Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nimeelewa
Asante Malafyale kwa maelezo. Ni kweli Coutinho au mchezaji yeyote anayetegemewa na timu anatakiwa aondoke wakati aidha kuna mbadala au mwisho wa msimu. Ndio maana Hazard anasisitiza hataondoka katikati ya msimu Chelsea

Nadhani mimi mtaniona wa ajabu kidogo kutokana na hilo swala, simwoni jamaa kama msaliti isipokuwa alipigania kwenda sehemu alipoona pana maslahi kwake.

Kabla ya hiyo January jamaa aliomba kuhama mapema, that was July. Timu ikagoma kabisa na kuna bids kadhaa zilikataliwa mpaka transfer window ikafungwa. Ilipokuja nyingine timu zikafikia makubaliano jamaa akaondoka.

Wachezaji wanachukuliwa kama watumwa, tunasahau kwamba wako kazini, akiuzwa na timu tunasema ni business, akiomba kuondoka tunamwita msaliti.
 
Nadhani mimi mtaniona wa ajabu kidogo kutokana na hilo swala, simwoni jamaa kama msaliti isipokuwa alipigania kwenda sehemu alipoona pana maslahi kwake.

Kabla ya hiyo January jamaa aliomba kuhama mapema, that was July. Timu ikagoma kabisa na kuna bids kadhaa zilikataliwa mpaka transfer window ikafungwa. Ilipokuja nyingine timu zikafikia makubaliano jamaa akaondoka.

Wachezaji wanachukuliwa kama watumwa, tunasahau kwamba wako kazini, akiuzwa na timu tunasema ni business, akiomba kuondoka tunamwita msaliti.

Sometimes we tend to be selfish because of fighting for trophies.
 
a good question, my man.

for the sake of stability at the club, needless to mention the importance of retaining our key players going forward, I want us to win at least one (any) trophy this season.
zero trophy this season, then the Salah's of this world will start looking elsewhere and the "Klopp out" chinjachinja's will start sharpening their vichinjio's once more and I won't blame them. stakes are such high and Klopp should be fully aware.

the FA Cup presents us with the most realistic chance for silverware because of the present LFC fear factor vs English clubs. so i would deploy a very strong line up vs Wolves tonite.

I know many fans have their eyes on the EPL, and rightly so, but i don't fancy us putting all our eggs in one delicately tilted basket.

UCL? well.... i don't want to even talk about that one because it's as good as lottery!
kwa kocha tulie ni rahisi saana kuchuwa than any other cups ambazo ni mechi moja tu ya kuamua mshindi.

Can bet with anyone, this time around tuna shinda epl ila siyo UCL au FA
 
Nadhani mimi mtaniona wa ajabu kidogo kutokana na hilo swala, simwoni jamaa kama msaliti isipokuwa alipigania kwenda sehemu alipoona pana maslahi kwake.

Kabla ya hiyo January jamaa aliomba kuhama mapema, that was July. Timu ikagoma kabisa na kuna bids kadhaa zilikataliwa mpaka transfer window ikafungwa. Ilipokuja nyingine timu zikafikia makubaliano jamaa akaondoka.

Wachezaji wanachukuliwa kama watumwa, tunasahau kwamba wako kazini, akiuzwa na timu tunasema ni business, akiomba kuondoka tunamwita msaliti.

Sometimes we tend to be selfish because of fighting for trophies.

Ni swali tu Nauliza wakuu na wala siko kwenye point ya kuanzisha mjadala!!

"Kwa Mfano ikitokezea tukimaliza msimu huu with ZERO TROOHY ikapelekea wachezaji kuvunjika Moyo na hatimae SALAH, MANE, FIRMINO, VVD, ALISSON, GOMEZ na ROBERTSON wakadai kuondoka ili wakatafute mafanikio kwengine Kama Coutinho! Je ili tuoneshe kuwa tupo kiuwanamichezo kuliko uselfish, tunapaswa kuwauza wote na tukakusanye watoto Academy ili tutengeneze timu mpya?" Coz tukiwazuia ni uselfish!!!!

Mimi ninachojua mpira ni biashara! Na biashara haitazami Maslahi ya Mteja (Mchezaji) tu, Bali pia inaangalua Maslahi ya Tajiri (Mmiliki na Bodi ya Timu).
 
Ni swali tu Nauliza wakuu na wala siko kwenye point ya kuanzisha mjadala!!

"Kwa Mfano ikitokezea tukimaliza msimu huu with ZERO TROOHY ikapelekea wachezaji kuvunjika Moyo na hatimae SALAH, MANE, FIRMINO, VVD, ALISSON, GOMEZ na ROBERTSON wakadai kuondoka ili wakatafute mafanikio kwengine Kama Coutinho! Je ili tuoneshe kuwa tupo kiuwanamichezo kuliko uselfish, tunapaswa kuwauza wote na tukakusanye watoto Academy ili tutengeneze timu mpya?" Coz tukiwazuia ni uselfish!!!!

Mimi ninachojua mpira ni biashara! Na biashara haitazami Maslahi ya Mteja (Mchezaji) tu, Bali pia inaangalua Maslahi ya Tajiri (Mmiliki na Bodi ya Timu).

Ili ufanikiwe kibiashara hakuna kuangaliana usoni, kuoneana huruma kwa expense ya business, unapoona opportunity unaitumia.

Klabu inatakiwa ku-operate kwa maslahi yake kwanza, ya mteja baadae. Ndo maana Coutinho hakuachiwa haraka mpaka walipoona kwamba ni faida kumuuza at that point. Wangeona si sahihi wangeweza kuweka ngumu kwa sababu alikuwa na mkataba na angetakiwa kuutii.

Kwa upande wa mchezaji napo anachanga karata zake anaona huu ni wakati wa kujadili upepo anaamua kumove on, ubaya yeye hayuko kwenye upande wa maamuzi, na ndiyo maana tunaishia kumlabel majina kwa sababu mchezaji anapoomba kuondoka propaganda zinakuwa nyingi.
 
Hata Mimi pia sivutiwi na usajili wa Vitoto kwani sio maranyingi huwa Vinatoboa hivi vitoto.

Vitoto vinavyoweza kutoboa ni vile vilivyotokea Academy tu kama walivyotoboa TAA na vile vilivyonunuliwa ikisha Vikatupwa Academy kama Gomez na mtarajiwa Ki-Jana.

Lakin hivi vitoto vya kununuliwa halafu directly vikatupwa Timu ya Wakubwa kama Solanke na Grujic basi si rahisi kutoboa.

Wachezaji Wanaotoboa kirahisi ni wale wanaonunuliwa wakiwa Matured kama Salah, Mane, Firmino, OX, Xhaqiri, Fabinho, Keita, VVD, Alison, Gini, Robertson, etc.
Grujic ni fundi haswa mzee sielewi kwanini JK alishindwa kumtumia
 
Kikosi kimekaaje mkuu????

Sent using Jamii Forums mobile app

d54af23e7f4b3f3c5af7a27a2430e663.jpg
 
Ni swali tu Nauliza wakuu na wala siko kwenye point ya kuanzisha mjadala!!

"Kwa Mfano ikitokezea tukimaliza msimu huu with ZERO TROOHY ikapelekea wachezaji kuvunjika Moyo na hatimae SALAH, MANE, FIRMINO, VVD, ALISSON, GOMEZ na ROBERTSON wakadai kuondoka ili wakatafute mafanikio kwengine Kama Coutinho! Je ili tuoneshe kuwa tupo kiuwanamichezo kuliko uselfish, tunapaswa kuwauza wote na tukakusanye watoto Academy ili tutengeneze timu mpya?" Coz tukiwazuia ni uselfish!!!!

Mimi ninachojua mpira ni biashara! Na biashara haitazami Maslahi ya Mteja (Mchezaji) tu, Bali pia inaangalua Maslahi ya Tajiri (Mmiliki na Bodi ya Timu).

Ili ufanikiwe kibiashara hakuna kuangaliana usoni, kuoneana huruma kwa expense ya business, unapoona opportunity unaitumia.

Klabu inatakiwa ku-operate kwa maslahi yake kwanza, ya mteja baadae. Ndo maana Coutinho hakuachiwa haraka mpaka walipoona kwamba ni faida kumuuza at that point. Wangeona si sahihi wangeweza kuweka ngumu kwa sababu alikuwa na mkataba na angetakiwa kuutii.

Kwa upande wa mchezaji napo anachanga karata zake anaona huu ni wakati wa kujadili upepo anaamua kumove on, ubaya yeye hayuko kwenye upande wa maamuzi, na ndiyo maana tunaishia kumlabel majina kwa sababu mchezaji anapoomba kuondoka propaganda zinakuwa nyingi.

Mkuu usiniambie unataka turudi kwenye hii era

5a8a8cbb312b4eabb91f2dc27a822170.jpg
 
Ni swali tu Nauliza wakuu na wala siko kwenye point ya kuanzisha mjadala!!

"Kwa Mfano ikitokezea tukimaliza msimu huu with ZERO TROOHY ikapelekea wachezaji kuvunjika Moyo na hatimae SALAH, MANE, FIRMINO, VVD, ALISSON, GOMEZ na ROBERTSON wakadai kuondoka ili wakatafute mafanikio kwengine Kama Coutinho! Je ili tuoneshe kuwa tupo kiuwanamichezo kuliko uselfish, tunapaswa kuwauza wote na tukakusanye watoto Academy ili tutengeneze timu mpya?" Coz tukiwazuia ni uselfish!!!!

Mimi ninachojua mpira ni biashara! Na biashara haitazami Maslahi ya Mteja (Mchezaji) tu, Bali pia inaangalua Maslahi ya Tajiri (Mmiliki na Bodi ya Timu).

Better to be selfish 100% and lift trophies...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom