Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Yani Liverpool watoke 0 dhidi ya aseno? Aiseeeee
Nop, ana maanisha mpaka sasa game iko 0 - 0.
Yani Liverpool watoke 0 dhidi ya aseno? Aiseeeee
Yani Liverpool watoke 0 dhidi ya aseno? Aiseeeee
Kwa nn new castle utupe draw !?
Sio draw! Game bado haijaanza ipo 0 - 0
Training kwenye Christmas day?? This shows that tuko serious na matokeo this season.
Mdogomdogo tunarudi kwenye Nafasi yetu ya Kuiteka Ulaya..
Last season tumekuwa most watched kwa Timu za EPL kwa kuwa na 880 million viewers across all competitions.
One game at a time
Only Newcastle is in front of us, Not Arsenal or Man City
Hii ni muhimu sana kwenye ku attract more sponsors hatimaye kuongeza mapato...
Na tayari Adidas ameshajiingiza kwa deal la around £80m, kinachosubiriwa ni maamuzi ya New Balance (NB) kukubali kuongeza dau la Mkataba mpya kutoka Mkataba wawa sasa ambao ni £45m mpaka kufikia £75m+
Wakishindwa kuongeza hela basi Adidas wanachukua dili.
Nafikiri NB wataongeza hiyo £30m kumatch na deal ya adidas ya £75 kwa man utd. maana contract yao kwa LFC inaisha 2019/2020. na sasa hivi Liverpool iko hot sana! inauza sana kit!Wow! Record kit deal from Adidas??
Our current £45m a year deal with New Balance will expire at the end of next season.
Liverpool would be willing to renew, but only if the American kit company increase their sponsorship offer by at least £30million.
Karibu Adidas
loserfoolish nyinyi ni jumba la makumbusho tu..............so sina cha kuhofia hapoKwan the GONO mnabeba taji gani???
Labda taji la kujinyonga
yah kutoka 0 dhidi ya ARSENAL haiwezekani maana lazma uchezee bakora za kutosha tu yaani nakutwanga bila huruma kama kipigo cha mbwa mwizi nilichokupa 2007 cha bao 6 hapohapo kwenu..............Yani Liverpool watoke 0 dhidi ya aseno? Aiseeeee