Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nasema ivyo kwa sababu hakuna mpinzani wa maana anayeweza kuwapa changamoto except Tot naye hana ubavu. Sasa hapo kazi ni kwenu mkishindwa hamtakuja kuweza tena. Man city mnaona anachofanya, Chelsea ndio tunajikongoja, huyo Arsenal sitaki kuongea. Labda Tot ila naye sina imani naye.
ukiona mpinzani wetu anatukumbali hivi ujue tupo vzuri....

tunashaukuru sana, tutapambana mpaka mwisho EPL itue Anfield
 
Nasema ivyo kwa sababu hakuna mpinzani wa maana anayeweza kuwapa changamoto except Tot naye hana ubavu. Sasa hapo kazi ni kwenu mkishindwa hamtakuja kuweza tena. Man city mnaona anachofanya, Chelsea ndio tunajikongoja, huyo Arsenal sitaki kuongea. Labda Tot ila naye sina imani naye.

Surprise alizokutana nazo Man City kwa game za Chelsea, C Palace na Leicester hakuna aliyetegemea aisee, in a span of almost 3 weeks kapoteza 9 points.

Sijui recovery yake itakavyokuwa, lakini ni big hit kwake.
 
Surprise alizokutana nazo Man City kwa game za Chelsea, C Palace na Leicester hakuna aliyetegemea aisee, in a span of almost 3 weeks kapoteza 9 points.

Sijui recovery yake itakavyokuwa, lakini ni big hit kwake.

...na Southampton wanamsubiri, akienda hovyo wanamjeruhi hata kwa droo tu. Maana atakuwa anaiwazia game yetu zaidi.
 
Nasema ivyo kwa sababu hakuna mpinzani wa maana anayeweza kuwapa changamoto except Tot naye hana ubavu. Sasa hapo kazi ni kwenu mkishindwa hamtakuja kuweza tena. Man city mnaona anachofanya, Chelsea ndio tunajikongoja, huyo Arsenal sitaki kuongea. Labda Tot ila naye sina imani naye.

Mkuu ulichoongea ni kweli tupu!
 
Ni sawa na binti aliyetoka kubikiriwa. Huwa wanakua unstoppable. Wanagawagawa tu. Refer Man City and Chelsea.

Cant wait for Liverpool too
Surprise alizokutana nazo Man City kwa game za Chelsea, C Palace na Leicester hakuna aliyetegemea aisee, in a span of almost 3 weeks kapoteza 9 points.

Sijui recovery yake itakavyokuwa, lakini ni big hit kwake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom