Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tunaenda kuwaface Bayern Munich UEFA without our 2 reliable CB’s Van Dijk(yellow cards) na gomez(injured)..

kama game na wolves ilkua vile bila hawa.. bado sipati majib hiyo game vs bayern itakuaje
 
If you want to win the title there is Siple way just try it! Ikifika 67' minutes send out Keita kisha ingiza Lallana.

This English Messi will give you a result.
Ile hali alotoka nayo atakua anamchukiaje Clopp na kama ndivyo si atacheza. Kwa mashaka kiasi cha kuasili kiwango chake?

Maana mpaka sasa mimi naamini kiwango chake kimeasiliwa baada ya kuweka benchi mechi ya 2 na ya kwanza alicheza vizuri tu.
 
The day Klopp alipomtoa Clyne kwa loan nilimpongeza kwa uwamuzi wake nikiamini kuwa yeye kama ni Kocha anayejua "Soccer management" tayari alikuwa na backup plan Yake juu ya Maamuzi ya kumuondosha Clyne! But I was wrong....

Jamaa kamuondosha Clyne huku akiwa hajui nini cha kufanya????

Now Hendo is RB

Not too far tutakuja kushuhudia Mignolet anacheza RB na Lovren Midfielder
 
Nyamaza hujui chochote kuhusu soka. "Soka menejimenti"
The day Klopp alipomtoa Clyne kwa loan nilimpongeza kwa uwamuzi wake nikiamini kuwa yeye kama ni Kocha anayejua "Soccer management" tayari alikuwa na backup plan Yake juu ya Maamuzi ya kumuondosha Clyne! But I was wrong....

Jamaa kamuondosha Clyne huku akiwa hajui nini cha kufanya????

Now Hwndo is RB

Not too far tutakuja kushuhudia Mignolet anacheza RB na Lovren Midfielder

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The day Klopp alipomtoa Clyne kwa loan nilimpongeza kwa uwamuzi wake nikiamini kuwa yeye kama ni Kocha anayejua "Soccer management" tayari alikuwa na backup plan Yake juu ya Maamuzi ya kumuondosha Clyne! But I was wrong....

Jamaa kamuondosha Clyne huku akiwa hajui nini cha kufanya????

Now Hwndo is RB

Not too far tutakuja kushuhudia Mignolet anacheza RB na Lovren Midfielder
Na CB utakuta anacheza Milner...

twendeni tu yajayo yanaogopesha
 
Halafu anatokea James Pearce anakwambia "We are still in good shape" kisa tunaongoza kwa 5 points?

What the fuvck!! 5 points is nothing coz only Man U and Everton can kill our dream
 
Jumapil naenda kumng'ang'ania man city, ikiwezekana namzabua kabisa,

Mshindwe sasa kuongeza gape la point, nitawashangaa sana,

Iwe mvua iwe jua, man city lazima nikaondoke na point, haijalish ni 1 au 3

Sent using Jamii Forums mobile app

Mwisho wa mechi City 5 - 1 Arsenal.

Tatizo mkishinda mechi 1 mnasahau shida zote kama mlivyoamini mtamfunga Liverpool anfield na united FA CUP
 
The way our team is playing this season you'll never see Mane and Salah to be on fire at the same time!

When Mane is on fire, Salah anakuwa headless chicken
When Salah on fire, Mane anakuwa Headless chicken.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom