Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

kama mpira unaamliwa na MTU kufikisha timu sehemu Fulani basi Geroud anastahili kuwa mchezaji bora wa dunia kwa sababu alifikisha timu yake ya ufaransa fainali na wakachukua ubingwa wa WC.
Hendason anabebwa na wachezaji wenzake tu wenye vipaji sio kwamba kaisidia Liverpool kiivinyo.

Wengi Mambumbumbu wanaamini Kuwa Ni Henderson pekee ndiye aliyetufikisha Fainali, Waliobakia Kina Salah, Mane, Firmino, VVD, Robertson, Gini, Milner, TAA hawakuwa na lolote Bali walikuwa ni Wazururaji tu wakimtegemea Hendo awafikishe Fainali.
 
Hivi katika sajiri hizi zenye ushindani kuna club iko tayari kuweka siri wazi kwamba wanamtaka mtu fulani?

Sent using Jamii Forums mobile app

Klabu inapomtaka mchezaji utaseka imeweka dau kiasi Fulani!!
Au utasikia Wanafanya Mazungumzo wala Hamna siri

Ni sawa na Media kuvumisha Real wanamtaka Hazard wakati ukweli ni Kwamba Real hawajaeka dau lolote kwa Hazard wala hawajafanya Mazungumzo yoyote na uongozi wa Chelsea
 
Mkikosa haikuwa target ya Klop! This so kiddish

Sent using Jamii Forums mobile app

Magezeti sio yanayotunulia Wachezaji Kwenye timu yetu.

Mpaka sasa Liverpool haina Mazungumzo na mchezaji yoyote hii January.

Kwahiyo ni Magazeti ndiyo yaliyotukosesha Mchezaji na si Liverpool kumkosa Mchezaji.

Liverpool tuna timu yetu ya Scouts na si Magazeti.

Kama umewahi kuona sehemu kuwa Klopp kaeka Dau lolote kwa huyo mchezaji basi weka ushahidi wako hapa.

Kama Hujui ujinga wa Media kuwa kazi yao ni kuuza Magazeti kwa Kutengeneza Rumours basi angalia hapa chini ↓↓

IMG_20180529_194337.jpg


IMG_20180529_194343.jpg


Sasa kama huzijui Media kuwa Wanaandaa Propaganda za tetesi kwa ajili ya Kuuza Habari nakutakia pole sana.

Kamaa Hujui Maana ya RUMOURS basi namuonea huruma mwalimu wako wa Shule kala hasara.
 
Siri za usajiri huwa zina vujishwa na club insiders. So mnaweza kumtaka mchezaji mkaambiwa dau kubwa, au mchezaji akawakataa, au mkaona kiasi mlichonacho ni kidogo kulingana na price mliyoambiwa. Who knew kwamba Chelsea ilianza kumwinda Pulisic tangu immeadeately after the last summer? Lakini in two or three days ndo inakuja kujulikana
Klabu inapomtaka mchezaji utaseka imeweka dau kiasi Fulani!!
Au utasikia Wanafanya Mazungumzo wala Hamna siri

Ni sawa na Media kuvumisha Real wanamtaka Hazard wakati ukweli ni Kwamba Real hawajaeka dau lolote kwa Hazard wala hawajafanya Mazungumzo yoyote na uongozi wa Chelsea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi katika sajiri hizi zenye ushindani kuna club iko tayari kuweka siri wazi kwamba wanamtaka mtu fulani?

Sent using Jamii Forums mobile app

Inaonesha habari za soccer unazipenda lakini wewe hazikupendi..

Hakuna hata Timu mmoja iliyokuwa tayari kumuuza mchezaji wake kwa siri.

Unapokwenda tu kueka dau kwa Mchezaji basi timu inayomiliki huyo mchezaji inaenda moja kwa moja kwenye Media kuleak hizo habari ili kuleta ushindani kwa timu nyengine nazo zieke dau kubwa kuliko lako ili imuongezee thamani mchezaji huyo.

Ni sawa na tulipomtaka Alisson basi Roma data walivujisha habari kwenye Media ili Chelsea, Real na Arsenal nao waeke dau coz nao walikuwa wakitafuta kipa.

Au Chelsea walipomtaka Joginho wakaweka dau nao Napoli Fasta walivujisha Habari ili kufanya Klopp nayeye akaweke la kwake lakini Bahati nzuri Klopp hakueka dau na badala Yake akaenda kueka dau kwa Fabinho na Kumnunua.

