Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Gonaz grounded Manure catchin up soon,
Benitz tupe raha usiku uishe vzuri..duh rarely NC huashinda Darajani.
Benitz tupe raha usiku uishe vzuri..duh rarely NC huashinda Darajani.
Huyu Kane bana msimu huu atakua mbishi kumuachia Salah..
aisee namwombea sana legend wetu Rafa aibakize Newcastle kwenye EPL msimu huu halafu next season achape lapa akafundishe timu ya hadhi yake.Gonaz grounded Manure catchin up soon,
Benitz tupe raha usiku uishe vzuri..duh rarely NC huashinda Darajani.
gomez na chambalandNext game Matip yupo fiti kwahiyo kwenye defence hakutokuwa na wasiwasi tena
Fabi anarudi kwenye nafasi yake ya Mido
daraja hawashuki atakomaa kama msimu uliopita..aisee namwombea sana legend wetu Rafa aibakize Newcastle kwenye EPL msimu huu halafu next season achape lapa akafundishe timu ya hadhi yake.
Klopp anajua nani acheze lini na mechi ipi kuliko sisi wote hapausishangae Klopp akampiga benchi na kumuacha Henderson aanze...
Klopp anajua nani acheze lini na mechi ipi kuliko sisi wote hapa
Nakukumbusha tu!
adui mwombee kipindupindu..... hahaha!Clean sheet 13
Goals allowed 10
Kikubwa kumuombea Man city mabaya tu hakuna huruma tuongeze gap
Haha benitez anapokea kipigo heavy uko sasa ivi..Gonaz grounded Manure catchin up soon,
Benitz tupe raha usiku uishe vzuri..duh rarely NC huashinda Darajani.
Sikuhiz Liverpool bila penalt hamushindi kabisa. Sjajua ni kwa nini.!!Salah beautfull penati, goli la 14 EPl
Salah beautfull penati, goli la 14 EPl
Hahahaaaaa AAAHongera kwa kujitoa fahamu yaani watu wapo na current newz kuwa calabao out,FA out,bikra imetatuliwa kikatili,na UCL loading..............then ikifika mei utalia kilio cha mbwa hahahahahaha wenzio wananyoosha kwapa wewe unanyoosha bango la 5 kwa 1 dhidi ya Gunnerz hahahaha ingekuwa hivyo mm ningekuwa juu yako maana nimekupiga mpaka 8 kwa mtungi haha haha haha haha
Loserfools bana sasa hivi hapo hata damu haijakukauka dadadeki
Sent using Jamii Forums mobile app
Fabinho, plays better than Henderson in Midfield
Fabinho, plays better than Lovren at CB
Must be tough times for our beloved Top-reds.
ni kweli sababu yeye na jopo lake wapo nao mazoezini hilo halina ubishi..Klopp anajua nani acheze lini na mechi ipi kuliko sisi wote hapa
Nakukumbusha tu!
King Salah as they call him
- Of the last 10 Premier League penalties taken by left-footed players, six have failed to score - the other four have all been scored by Liverpool's Mohamed Salah.