Tores
JF-Expert Member
- Nov 7, 2010
- 551
- 475
Ox is fit againView attachment VID-20181225-WA0017.mp4
aiseeeeeeeeeeeee demu mkali kudadek
Ox is fit againView attachment 976635
Merry Xmas, kwema kaskazini...asante sana na nyinyi mkisajili poa Jan mtasogeaKweli banaa ..huu msimu wenu
hii video inaonyesha wakifanya mazoezi Jana melwoodView attachment VID-20181225-WA0018.mp4Leo Mazoezi kama kawa ndani ya Melwood
Hakuna kulala mpaka kielewke
of course good news but my doubt is may be there come back might lead klopp to change his mind about january transfer windowMorning guys!
Some good news today
TAA na KEITA back kwenye training...
TAA is availabe for Newcastle and Man City...
While Keita is available kwa Man City
Now we are waiting kwa Gomez na Matip kurudi ulingoni.
Amerudi wakat sahihi maana tuna game nying sana mpk kufikia May Sioni kama kuna haja ya kusajili straiker labda parmanent9 jambo ambalo klopp halimpendez ktk mfumo wakeHe is back on training!!View attachment 976462
of course good news but my doubt is may be there come back might lead klopp to change his mind about january transfer window
Amerudi wakat sahihi maana tuna game nying sana mpk kufikia May Sioni kama kuna haja ya kusajili straiker labda parmanent9 jambo ambalo klopp halimpendez ktk mfumo wake
Naona kuna umuhimu wa kusajili backup ya TAA maan kati tuko vzr labda comb ya MATIP na GOMEZ ndo sijajua kama itakubali au vp incase VVD kapata injury(jambo ambalo litatia simanzi kwa shabik yyte yule wa LFC)
OX,KEITA,MILNER,HENDO,GINI,FAB,
sioni kama kuna haja ya kuwa na viungo zaid ya hao
Kilio changu ni beki mmoja backup ya ROBO au TAA kwisha kazi
Ukuta bora ndo kitu cha muhimu kwa sasa maana forward line yetu ni tishio ikiwinda haikosi huku BOBBY Pale MANE, ukigeuka SALAH haha
I swear tungekuwa na kikosi kama hii UEFA final RMD sijui wangetubeba vp
YNWA
kwa mtazamo wangu kuna umuhimu wa kupata defender 1 pia striker 1 ili incase m1wapo wa ule utatu mtakatifu anapokosekana basi tuwe na mbadala sahihiNi nafasi ipi unaiona kama pengo kufanyia usajili?
Kweli kabisa, na Hendo nae asipojirekebisha na back pass zake ataishia benchKurudi kwa OX ni habari njema sana kwetu lkn ndugu yetu Keita inabidi sasa awe makini akipewa nafasi!
OX anakuja kumrudisha bench asipokuwa makini sababu Fabihno kaisha jihakikishia namba pale kati lkn Keita BADO
Mkuu sa hivi role ya Hendo inavoonekana atarudi kwenye b2b midfielder (8) ambayo aliperform vizur ule msimu wa 2014Kweli kabisa, na Hendo nae asipojirekebisha na back pass zake ataishia bench
Hahahaha, mkuu nimemchokoza tu Malafyale hapo, sikuwa serious 😛Mkuu sa hivi role ya Hendo inavoonekana atarudi kwenye b2b midfielder (8) ambayo aliperform vizur ule msimu wa 2014
Kwahyo kidogo hapa naamini(not sure) atashine.. maana ataanza yale ma long pass alokua anampigia shaqiri(dwarf wetu) kwenye pre season
Midfield yetu ikipokezana hivi kila mmoja atajitahid kua creative. We’ll go far in shaa allah
aiiseeeeeeeeeeeeeeeee mzee mwenzangu huyu Fabinho anajua kuchagua vyomboKama yule Wa kwako wewe kutoka Nzega
Hahahaha, mkuu nimemchokoza tu Malafyale hapo, sikuwa serious 😛
hhahahahahahah sawa mkuu tusubiri ,tuombe uzima ila kwanza maliza noma kwa newcastle maana itabidi uwe na newcastle vaccine ili uwe safe.......maana huo ndio ugonjwa mkubwa unaowaangamiza majogoo.
mnaweza kufungua box kwa uchungu sana 26dec
kwako pia wa nyumbaniMy Liverpool family,marry xmass and happy new year!