Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ni Ramos aliyemfundisha hivi Coz siku ya Final ya CL alimvuta mkono mpaka akataka kuukata hakujiangusha! Kina Suarez wakamwambia Kwampira huo unaocheza wa Kutokuanguka Wahuni watakuvunja!

Sasa amejifunza kitu hasubiri akauliwa uwanjani.

Ukimgusa tu yupo chini.

Kwahiyo hongera Ramos kwa kutufundishia mchezaji wetu 😀
Anawaibia vipofu sasa ilitakiwa ayafanye kwa chelsea au city
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom