zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 11,322
- 9,771
Nimesema sijui. Kwa sababu hata hiyo comb ya akina Lalana Hendo mlikuwa hamuitaki. Isipokuwa Ox.Hatakaa akujibu.
Kuna tofauti gani ya Ox,Lalana,Can, Milner, Hendo Gin. Nipe tofauti!
Nimesema sijui. Kwa sababu hata hiyo comb ya akina Lalana Hendo mlikuwa hamuitaki. Isipokuwa Ox.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kwa nini jorgen aliipanga hivyo. Je hapendi ushindi?Kumbe hujui!
Nail on the coffin
Pata taarifa za Liverpool kwa kujiunga na ECHO MAGAZINE. just give them your email and you will receive every day updates. Note: language used is English.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lalana is moving out replaced by Ki-Jana Hoover a Dutch from Melwood.Just a 16 teenage.
It seems as Jorgen influenced by Dutches to include VVD and Gin.
The dutches are so massive in terms of endures,and body fitness.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejikuta nakuwa mpenzi wa Comments Section kwenye Echo maana Klopp anachanwa vya kutosha kuhusu hiyo misukule yake, yaani toka alivyotangaza kikosi.
Kina Ian Doyle wenyewe somo limewaingia, naona wanaona hata aibu kutetea tena.
Ila comments zinachekesha aisee.


Lovren, Hendo pamoja na TAA
Ina maana mtu anapotoa mawazo yake hapa mpaka awe na influence??? Wacha ujinga jadili hoja zake na sio yeye.
Wewe unapotoa hoja zako kuhusu hii serikal una influence gani kwa magufuli???
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ubishi wa Klopp yeye anazungumzia Kompany kutopewa kadi nyekundu ile tackle ya Salah, na pia front three kutotumia zile nafasi chache za kufunga walizokosa...Sure ilikuwa ni must winn game, haikuwa sehemu ya majarbio. Klopp ni mbishi sana, tulilia sana worldwide kusu hyo mido yake Gini Hendo Milner.
Anasubir had tutoke kapa msimu huu ndo aelewe. Kama kile ndio kikosi chake cha mauaj it means, hatutaweza kushinda dhidi ya Bayern labda afanye mabadiliko
Ameshajibu kwa mtazamo wake hasi![]()
suala la pogba na kina hendo halifanani mkuu, suala la poba lilibase mno katka mifarakano kati ya mchezaji na kocha wakati suala la hendo na klopp ni suala la game plan hakuna migogoro pale liver ni mikakati ya mwalimu tu anapoona game hii inamfaa huyu na huyu haimfai kwani huyo fabinho kaanza game ngapi na huyo hendo alikuwa anakaa bench.........Kwenye ukweli lazima ukweli usemwe hata ukiwa mchungu kuweka mids ya Hendo,Gin,Milner ni kujitafutia majanga yasiyo na umuhimu
Man u fans walilia sana kuwekwa benchi kwa pobga kwa hiyo mashabiki wa man u walikuwa wanalilia kitu ambacho hawajui
Lakini kuja kwa OGS kumwanzisha Pobga na Mata kinachotokea kila mtu anajua
Kwa hiyo mashabiki wa liver wanaposema kuwa mid ya hendo,gin,milner ni dhaifu kuna ukweli kuhuso hilo tukubali tukatae kwa sababu mpira unachezwa hadharani sio chumbani na tumeshinda mechi nyingi msimu huu kwa formation ya 4231 sioni kwa nini tung'ang'anie 433
Nawatakia jumamosi njema YNWA
fundi nini huyo labda fundi nguo.......kloppanajua kuliko wewe tuliaHuyu fundi anakosaje namba mbele ya Henderson? Jama haya ni maajabu ya dunia.
kama inauma chomoa,na ukichomoa lazma itoke na damuWashabik wote wa Mpira mpk wa mpira wa pete wapo kwenye uzi wa LFC kwel kizur cha jiuza kibaya cha jitembeza
Njoon tu maana kama mnapigwa 5,3 ,8,6, sasa unafikir mtajadil nini huko kwenu kama sio vipigo tu
Sent using Jamii Forums mobile app