Gwamahala Jr
JF-Expert Member
- Aug 26, 2018
- 464
- 780
Namtamani kishenzi Wan Bissaka
Yule dogo Trent ni mauza uza tu, tusajili kati ya Trippier au Wan Bissaka
Trippier ana miaka mingapi?
Nadhani Trippier atakuwa ghali zaidi compared to Bissaka...
Namtamani kishenzi Wan Bissaka
Yule dogo Trent ni mauza uza tu, tusajili kati ya Trippier au Wan Bissaka
Uyo dogo sijawai kumuamin apa naomba klopp mawazo yake yawe kama yangu RB acheze milner. ila klopp akikariri kuwa dogo alimuweza sane UEFA basi atajutia kukariri kwake coz siamin sane hajajifunza kitu tangu ile mechi
Trippier ana miaka mingapi?
Nadhani Trippier atakuwa ghali zaidi compared to Bissaka...
Dogo ana Defending mbovu balaa kibaya zaidi hata contribution yake kwenda kwa wamaliziaji nayo majanga
sijajua kwann clyne klopp amuamin.
Clyne bado hajarecover kiwango chake cha Soton, kwa Clyne kwa kweli simlaumu Klopp
Akiendeleza performance kama ile ya sikuile kwenye mechi na Man United, ni nzuri sana.
if there is talent uscoucer unakuaga sio ishu kivile nowdays bt then akitokea kwenye academy na ni scourcer esp kipindi hiki many graduates dont make th grades basi anakua na kaupedeleo fulani na kupabwa na magazeti bt kwenye ishu ya TAA kila mwenye kumfuatilia anaona ndogo msimu huu ameshuka kiwango sana hata krosi zake nyingi zinakua hovyo kabisa...asipojiangalia ataishia kama Red Cafu
kama talent ipo kazi ni popote as u can see Lallana is die hard Everton fan yet anavaa uzi wa majogoo, De Brune is also Kop, Aguero is also a Kop, hata Kocho wa Manure is also a Kop etc..
our captain is a die hard Sunderland fan hivyo kazi ni popote huu uscoucer hautuletea vikombe...
Siku zote Beki bora tunamjua uwezo wake kwa kumpokonya mpira adui inapotakikana kufanya hivyo, sikumbuki kama jamaa alishine siku hiyo
hio nomination si inahusu perfomance yake msimu uliopita? au huu.....kuhusu majeruhi ni kweli wengi hua wanachechemea mpaka kupata kasi upya...Aisee TAA hana ubaya huo mnaoungelea nyie! Huyu dogo kapiga mpira mzuri sana hata season hii, Mpaka amekuwa nominated kwny tuzo kubwa za Copa under 20 na Mbappe sio mchezo.
Upepo umekata kwake kidogo juzi baada ya majeruh napo hajaharibu sana, Bado anafaa sana tena sana kuwa first Xi na sio sub.
Yule dogo anatucost bana, anahitaji kunolewa zaidi. Mbona wenzetu kama City vichezaji vitoto (under 22) haviaminiwi si ndio tumuamini huyu dogo!
Ishu ya Uscouser ndio siasa za hovyo za kimpira zinazoididimiza LFC
sijajua kwann clyne klopp amuamin.
City hawaamini vitoto lakini Wanamcheza Delph na Otamendi Mkuu.
Sasa timu isiyoamini Vototo lakini inamchezesha Delph itakuwa inamaana gani?
Siku zote Beki bora tunamjua uwezo wake kwa kumpokonya mpira adui inapotakikana kufanya hivyo, sikumbuki kama jamaa alishine siku hiyo
Mauzauza tu yule dogo
Sasa Mkuu sisi tunapokosoa Mchezaji huwa tunatoa mapendekezo kikosini mwetu kuwa ni bora Kocha ampange Mchezaji fulani kama mbadala wake.
Sasa na wewe sisi Kops wenzio tupe pendekezo unahisi ni nani katika Kikosi chetu anafaa kucheza RB ahead of TAA.
heading into tonite's head to head fixture, below is a LFC & Man City combined first 11 (according to an online BBC Sport poll).
apparently, football followers across the globe have given a verdict that we're slightly edging Man City in terms of player-for-player quality. is it a fair assessment or it overlooks the coaching and tactics aspect?
View attachment 984470
Milly