Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

i only watch Serie A kama nahitaji kuscout players

not a fan of serie A to be honest

but kwenye few matches nilizoangalia za Juve this season (tried to watch Cancelo) nimeona Allegri ana-prefer zaidi mid ya Bentacur/Pjanic/Matuidi, always thought he'd replace Matuidi eventually, but Di marzio reports zinasema Juve are in talks with Ramsey now. so if Ramsey signs for Juve. Can atakuwa na wakati mgumu zaidi, but he's only 24 so bado ana muda wa kujiongeza

i dont blame Emre can, because alikuwa ni Victim wa Echo agendas, the club drove him out. nothing more, case yake ni tofauti sana na ya Coutinho
Sorry folks!

Who has got a full mandate btn manager or sporting director or a local newspaper in recomending a player either to be signed or extending contract?

Your good answer to the above question will be highly appreciated.

YNWA
 
Sorry folks!

Who has got a full mandate btn manager or sporting director or a local newspaper in recomending a player either to be signed or extending contract?

Your good answer to the above question will be highly appreciated.

YNWA

I had say Sporting Director, but the need comes from the Coach (the manager in your case).

Why would local newspaper be in that equation at first place?
 
I had say Sporting Director, but the need comes from the Coach (the manager in your case).

Why would local newspaper be in that equation at first place?
Thanks mate,

i have included local newspaper because most of African/Asian Kops involve echo as decision maker in Liverpool official matters. eg As Mosdef said emre can depature from LFC last summer was caused by echo! (echo victim)
 
Thanks mate,

i have included local newspaper because most of African/Asian Kops involve echo as decision maker in Liverpool official matters. eg As Mosdef said emre can depature from LFC last summer was caused by echo! (echo victim)

Yeah, they likely might be the source but they never do any sanctions.

There are politics in everything man, if you get time to follow them you will understand why MosDef mentioned them as the main players in that issue.
 
Kama atafanya usajili anaweza akarudisha changamoto upya. Game yenu kazi ipo. Hapa ligi ndio inapoanza kuwa nzito tena baada ya dirisha dogo kufungwa.
ni kweli hii gemu ya Alhamisi 3/1/19 itakua kali mno maana Pep anajua pengo la pointi 7 si mchezo na kwa uchezaji wa Liverpool kwa sasa itakua kazi kweli kweli kuombea wengine watufunge endapo wao watachemka...

meaning siku hio itakua ni full mashumbulizi na hapo ndio Klopp atawasubiri kuwaangamiza na counter za chap chap na mfumo wa 4 2 3 1 au 4 4 1 1...

ki ukweli hii gemu ni ngumu kuliko gemu ya kwanza walivyokuja Anfield...
 
ni kweli hii gemu ya Alhamisi 3/1/19 itakua kali mno maana Pep anajua pengo la pointi 7 si mchezo na kwa uchezaji wa Liverpool kwa sasa itakua kazi kweli kweli kuombea wengine watufunge endapo wao watachemka...

meaning siku hio itakua ni full mashumbulizi na hapo ndio Klopp atawasubiri kuwaangamiza na counter za chap chap na mfumo wa 4 2 3 1 au 4 4 1 1...

ki ukweli hii gemu ni ngumu kuliko gemu ya kwanza walivyokuja Anfield...

Yaani siku hiyo inatakiwa tuwapige kibabe kama tulivyopiga kwenye Champion's League last season. But first let us do Newcastle United and Arsenal pale Anfield.
YNWA...!
 
Sorry folks!

Who has got a full mandate btn manager or sporting director or a local newspaper in recomending a player either to be signed or extending contract?

Your good answer to the above question will be highly appreciated.

YNWA

Manager and his technical team suggests a player to the board, the sports director link the matter to the owners, the owners splash the funds to the sports director, then its up to the director to sanction a deal

when a player wants to leave a club, his camp will inform the manager first, so the manager will tell the board that a certain player wants to leave but anaweza akasema bado namuhitaji so it will be up to the board and the owner to make sure the player remains at the club.

Starting na Case ya Coutinho na ishu ya media inapoingia;

Coutinho met with Klopp and told him he has an offer from Barca, Klopp told him he wont sell him because bado yupo kwenye mipango yake ya msimu ule, Coutinho agreed and promised Klopp kuwa he'd stay mpaka mwisho wa msimu na akamwambia agent wake the same thing, Kia akapeleka habari kwa kina Segura (Barca), they did not like the news, and without informing Cou or his agent, they briefed the spanish media kuwa hawatorudi tena kumsign Coutinho kama hataenda BARCA ile january, baada ya hizo news, Coutinho, his family and his agent wakapata taharuki, Cou asked Kia kuongea na kina segura if they meant it, Segura told Kia they were serious, Kia akaomba warudi mezani, then kia himself akamrudia Edwards, ambaye nae akamuuliza Klopp, klopp akasema No, so Kia decided to use Brazil medias to force the agenda, news zote za Coutinho ku-fake injuries na kugoma kucheza zilikuwa zinatoka Brazil na Spain, this was all Kia and segura's job, LFC wasingeweza kutoa habari kuwa their star player alikuwa ana refuse kutrain na team, thats why Klopp alikuwa anazi-quash hisi habari kwenye match pressers, but baadae Coutinho went further na kuanza kufanya interviews na Brazil medias behind Klopps and the clubs back, now, Klopp thought situation yote(media propaganda) inaweza kuharibu atmosphere ya dressing room na ku-unsettle the fanbase, so he told Edward and the owners to sell him, so why Klopp asked the owner to sell Coutinho to barca, because FSG were refusing to sell him kwasababu this was a private war between FSG and Segura (its deeper, you should know by now Segura used to work at LFC and got sacked so he wanted to avenge the sacking by taking the most marketable player at LFC), and he won by using the media, Klopp gave up on Coutinho because ya Media propaganda (it was unbearable), if kusingekuwa na medias, FSG would have won, but at the end of the day you should listen to the manager who is in-charge na technical department.

Case ya Emre Can;

Klopp sat down with Emre can. na kumwambia nataka kukuongezea mkataba, CAN agrees, Klopp calls Edwards and told him to start talks na Can's camp kuhusu new extension, Edwards informs the owners, then wanareview mkataba wake uliopo na ku-come up na kiasi ambacho wataoffer kwenye mkataba mpya, then Edwards anapewa go ahead anakaa na camp ya Can na kupresent Clubs offer, Camp ya Can inakataa na kusema kuwa wanataka atleast 150k per week, main reason ni kuwa kuna players wanalipwa hela nzuri and they are not good and important like Can in the team, Edwards and the owners refuses to budge in. Klopp now is furious as he wants Can in the team, Edwards now anaenda kuongea na Klopp na kumwambia kuwa demands za Can ni kubwa kulingana na idadi ya wachezaji wanaotakiwa kuongezwa kwenye team in the transfer window as he thinks Can wont be a regular player in the first team, Klopp calls Can and try to convince him, Can tells Klopp "i will think about it", few days later Juventus calls Can's camp na kutoa offer, wage - offer ilikuwa nzuri sana plus signing on fee, Can's camp calling Edwards and explain the situation, He and the owners refuses to budge in kuhusiana na mshahara naotaka Can, Can is furious and he feels kuna baadhi ya players wanapendelewa, now he's telling Klopp he wants out, Klopp agrees and told him to commit himself mpaka atakapoodoka (now hii ni baada ya kufanikiwa kuwaconvince Lepzig kuhusu Keita), the issue inakuwa mashabiki wataelewa vipi one of the youngest and talented CM, akiondoka tena for free? LFC now briefing the local newspaper na kuwaambia wareport kuwa Can wants to play kwenye Henderson;s role na hafurahii rotation, few weeks mbele Echo reported kuwa Can amesema anataka kuondoka LFC na kwenda kuchezea kwenye "a very big club", this news changed muelekeo wa Can at LFC, as the reactions were bad kwa fans, and fans felt they were insulted by Can kwa kusema anataka kwenda kwenye very big club, so they thought Can aliona LFC siyo kitu, mwisho kabisa wakaja kusema kuwa Can anaondoka LFC kwaajili ya pesa za Juventus, at this point hakukuwa na turning back kwa Can, he had to leave, these negative news were accompanied na hate artcles from the local jornos and crticing every Can's performance. so what if the medias werent there would Can viewed as a snake or a player with bad attitude?

in the case of Coutinho, Segura used media propaganda to drive Coutinho at barca, and he succeed

in the case of Can, Edwards used Media propaganda to drive Can out of LFC

so kwenye situations zote mbili, Medias ndiyo zimeplay a Key part kwenye both deals.

said it and i will say it again, Medias runs this sport, every single person kwenye hii business anatumia medias kupush his/her agedas. its not a rocket science.
 
Kumbe unakaaga Twitter kufuatilia maneno ya wavuta bange wenzio sio?
Hii nimeipata twitter kwa Shabiki Nguli, Lialia, Mkereketwa, Kindakindaki Wa Arsenal.

Anasema "Remember when people laughed at Liverpool signing VVD because of the price tag? Look at them now. Their defense has gone from a shambles to one of their biggest strengths, because a player like that improves everyone around them. We’re crying out for something similar at Arsenal."
 
