Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,533
- 81,262
Hahaha lazima mchukie tu lakini hamna namna. Ukitaka kujua Salah sio diver cheki game yetu na Bournemouth, kuna goli alifunga lakini katika process alifanyiwa foul kiasi kwamba ingekuwa huyo Hazard wenu angejirusha kama aliechomwa mkuki na angeweza kumsababishia mtu red.Refer ile penalty aliyopewa dhidi ya arsenal ..huoni reffaree wa England wanambeba sana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini Mo alijitahidi kuenda mpaka akafunga goli. Ile incident moja tu ya juzi imeshamfanya amekuwa villian.
Smfh
