tatizo lake kubwa ni kwenye kupanga kikosi na kubadili formation ya timu kipindi ikiwa inacheza yani eneo hili ni F kabisa.
HahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahKlopp ni sawa na mwanafunzi mwenye juhudi nyingi za kujisomea na kununua vitabu vya gharama, anasoma tuitions nyingi na kujisomea sana mpaka usiku kucha, lakin akifika kwenye chumba cha mtihan anaanza kutetemeka ma kuchagua maswal kiholela na mwisho wa siku anafeli vibaya.