Manager and his technical team suggests a player to the board, the sports director link the matter to the owners, the owners splash the funds to the sports director, then its up to the director to sanction a deal

when a player wants to leave a club, his camp will inform the manager first, so the manager will tell the board that a certain player wants to leave but anaweza akasema bado namuhitaji so it will be up to the board and the owner to make sure the player remains at the club.

Starting na Case ya Coutinho na ishu ya media inapoingia;

Coutinho met with Klopp and told him he has an offer from Barca, Klopp told him he wont sell him because bado yupo kwenye mipango yake ya msimu ule, Coutinho agreed and promised Klopp kuwa he'd stay mpaka mwisho wa msimu na akamwambia agent wake the same thing, Kia akapeleka habari kwa kina Segura (Barca), they did not like the news, and without informing Cou or his agent, they briefed the spanish media kuwa hawatorudi tena kumsign Coutinho kama hataenda BARCA ile january, baada ya hizo news, Coutinho, his family and his agent wakapata taharuki, Cou asked Kia kuongea na kina segura if they meant it, Segura told Kia they were serious, Kia akaomba warudi mezani, then kia himself akamrudia Edwards, ambaye nae akamuuliza Klopp, klopp akasema No, so Kia decided to use Brazil medias to force the agenda, news zote za Coutinho ku-fake injuries na kugoma kucheza zilikuwa zinatoka Brazil na Spain, this was all Kia and segura's job, LFC wasingeweza kutoa habari kuwa their star player alikuwa ana refuse kutrain na team, thats why Klopp alikuwa anazi-quash hisi habari kwenye match pressers, but baadae Coutinho went further na kuanza kufanya interviews na Brazil medias behind Klopps and the clubs back, now, Klopp thought situation yote(media propaganda) inaweza kuharibu atmosphere ya dressing room na ku-unsettle the fanbase, so he told Edward and the owners to sell him, so why Klopp asked the owner to sell Coutinho to barca, because FSG were refusing to sell him kwasababu this was a private war between FSG and Segura (its deeper, you should know by now Segura used to work at LFC and got sacked so he wanted to avenge the sacking by taking the most marketable player at LFC), and he won by using the media, Klopp gave up on Coutinho because ya Media propaganda (it was unbearable), if kusingekuwa na medias, FSG would have won, but at the end of the day you should listen to the manager who is in-charge na technical department.

Case ya Emre Can;

Klopp sat down with Emre can. na kumwambia nataka kukuongezea mkataba, CAN agrees, Klopp calls Edwards and told him to start talks na Can's camp kuhusu new extension, Edwards informs the owners, then wanareview mkataba wake uliopo na ku-come up na kiasi ambacho wataoffer kwenye mkataba mpya, then Edwards anapewa go ahead anakaa na camp ya Can na kupresent Clubs offer, Camp ya Can inakataa na kusema kuwa wanataka atleast 150k per week, main reason ni kuwa kuna players wanalipwa hela nzuri and they are not good and important like Can in the team, Edwards and the owners refuses to budge in. Klopp now is furious as he wants Can in the team, Edwards now anaenda kuongea na Klopp na kumwambia kuwa demands za Can ni kubwa kulingana na idadi ya wachezaji wanaotakiwa kuongezwa kwenye team in the transfer window as he thinks Can wont be a regular player in the first team, Klopp calls Can and try to convince him, Can tells Klopp "i will think about it", few days later Juventus calls Can's camp na kutoa offer, wage - offer ilikuwa nzuri sana plus signing on fee, Can's camp calling Edwards and explain the situation, He and the owners refuses to budge in kuhusiana na mshahara naotaka Can, Can is furious and he feels kuna baadhi ya players wanapendelewa, now he's telling Klopp he wants out, Klopp agrees and told him to commit himself mpaka atakapoodoka (now hii ni baada ya kufanikiwa kuwaconvince Lepzig kuhusu Keita), the issue inakuwa mashabiki wataelewa vipi one of the youngest and talented CM, akiondoka tena for free? LFC now briefing the local newspaper na kuwaambia wareport kuwa Can wants to play kwenye Henderson;s role na hafurahii rotation, few weeks mbele Echo reported kuwa Can amesema anataka kuondoka LFC na kwenda kuchezea kwenye "a very big club", this news changed muelekeo wa Can at LFC, as the reactions were bad kwa fans, and fans felt they were insulted by Can kwa kusema anataka kwenda kwenye very big club, so they thought Can aliona LFC siyo kitu, mwisho kabisa wakaja kusema kuwa Can anaondoka LFC kwaajili ya pesa za Juventus, at this point hakukuwa na turning back kwa Can, he had to leave, these negative news were accompanied na hate artcles from the local jornos and crticing every Can's performance. so what if the medias werent there would Can viewed as a snake or a player with bad attitude?

in the case of Coutinho, Segura used media propaganda to drive Coutinho at barca, and he succeed

in the case of Can, Edwards used Media propaganda to drive Can out of LFC

so kwenye situations zote mbili, Medias ndiyo zimeplay a Key part kwenye both deals.

said it and i will say it again, Medias runs this sport, every single person kwenye hii business anatumia medias kupush his/her agedas. its not a rocket science.
Based on your explaination I have understood that source of all evils are not coming from local newspaper....but papers are only used as a media or catalyst to accelerate signed off or departure of a particular player who involved in a saga kwa faida ya group fulani.
 
Robertson found out LFC were interested in him through newspapers

It was Echo and kina Joyce who ruined the VVD deal kipindi kile

Why?

Edwards briefed the Echo kuwa LFC wants VVD, Reed reacted through Southampton Echo telling Soton fans VVD wont be leaving na LFC hawajapeleka offer yoyote mezani

few days later, Edwards calls Reed na kumwambia rasmi kuwa Klopp anamtaka VVD, Reed WELCOMED the offer, but told him City and Chelsea were in for him as well, Edwards asks for a meeting, then Reed told him Soton will accept the higher bidder, and asked him kama anaweza ku-matc bids za City and Chelsea, Edwards agrees, now it was up for VVD himself to decide where atakakoenda, at this time Reed gave permission kwa clubs zote zilizobid kuongea na mchezaji, and lastly Klopp got a chance ya kuongea na VVD, and he agreed to join LFC, Edwards went on to leak the news kwa Echo. Joyce, Mellisa etc, lengo likiwa ni ku-unsettle City na Chelsea na pia kudrive the price down as mchezaji amesha-declare kujoin LFC, now few hours later baada ya zile habari Reed anapokea simu kutoka City na Chelsea kuwa wamejitoa kwenye deal, Reed is furious as his planned bidding war has failed, and apart from that he was mad because that news wasnt supposed kutokla out, it was a private meeeting, so why reporting it and say the player has chosen to join LFC? and few weeks earlier he promised Soton fans kuwa they wont sell VVD to LFC (rmb Soton ilikuwa inaitwa LFC feeder club and its fans hated that), so to calm the fans down, he briefed the media kuwa they have filed a complaint FA kuhusiana na suala tapping up, just to cover the damage, but then they found themselves getting no other buyers or suitors as VVD tayari ilikuwa imeonekana kuwa anataka LFC tu.

So what if the medias werent there?
 
Based on your explaination I have understood that source of all evils are not coming from local newspaper....but papers are only used as a media or catalyst to accelerate signed off or departure of a particular player who involved in a saga kwa faida ya group fulani.

no medias, no businesses

thats how the football world works.

United now are trying everything kutumia Medias kumpata Pochettino

fanya homework now, kwenye match pressers za Poch, utapata atleast one or two united realated questions.
 
no medias, no businesses

thats how the football world works.

United now are trying everything kutumia Medias kumpata Pochettino

fanya homework now, kwenye match pressers za Poch, utapata atleast one or two united realated questions.
the big role of any media in the world is to search for the hidden news....and informs the public....
 
ukiwa unashabikia liverpool na simba mambo ni murua sanaaa

Jonas Mkude, that kid is better than viungo wengi wa Ulaya (wont state names as i'll find myself in big trouble)

and i'm not even kidding

but he will waste his career in Tanzania kama wenzake kina Kazimoto

they dont like challenges, wanataka kuwa kwenye comfort zone tu


Shekhan Rashid, the most talented and gifted Tanzanian Midfielder ever (in my opinion) didnt even try to sell himself France or German

ukisoma stories za kina Drogba, Etoo, Mane, Keita, Muntari etc it wasnt easy for them, they had to embrace rejections and racism but they accepted the challenges

Salah who is now recognized as one of worlds beaters na kuwafanya scousers kuimba jina lake kila siku, mpaka anakuja kupata nafasi ya kuichezea club yake hii anayoipenda tangu akiwa mdogo, haikuwa kazi rahisi

he fought mpaka akapata nafasi Basel kule uswiss, then his agent started to sell him to LFC, the club saw him and liked him, but our Brendan Rodgers thought 11m was too much for Salah, we kept them waiting for more than 9 months, then mou came in and paid more than 11m for him, but his life at chelsea was hard, got loaned to Fiorentina, then to Roma where they signed him permanently, after good few seasons, he got Klopp and Buvac interested, though Klopps first choice was Brandit at that time, but he liked Salah as well, we tried for Brandit but got priced out by his club, Klopp hakujiuliza mara mbili akarudi kwa Salah. and as expected salah and his agent did everything they could to get the dream move as monchi hakutaka kumwachia kwa urahisi, we all remember that transfer saga but now yupo LFC, its all about dedication, kitu ambacho wachezaji wetu wa Tanzania hawana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom