Mimi sio shabiki wa liverpool ila mumetaja wachezaji lakini kuna haya majembe....
Alonso
John anne riise
Steven Gerrad
Torres
Owen/Robbie Fowrer
Walikuwa wananipendeza kuwaona
HaaaaaSalaam humu ndani , uvumilivu utawale ,mchezo tunao upenda ni wa kiungwana, matusi na mipasho tusiipe nafasi
Nabby anapenda kucheza akiwa free. Achukue mpira from any angle, afanye dribling some distance ampunguze midfield wa adui, then aingie third part ya adui.sure bro.
hakukua na haja ya kumsubiri whole year kuja kwake alafu aje awekwe mkekani tu...
Kadiri ya kutokuchezeshwa ndio kujiamini kunapotea which its among factors of good performance and classic
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu ni Arsenal dully?Akili zako zikitulia huwaga unatema madini sana mkuu ila ukivurugwaaa hahahaahaha hapa nakuunga mkono kwa asilimia zote
need to be trusted
think he will start against CP this weekend
so lets hope Klopp plays him to his strength
Nipo upande wako mkuu Clopp kesha kariri wchezaji wake mpaka sub anawafanyia haohao tu
Mimi sio shabiki wa liverpool ila mumetaja wachezaji lakini kuna haya majembe....
Alonso
John anne riise
Steven Gerrad
Torres
Owen/Robbie Fowrer
Walikuwa wananipendeza kuwaona
Mimi sio shabiki wa liverpool ila mumetaja wachezaji lakini kuna haya majembe....
Alonso
John anne riise
Steven Gerrad
Torres
Owen/Robbie Fowrer
Walikuwa wananipendeza kuwaona
So nimeona hii kwenye Anfield HQ, what is your 5 A - SIDE TEAM kutokana na wachezaji hawa pamoja na positions zao?
Mine ni: Reina-VVD-Steven Gerrard-Coutinho-Torres
ya kwako ni ipi?
View attachment 996579
Reina , VVD ,Gerrard, Kuty ,SuarezSo nimeona hii kwenye Anfield HQ, what is your 5 A - SIDE TEAM kutokana na wachezaji hawa pamoja na positions zao?
Mine ni: Reina-VVD-Steven Gerrard-Coutinho-Torres
ya kwako ni ipi?
View attachment 996579
Swali Clopp alimnunua wa nini au halisi wanampelekea cha Arusha?Nabby anapenda kucheza akiwa free. Achukue mpira from any angle, afanye dribling some distance ampunguze midfield wa adui, then aingie third part ya adui.
Hapo ataangalia ni nani yuko katika position muafaka ya kumpa final and clear pass afunge.
Kwa mfumo wa Klop anapata tabu. Jurgen anataka zipigwe passes from mid acheze na akina Gin.
Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
A. Becker - Jamie - Xabi - Cout - TorresSo nimeona hii kwenye Anfield HQ, what is your 5 A - SIDE TEAM kutokana na wachezaji hawa pamoja na positions zao?
Mine ni: Reina-VVD-Steven Gerrard-Coutinho-Torres
ya kwako ni ipi?
View attachment 996579
Akili zako zikitulia huwaga unatema madini sana mkuu ila ukivurugwaaa hahahaahaha hapa nakuunga mkono kwa asilimia zote




Swali Clopp alimnunua wa nini au halisi wanampelekea cha Arusha?
Ha ha haaa kama limbwata wamepewa watashindwaje kumpelekea mkuu.Nyie jamaa mnaumiza mbavu zangu, HALISI hawashindwi kufanya hivyo.
after th injury kweli amekua tofauti kabisa,without gettin th minutes even th best of ours il lose th momentum like (Keita), if Klopp cant use Origi then aodoke alete someone he can trust lets say Timo..Dont think Origi is a flop
he was a decent back-up before his injury against Everton in 2016
actually Klopp preferred him ahead of Sturridge,
hajawa the same tangu ile injury
SG8 was a real commander in n off th field, even swayed by El Galatico n Blues cash bt he choosed to stay aii that not so common nowdays..whats a player he was.Nimeangalia kila anayechagua timu lazima VVD na SG8 wawepo, yaani hawa ni "common denominator", kipa na wale wawili wa mbele ndiyo wanabadilika!
like Firmino n Gini real soldiers bt rarely they get noticed at large..Kuyt, most underrated player in LFC history
Top class player
Ha ha haaa kama limbwata wamepewa watashindwaje kumpelekea mkuu.
Mana ukitumia akili haiwezi kua hoja japo mwalimu anaweza kumshauri mchezaji kuhama pozishen kwa faida ya mchezaji mwenyewe nankumlazimisha.
Ukiangalia jinsi Clopp alivyo muhitajai Keita niwazi kabisa anamipango nae. ikiwa mipango ni kumchezesha nje ya nafasi alio izoea ni haki kabisa kuamini unavuta ile yenyewe kabisa.