residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,531
- 13,461
Aamina mkuu, na kwako piaHeri ya Xmass popote ulipo mkuu!
Msaidizi wa Robbo in anycase atakua Milner maana msimu ulee alicheza hio nafasi hakufanya kosa lililosababisha tukafungwo hivyo Klopp naamini hatofanya kosa kumchezesha useless Moreno just in case Robbo hayupo poa...Kwa TAA nadhani Clyne anaweza sana kuimanage hiyo nafasi, na kwa kiwango alichoonesha game ya Man Utd si ajabu watakuwa wana alternate, wakati huo huo game ambazo kocha atataka kumchezesha Lovren utakuta Gomez anakuja RB.
Changamoto naiona kwa Robbo na VVD, hasa VVD, natemea Gomez kuweza kupartner na Matip/Lovren baadhi ya game za FA tuone combo yao iko vipi.
My Liverpool family,marry xmass and happy new year!
Defenda sawa ila kwa straika ee sidhani Klopp atanunua labda auze kwanza au atoe kwa mkopo...tunao Daniel, Solanke, Origi....kwa mtazamo wangu kuna umuhimu wa kupata defender 1 pia striker 1 ili incase m1wapo wa ule utatu mtakatifu anapokosekana basi tuwe na mbadala sahihi
Msaidizi wa Robbo in anycase atakua Milner maana msimu ulee alicheza hio nafasi hakufanya kosa lililosababisha tukafungwo hivyo Klopp naamini hatofanya kosa kumchezesha useless Moreno just in case Robbo hayupo poa...
okay nimekuelewa sana mkuu ingawa performance ya hao uliowataja huwa sio consistenceDefenda sawa ila kwa straika ee sidhani Klopp atanunua labda auze kwanza au atoe kwa mkopo...tunao Daniel, Solanke, Origi....
Daniel na Origi kwa nafasi finyu walizopata wamecheza vizuri sana hivyo kama back up wanatufaa...
Solanke labda ndio aede kwa mkopo maana kwa kiwango cha hawa jamaa wengine yeye ni ngumu kucheza kwa sasa.
Defenda sawa ila kwa straika ee sidhani Klopp atanunua labda auze kwanza au atoe kwa mkopo...tunao Daniel, Solanke, Origi....
Daniel na Origi kwa nafasi finyu walizopata wamecheza vizuri sana hivyo kama back up wanatufaa...
Solanke labda ndio aede kwa mkopo maana kwa kiwango cha hawa jamaa wengine yeye ni ngumu kucheza kwa sasa.
Sasa ndiyo tunatakiwa kusajili jembe dizaini ya Milner ambalo litarithi mikoba maana jamaa tayari ni jioni kwake, misimu miwili ijayo atakuwa anastaafu, probably!
Milner anatakiwa aendelee Kucheza Misimu angalau miwili mbele na astaafie soka akiwa Liverpool ili awe Legend.
Nafikri nishawahi kumskia akisema angependa astaafie alipoanzia
Leeds United
We have three Dutchmen
1- VVD
2- GINI
3- KI-JANA
We have three Africans
1- SALAH
2- MANE
3- KEITA
We have three Brazilians
1- ALISSON
2- FIRMINO
3- FABINHO
No Frenchman???
No Spaniard???
No German??? Forget Karius.
Spaniards yupo Moreno halafu Africans umemsahau Matip
Liver mnafurahia sasa hivi mkihisi mtabeba EPL
Laiti ukweli mngeujua ,mngejipiga bani
Ukweli ni huu hata mshinde games zote zilizobakia ,EPL hamtapewa, kuna muhuni atajitokeza atakuwa sawa na nyie na mtazidiwa magoli
Ukweli mchungu ni huu bikira mtatolewa ,siku si nyingi , baada ya hapo mtapoteza dira
Mwisho wa msimu mtatoka kapa
Epl mtaishia top4
Uefa mtatolewa
HUU NDIO UKWELI MCHUNGU ambao wana liver hawapend kuusikia ,
MJUMBE HAUWAWI

mbona povu jingi ndio kwanza Xmass ikifika hadi Pasaka tunaongoza ligi wee si utajinyonga aise kuichukia liverpool hii utaishia kuumia tuuMkuu kwa Mara ya Kwanza leo tunatofautiana Kimawazo!
Mimi Kabisa Siwahesabu Kina ORIGI, STURRIDGE na SOLANKE kuwa Ni Backup Strikers kwa Timu kama Liverpool.
Hawa Ni Wachezezaji Wasiotabirika! Wanaweza Wakakupa Matokeo Kwenye Game usiyoitarajia Kama alivyotupa Sturridge dhidi ya Chelsea, au alivyotupa Origi dhidi ya Everton.
Lakini hatimae Ukawachezesha Michezo 10 mbele na wasifanye Kitu.
Kwa Kawaida Wachezaji hawa Ni FOUR GAMES PLAYERS.
Mchezaji halisi Backup kwa timu yenye Ambition kama Liverpool anatakiwa awe kama Xhaqiri, Ukimwingiza match yoyote anakupa matokeo from nowhere.
Mkuu sasahivi Liverpool hatutakiwi turudi Nyuma, Wala Tubaki tulipo! Bali Tunatakiwa Tusonge Mbele.
Sasa ukisema tubaki na Backup kina Sturridge, Origi na Solanke manake Tubakie tulipo palepale alipotuacha Rodgers.
Mkuu sasa Ni wakati Wa kupiga Hatua Mbele kwa Kuleta Backup Player ambao hawana tofauti na Wanaocheza First XI.
Na ndiyomana tunamtaka Klopp amshawishi Werner ambaye anamaliza Mkataba Next Summer asaini Pre-contract hapo January ili tuimatishe timu kwa Kutoka Hapa tulipo.
Kama Msimu huu tumefikisha Points 48 kwenye Christmas, basi Msimu ujao tufikishe Points 52 muda kama huu.
Spaniards yupo Moreno halafu Africans umemsahau Matip
Liver mnafurahia sasa hivi mkihisi mtabeba EPL
Laiti ukweli mngeujua ,mngejipiga bani
Ukweli ni huu hata mshinde games zote zilizobakia ,EPL hamtapewa, kuna muhuni atajitokeza atakuwa sawa na nyie na mtazidiwa magoli
Ukweli mchungu ni huu bikira mtatolewa ,siku si nyingi , baada ya hapo mtapoteza dira
Mwisho wa msimu mtatoka kapa
Epl mtaishia top4
Uefa mtatolewa
HUU NDIO UKWELI MCHUNGU ambao wana liver hawapend kuusikia ,
MJUMBE HAUWAWI