Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,533
- 81,262
Mimi nadhani tufocus zaidi kwenye kushinda sisi wao pressure iwaue watajua wenyewe.Count on ... They will drop 4 points in 5 games starting tomorrow
Mimi nadhani tufocus zaidi kwenye kushinda sisi wao pressure iwaue watajua wenyewe.Count on ... They will drop 4 points in 5 games starting tomorrow
huyu kakua sasa si Zaha yule wa Man U, kwa mentorship ya Klopp naamini ata shine sana.
Ila Liverpool itakua inashinda tu,eti Tanganyika football expert..!?Count on ... They will drop 4 points in 5 games starting tomorrow
Count on ... They will drop 4 points in 5 games starting tomorrow
kabisa th guy can break any defence, good dribbler pia...Ila sawa. He will be a good squad player. Baada ya kutu terrorise kwa misimu kadhaa sasa nadhani aje tu ili atupumzishe ba pressure
palace wanajua huyu ni dhahabu kwao kama sikosei contract yake mpya ana £150k per week..Huwa sielewi mchezaji kama Zaha anakuwaje Palace mpaka sasa...He's too good for Palace.
Ukiacha front 3 za hapo Liver...Sioni nani ana kiwango cha Zaha
Sent using Jamii Forums mobile app
yap mechi bado nyingi mno, wao kuna wakati watapoteza tu na sisi pia ndio soka ilivyo..Mimi nadhani tufocus zaidi kwenye kushinda sisi wao pressure iwaue watajua wenyewe.
Umeiona hiyo alama ya / niliyoiweka hapo?auITV hawajawahi kuonyesha EPL, wao walikuwa wanaonyesha Champions League kupitia CFI tu. One game live inaanza saa tano kasorobo halafu nyingine recorded inaanza saa saba usiku.
Who are you?😀😀😀
Mimi nitawaignore ili nisiwe napata post zao
Ahsante ndugu yangu kwa kunisaidia,ubarikiwe maana hiyo ndio ilikuwa maana yangu kuu



Leo nimeona pengo la mholanzi kwenye middle...yap mechi bado nyingi mno, wao kuna wakati watapoteza tu na sisi pia ndio soka ilivyo..
sisi tudili na yetu mpaka mechi ya mwisho vs Wolves Anfield itajulikana mbivu na mbichi..
kwa perfomance ya leo wakuu ni ujumbe tosha kabisa, pamoja na majeraha tulionao tumejipanga kupambana mpaka mwisho wa msimu.
good news Ox is training well, by end Feb tunaweza kumuona..
Manure gari halijawaka likiwaka utanikuta kulembona manure kwa sasa kupo active lakini upo huku au huwa unakuja huku kumpa kampani best ako
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeiona hiyo alama ya / niliyoiweka hapo?au
Manure hao ukiwaangalia wanapata matokeo.ila wana udhaifu, njoo alhamic uone kipigo ninachowapa kwenye FA CUP niwaoneshe kuwa manyua ni wale walembona manure kwa sasa kupo active lakini upo huku au huwa unakuja huku kumpa kampani best ako
Sent using Jamii Forums mobile app