Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

My Line-Up vs Palace:

SALAHA

MANE - BOBY - HENDO

FABY - GINI

ROBO-VVD-MATIP-MILLIE

ALISSON




In case GINI hatokuwa fit:

SALAH

MANE - BOBY - XHAKIRI

FABY - HENDO

ROBO-VVD-MATIP-MILLIE

ALISSOM

Formation: 4-2-3-1

NOTE: Nimemueka HENDO kwenye vikosi vyote viwili sio kwamba Namrate kuwa ni mchezaji!! Ninachojua kuhusu Hendo Hata Lipuli FC hawezi kupata namba! Bali ninajua kuwa KLOPP lazima atampanga tu ndiyomana nikamueka.
 
New deal
Screenshot_20190117-203046.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
need to do a little scouting issue on Eder Militao

seems to be liked by the Club
 
My Squad vs Palace:

SALAHA

MANE - BOBY - HENDO

FABY - GINI

ROBO - VVD - MATIP - MILLIE

ALISSON




In case GINI hatokuwa fit:

SALAH

MANE - BOBY - XHAKIRI

FABY - HENDO

ROBO - VVD - MATIP - MILLIE

ALISSOM

Formation: 4-2-3-1

NOTE: Nimemueka HENDO kwenye vikosi vyote viwili sio kwamba Namrate kuwa ni mchezaji!! Ninachojua kuhusu Hendo Hata Lipuli FC hawezi kupata namba! Bali ninajua kuwa KLOPP lazima atampanga tu ndiyomana nikamueka.

Dont think Gini will be risked man
 
Kiukweli mimi issue ya Keita inaniumiza sana, mpaka kuna kipindi huwa nakufuru kwa kunwombea Hendo injury ya hata kukaa nje miezi 5 hivi.

Unatumia hela nyingi kununua gari zuri halafu unaendelea kuendesha la zamani. Nashangaa sana.
Wee acha tu Dunia nzima ilijua tumepata mchezaji mpaka Gerad anamkabidhi ile namba kapangwa gem ya kwanza kanza vyema kabisa zinazo fuatwa unapigwa benchi imemuathili kiakili watu wanamtetea kocha eti awe mvulivu.

Hapo labda anajialaumu bora ata ningeenda kukaa bechi Bacer.
 
Arsenal special thread....na thread yeyote ambayo ipo active,
Chelsea kukiwa hai utanikuta hata man utd pia kikubwa napenda changamoto na kujifunza pia.....ila uzi ninaoupenda hasa ni wa Arsenal yaani kila siku lazma nipitie nione kuna nini,hizi nyuzi nyingine huwaga naangalia notification button mkuu ila sisi ni watu wa soka ni family

Nikiangalia profile yako kwa leo, umepost mara 4 Arsenal na mara 6 Liverpool.

Chelsea 0, na Man Utd 0.
 
Klopp is open to sell Matip in the summer because of fitness issues

Lovren hajawai kuremain fit for six games in a row tangu aje LFC, but apparently hana fitness issues

The favoritism card at LFC is so real
 
This is bad news to Hendo-Fanboys as they think Hendo is a greatest captain ever in football history and he deserves to play minute after minute.

they rejoiced kipindi kile Faby alivyopotea kwenye game ya Arsenal hahahah

weirdos man
 
Nikiangalia profile yako kwa leo, umepost mara 4 Arsenal na mara 6 Liverpool.

Chelsea 0, na Man Utd 0.
Arsenal special thread....na thread yeyote ambayo ipo active,
Chelsea kukiwa hai utanikuta hata man utd pia kikubwa napenda changamoto na kujifunza pia.....ila uzi ninaoupenda hasa ni wa Arsenal yaani kila siku lazma nipitie nione kuna nini,hizi nyuzi nyingine huwaga naangalia notification button mkuu ila sisi ni watu wa soka ni family
 
Soccer Management😂😂😂😂😂😂 dah halisi haya maneno sijui wanayatoaga wapi

Katika post zao utagundua kuwa they know nothing about football analysis

Na ndiyo mana wana misamiati yao SITA haizidi 😀😀

1) Hujui Soccer management
2) Klopp anajua Zaidi kuliko wewe
3) Hujui lolote
4) Sisi Liverpool HALISI
5) Hendo katufikisha Fainali
6) FA na Carabao ni makombe ya Kipuuzi


Lakini ukiwambia wakupe Facts kuhusu ya hata kile wanachokiongea basi wanaishia na personal attacks lakini kichwani Hanna kitu.. 😀😀

Ukitaka kujua kama Hawa Jamaa Vichwa vyao Vikubwa lakini ubongo wao ni wa Mende basi muulize swami dogo tu! Hendo anaoffer nini uwanjani?
Yeye anakujibu Katufikisha Fainali

Hizo akili au tope!!! 😀😀
 
So
Nikiangalia profile yako kwa leo, umepost mara 4 Arsenal na mara 6 Liverpool.

Chelsea 0, na Man Utd 0.
Soma vizuri jibu langu utaelewa tu.....nimekwambia naangalia NOTIFICATION BUTTON ,so sichagui jukwaa la kuchangia kama nina lolote la kucomment mkuu. .......sasa hivi hapa kuna popu la maana kwani glory hunter wapo kama wote,mukipoteana na sisi tunapotea
 
Katika post zao utagundua kuwa they know nothing about football analysis

Na ndiyo mana wana misamiati yao SITA haizidi 😀😀

1) Hujui Soccer management
2) Klopp anajua Zaidi kuliko wewe
3) Hujui lolote
4) Sisi Liverpool HALISI
5) Hendo katufikisha Fainali
6) FA na Carabao ni makombe ya Kipuuzi


Lakini ukiwambia wakupe Facts kuhusu ya hata kile wanachokiongea basi wanaishia na personal attacks lakini kichwani Hanna kitu.. 😀😀

Ukitaka kujua kama Hawa Jamaa Vichwa vyao Vikubwa lakini ubongo wao ni wa Mende basi muulize swami dogo tu! Hendo anaoffer nini uwanjani?
Yeye anakujibu Katufikisha Fainali

Hizo akili au tope!!! 😀😀
Hujui lolote,


Namba 3 hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom