Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Alisson wacha Uhuni bhana ha ha ha ha ha

IMG_20181222_083108.jpg
 
Msimu huu Liverpool msipobeba kombe lolote kati ya EPL ama UEFA au FA basi mtashangaza sana.

Maana mumekuwa na wakati mzuri sana. Msimu huu mna kikosi chenye potential ya ushindani ..pengine kuliko hata kizazi cha akina Steve Gerrard, Kuty, Torres...

Klopp asipo nyanyua kwapa msimu huu hatonyanyua tena mpka anaondoka England..
 
Jana VVD amemneutralize Adama kwa 100%.


Adama Traoré this season:
• 6.1 successful dribbles per 90 (2nd in Europe)
• 71% dribble success rate (top 5 amongst players with 30+ successful dribbles)

Against Liverpool:
• 1/4 successful dribbles
• 2/10 overall duels
Jana traore alitiwa mfukoni kabisaa
 
mkuu tubadilishie picha ya squad

tuwekee squad ya 2018/19
View attachment 822971
Full name: Liverpool Football Club

Nickname(s): The Reds

Founded: 3 June 1892

League: Premier League

Website: LiverpoolFC.com


View attachment 822972
Ground: Anfield, (Capacity: 54,074) - Pitch 101m x 68m


View attachment 822990
Principal Owner: John W. Henry

View attachment 822995
Chairman: Tom Werner

View attachment 823004
Manager: Jürgen Norbert Klopp
Liverpool Trophies:
League Tittles: 18

Premier League Champions: 18 (1900/01, 1905/06, 1921/22, 1922/23, 1946/47, 1963/64, 1965/66, 1972/73, 1975/76, 1976/77, 1978/79, 1979/80, 1981/82, 1982/83, 1983/84, 1985/86, 1987/88, 1989/90)

European Trophies: 11
UEFA Champions League: 5 (1976/77, 1977/78, 1980/81, 1983/84, 2004/05)
UEFA Europa League: 3 (1972/73, 1975/76, 2000/01)
UEFA Super Cup: 3 (1977, 2001, 2005)

FA Cup Trophies: 7 (1965, 1974, 1986, 1989, 1992, 2001, 2006)

League Cup: 8 (1980/81, 1981/82, 1982/83, 1983/84, 1994/95, 2000/01, 2002/03, 2011/12)

Community Shield: 16
FA Community Shield: 2 (2001, 2006)
FA Charity Cup: 13 (1964, 1965, 1966, 1974, 1976, 1977, 1979, 1980, 1982, 1986, 1988, 1989, 1990)
Sheriff of London Charity Shield: 1 (1906)

Other Trophies:
Second Division: 4 (1893/94, 1895/96, 1904/05, 1961/62)
Lancashire League: 1 (1892/93)
Football League Super Cup: 1 (1985–86)

View attachment 823061
Liverpool Football Club celebrate as they Crowned Carling Cup Winners(2012)

View attachment 823039
Liverpool FC Squad (2017/18)
Follow this thread for team updates!
 
Pomoja na ushindi mzuri wa jana usiku, na kupata clean sheet nimeona watu wakisifia tu bila kusemea weakness za pale kwenye backline yetu. Kuna erra flani jana tumefanya kama wolve wangekuwa makini hakika ingetugharimu.

Fabinho, dk za mwanzo. Allison, keita na Lovren wote wamefanya makosa ya kijinga ambayo kwa timu makini lazima wakuadhibu. Hizi back passes kwa kweli sizipende japo kuna wakati zinasaidia kupunguza pressure.
 
Pomoja na ushindi mzuri wa jana usiku, na kupata clean sheet nimeona watu wakisifia tu bila kusemea weakness za pale kwenye backline yetu. Kuna erra flani jana tumefanya kama wolve wangekuwa makini hakika ingetugharimu.

Fabinho, dk za mwanzo. Allison, keita na Lovren wote wamefanya makosa ya kijinga ambayo kwa timu makini lazima wakuadhibu. Hizi back passes kwa kweli sizipende japo kuna wakati zinasaidia kupunguza pressure.

Back Pass kuna wakati unalazimika Coz unakuwa upo Under pressure Ni lazima uridishe mpera nyuma kwa kukosa Penetration ya forward pass.

Back pass zisizo na maana Ni zile za Hendo ambazo hana pressure yoyote na yupo free huku washambuliaji wakimuomba Mpira na still anapiga Back pass.
 
Klopp sasa hivi ameshajua winning combination ni ipi, Mid ya Hendo-Gini-Milner tutaanza kuisahau taratibu, Fabinho kashavamia nyumba.

Kwasasa Fabinho Haekeki Bench tena.

Ni wazi kuwa Combi yetu ya Kumalizia huu msimu Ni GINI - FABI - HENDO ambayo sio mbaya as long as HENDO atachezeshwa CM ya Namba 8 na akaperform kama Jana kwani ugomvi wetu na yeye ni Kuchezeshwa Namba 6.
 
Klopp sasa hivi ameshajua winning combination ni ipi, Mid ya Hendo-Gini-Milner tutaanza kuisahau taratibu, Fabinho kashavamia nyumba.

Na Jengine Ni Kwamba Game yetu na Newcastle Klopp huenda akafanya Rotation kwa ajili ya michezo ya vs Arsenal & vs Man City.

So, naona dhahiri Clyne na Xhaqiri wataanza hii game, na kati ya Milner na Fabinho watapumzishwa.

Mido huenda akacheza GINI - HENDO - XHAQ

Na Namba 2 atacheza Clyne.
 
Maneno Haya ya Sir Alex Ferguson sitoweza kuyasahau kamwe kwani Ni ukweli mtupu.

"Attack wins you matches but defence wins you titles"


Na Ndiyo ukweli unaonekana wazi baada ya last Season kuwa na Most attacking Force in Europ lakini hatukufanya vizuri EPL.

But this season Hatuna Attacking Force ya kutisha kama last season ila tuna Defence ya kutisha ya ALISSON, GOMEZ, VVD na ROBERTSON ambao wametengeneza ukuta mgumu unaotufanya tufanye vizuri kwenye EPL.

FERGUSON YUPO SAHIHI 100%
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom