Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Guys do you remember this day. Ulikua wapi? Siku hii mimi nilikua Sinza Meeda, nilipata temporary paralysis sikuweza kuondoka mpaka after a few hours hata beer nilizokuwa nimekunywa sikusikia stim yake

Japo matumaini yalishafifia katika ile game ya Chelsea ila hapa ndio kabisa jamaa walipigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza letu.View attachment 999521View attachment 999523View attachment 999524

Baada ya kufungwa na Chelsea, sikuangalia game yoyote.

Maana nilimmind kocha balaa.
 
Guys do you remember this day. Ulikua wapi? Siku hii mimi nilikua Sinza Meeda, nilipata temporary paralysis sikuweza kuondoka mpaka after a few hours hata beer nilizokuwa nimekunywa sikusikia stim yake

Japo matumaini yalishafifia katika ile game ya Chelsea ila hapa ndio kabisa jamaa walipigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza letu.View attachment 999521View attachment 999523View attachment 999524
Dah... i was a liverpool myself wengine walikua chelsea na man utd dah... nilinata mwili akili na roho... nikajiambia

hiyo ni record mechi bado haijaanza... nikatamani iwe taarifa ya habari
na jamaa toka hapo wanakamia this two season ndo tumewaweza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikuona fault ya kocha ule msimu, BR alijitahidi sana asee maana kwanza bado hakuwa na mda mrefu kwenye management at a top club.

Ndio maana hata baada ya kuondoka LFC aliathirika pyschologically.

Mimi ile game ndo niliona kocha siyo Champion material.

Ile mechi tulihitaji only 1 point ili kuendelea kuwa juu, Chelsea walikuja na mentality ya kulinda, sisi tukawa tunashambulia timu yote inaenda mbele.

Kocha mwingine angefanya sawa na wao, cheza counter kwa kutafuta point 1 tu, game zilizokuwa zimebaki zilikuwa ni nyepesi kushinda.
 
8de0a4dd2120afceab6a9b7be6acdfd2.jpg


cc MosDef ... unamuona El nino hapo

People still underrating that GUNMAN

most complete CF to ever played for LFC
 
Mimi ile game ndo niliona kocha siyo Champion material.

Ile mechi tulihitaji only 1 point ili kuendelea kuwa juu, Chelsea walikuja na mentality ya kulinda, sisi tukawa tunashambulia timu yote inaenda mbele.

Kocha mwingine angefanya sawa na wao, cheza counter kwa kutafuta point 1 tu, game zilizokuwa zimebaki zilikuwa ni nyepesi kushinda.
Kuna kitu kinaitwa arrogance, alikua na tripple S ina Sterling, Suarez and Sturridge. Goals were coming so he did not care about conceding two and scoring four or five or even six.

We won matches in that fashion that season. Akakutana na master wa tactics za kuzuia, he bottled it. It was very close. Hope this time around we are going to grab it with a couple of matches to be played.


I am excited
 
Didnt watch the game today

heard the gammon head got a red card

how was Naby? shit at LW again? i mean why paying 50m for a CM and play him as a left winger?

heard Fabinho got injured? any news?
Yeap Jimbo got a red, he was unlucky to be defending against a top notch Zaha. Naby started but was quiet most of the time. He was played out of position though (as always).

I don't think Fab's injury is a major concern, it was only a knock and given we have nearly ten days off he will surely be available when we get back to business.


Henderson made a 'make shift' man of the match performance today.
 
Yeah man, not el nino, el pistolero. E
El Nino was amazing but Suarez offered more to the team play than goals. He was a monster on the pitch, he did not like to lose games.

A few unpro things might cloud all that but put it aside, he's one of the best

Said on here that Suarez is the 3rd most talented ST of all time

but Torres was ruthless in-front of goal, SG played with Torres and Suarez katika teams mbili tofauti zilizokaribia kuchukua EPL, but ukimuuliza atakwambia he enjoyed playing with Torres more..

Torres had everything pia, pace, dribbling, passing, shooting technique, positioning, behind-runs etc
 
Yeap Jimbo got a red, he was unlucky to be defending against a top notch Zaha. Naby started but was quiet most of the time. He was played out of position though (as always).

I don't think Fab's injury is a major concern, it was only a knock and given we have nearly ten days off he will surely be available when we get back to business.


Henderson made a 'make shift' man of the match performance today.

Henderson man of the match? no wonder we conceded 3 looool

Klopp playing Keita out of his preferred position again, he's literally doing what Mourinho did to Pogba.

ruining Keita, so painful
 
Said on here that Suarez is the 3rd most talented ST of all time

but Torres was ruthless in-front of goal, SG played with Torres and Suarez katika teams mbili tofauti zilizokaribia kuchukua EPL, but ukimuuliza atakwambia he enjoyed playing with Torres more..

Torres had everything pia, pace, dribbling, passing, shooting technique, positioning, behind-runs etc
He was a top striker too. But given the needs of the morden game where the team attack and defend as a unit, Suarez will always be my man.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom