Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,372
- 12,529
Droo ya Southampton imekuvuruga na muda sio mrefu Mtaa wa 6 utakuhusuBREAKING NEWS.
Nasikia leo David Silva kaamka na tumbo la kuhara kwa hiyo hatacheza. Halafu Aguero kaamka na chongo kwa hiyo mnaweza kuanza kupumua. Hizi ndio habari njema kwenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