Ni sawa na Hizi habari za Pulisic BVB walizisambaza Fasta ili Man United na Liverpool nawao wakaongezeke kueka dau Apande thamani lakini Bahati Nzuri Man U na Liverpool wana target zao mbali washazozilenga.

Au huu uvumi wa Timo Werner ni Kwamba Laipzig wanazisambaza kuwa Liverpool wanamtaka ili Man Unite na Chelsea wanaotafuta Striker waende Wakaeke dau Kubwa ili mchezaji wao apande thamani asijeuzwa kwa Bei ndogo.

Kwahiyo kama hujui Soko la Wachezaji linavyokwenda ni bora ungenyamaza
 
Magezeti sio yanayotunulia Wachezaji Kwenye timu yetu.

Mpaka sasa Liverpool haina Mazungumzo na mchezaji yoyote hii January.

Kwahiyo ni Magazeti ndiyo yaliyotukosesha Mchezaji na si Liverpool kumkosa Mchezaji.

Liverpool tuna timu yetu ya Scouts na si Magazeti.

Kama umewahi kuona sehemu kuwa Klopp kaeka Dau lolote kwa huyo mchezaji basi weka ushahidi wako hapa.

Kama Hujui ujinga wa Media kuwa kazi yao ni kuuza Magazeti kwa Kutengeneza Rumours basi angalia hapa chini ↓↓

View attachment 987752

View attachment 987753

Sasa kama huzijui Media kuwa Wanaandaa Propaganda za tetesi kwa ajili ya Kuuza Habari nakutakia pole sana.

Kamaa Hujui Maana ya RUMOURS basi namuonea huruma mwalimu wako wa Shule kala hasara.
Tetesi au gossip au rumors kama ulivyosema katika muktadha wa transfer market ina maana ya talking about someone's private or personal business. So unakuta media ina watu fulani katika vilabu vya mpira. Watu hao wanasaidia media hizo Kwa kuwapa baadhi ya info kuhusu sajiri. Mfano unakuta labda mm nipo katika scout team ya say team A, nakwakuwa niko scouting ina maana nina baadhi ya info kuhusu wachezaji kadhaa wanaofuatiliwa na club A.

So ni vizuri gossip si uzushi Kwa maana ya kujitungia habari bali ni taarifa za ndani ya club ambazo si official. Sasa kila gazeti, jarida nk Lina namna ya kupata info zake, wengine hawana source genuine au wanategemea source nyingine na hicho ni kitu kingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaonesha habari za soccer unazipenda lakini wewe hazikupendi..

Hakuna hata Timu mmoja iliyokuwa tayari kumuuza mchezaji wake kwa siri.

Unapokwenda tu kueka dau kwa Mchezaji basi inayomiliki mchezaji inaenda moja kwa moja kwenye Media kuleak hizo habari ili kuleta ushindani kwa timu nyengine nazo zieke dau kubwa kuliko lako ili imuongezee thamani mchezaji huyo.

Ni sawa na tulipomtaka Alisson basi Roma data walivujisha habari kwenye Media ili Chelsea, Real na Arsenal nao waeke dau coz nao walikuwa wakitafuta kipa.

Au Chelsea walipomtaka Joginho wakaweka dau nao Napoli Fasta walivujisha Habari ili kufanya Klopp nayeye akaweke la kwake lakini Bahati nzuri Klopp hakueka dau na badala Yake akaenda kueka dau kwa Fabinho na Kumnunua.

Ni sawa na Hizi habari za Pulisic BVB walizisambaza Fasta ili Man United na Liverpool nawao wakaongezeke kueka dau Apande thamani lakini Bahati Nzuri Man U na Liverpool wana target zao mbali washazozilenga.

Au huu uvumi wa Timo Werner ni Kwamba Laipzig wanazisambaza kuwa Liverpool wanamtaka ili Man Unite na Chelsea wanaotafuta Striker waende Wakaeke dau Kubwa ili mchezaji wao apande thamani asijeuzwa kwa Bei ndogo.

Kwahiyo kama hujui Soko la Wachezaji linavyokwenda ni bora ungenyamaza
Don't be stupid, mm mtu akishaanza mindset za kwamba yeye anajua kila kitu huyo huwa sina time naye tena. Kuna vitu unasema ni sahihi na vingine ume-missunderstand

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui tu kwanini sivutiwi na kusajili watoto, like wanatupotezea muda tu

Hata Mimi pia sivutiwi na usajili wa Vitoto kwani sio maranyingi huwa Vinatoboa hivi vitoto.

Vitoto vinavyoweza kutoboa ni vile vilivyotokea Academy tu kama walivyotoboa TAA na vile vilivyonunuliwa ikisha Vikatupwa Academy kama Gomez na mtarajiwa Ki-Jana.

Lakin hivi vitoto vya kununuliwa halafu directly vikatupwa Timu ya Wakubwa kama Solanke na Grujic basi si rahisi kutoboa.

Wachezaji Wanaotoboa kirahisi ni wale wanaonunuliwa wakiwa Matured kama Salah, Mane, Firmino, OX, Xhaqiri, Fabinho, Keita, VVD, Alison, Gini, Robertson, etc.
 
Wont mind if we lose against Wolves tomoz

to be honest.

concentrate on the league and CL, as we dont have enough quality players to compete fully in 3-different competitions.
 
Don't be stupid, mm mtu akishaanza mindset za kwamba yeye anajua kila kitu huyo huwa sina time naye tena. Kuna vitu unasema ni sahihi na vingine ume-missunderstand

Sent using Jamii Forums mobile app

Na hii ndiyo my style! Siku zote ninapiga pale penye weakness ya mtu!

Nikijua tu kuwa weakness yako ni aina flani ya maneno yangu (yasiyokuwa Matusi), basi ninatumia hayo maneno kwa ajili beat your weakness ili nijue kama uneweza kuovercome hii challenge.

So, basi try kuachana na Mimi kama ulivyo claim.
 
Wengi Mambumbumbu wanaamini Kuwa Ni Henderson pekee ndiye aliyetufikisha Fainali, Waliobakia Kina Salah, Mane, Firmino, VVD, Robertson, Gini, Milner, TAA hawakuwa na lolote Bali walikuwa ni Wazururaji tu wakimtegemea Hendo awafikishe Fainali.

Henderson aliifikisha LFC kwenye final ipi Aisee??

Lol
 
Hata Mimi pia sivutiwi na usajili wa Vitoto kwani sio maranyingi huwa Vinatoboa hivi vitoto.

Vitoto vinavyoweza kutoboa ni vile vilivyotokea Academy tu kama walivyotoboa TAA na vile vilivyonunuliwa ikisha Vikatupwa Academy kama Gomez na mtarajiwa Ki-Jana.

Lakin hivi vitoto vya kununuliwa halafu directly vikatupwa Timu ya Wakubwa kama Solanke na Grujic basi si rahisi kutoboa.

Wachezaji Wanaotoboa kirahisi ni wale wanaonunuliwa wakiwa Matured kama Salah, Mane, Firmino, OX, Xhaqiri, Fabinho, Keita, VVD, Alison, Gini, Robertson, etc.

Mfano kuna huyu dogo anaitwa Allan Rodriguez mara work permit sijui nini tangu asajiliwe anazunguka tu on loan, na watu wanaweza kuwa wamemsahau

Labda kama tunawataka kwa ajili ya biashara it's okay
 
Wont mind if we lose against Wolves tomoz

to be honest.

concentrate on the league and CL, as we dont have enough quality players to compete fully in 3-different competitions.

We need a win to boost a morale

Kama umestuka klopp huwa anashindwa ku-handle pressure za nje ya uwanja so to put easy PL way, must win tomorrow
 
We need a win to boost a morale

Kama umestuka klopp huwa anashindwa ku-handle pressure za nje ya uwanja so to put easy PL way, must win tomorrow

we have 1 fit reliable CB, two stooges in the midfield (Hendo and Lallana). injury prone 2nd choice ST, and we dont have any quality cover in LW position

players like VVD, Robertson, Gini, Salah, Firmino, Mane wamekuwa over-worked this season, madhara yake tunaanza kuyaona kwa Mane ambaye amekuwa chini ya Kiwango lately kwasababu ya Fatigue, if VVD/Robertson gets injured what will the point? Fabinho/Keita/Shaqiri needs to stay fit now mpaka May..

kushiriki katika 3-different competitions. it means kwenye later-stages Klopp will be forced to rotate his players, and kuna players wanaweza wakapata injuries during that period, na tukabaki na Kina Henderson/Lovren/Lallana etc

need to play our cards right...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom