Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

ook, kumbe ndio hivyo ushabiki adazi ulivyo...basi endelea kuwepo hapa maana binafsi nimo sana hapa uzii wa Liverpool the great hayo maneno yako hayanihusu...
hahahahahahahaha sawa ,kuu tuendelee kushabikia timu zetu...huku tukiombea njaa kwa maadui zetu so liver 1 wolves 3............
 
hahahahahahahaha sawa ,kuu tuendelee kushabikia timu zetu...huku tukiombea njaa kwa maadui zetu so liver 1 wolves 3............
mpaka sasa fahamu Liverpool sio timu ya kuchapwa na hao Wolves, msimu huu hawa wanaoitwa Lesser teams hawatoki na hata point moja kwetu, watakua wanaambulia vipigo hivyo subiri maumivu baadae
 
Mechi ya leo ni muhimu sana kuingiza kikosi cha kutengeneza goal difference, nne bila itapendeza zaidi...halafu na siku ya Newcastle United pia tutengeneze goli difference ya 4+

Mkuu unawafahamu Wolves lakini?
Si Wa Kuwachukulia poa hao Wasela!

Huwezi tu ukawaza Kutoka GD 4+ kiboyaboya kama unavyodhani

Tutapaswa tupambane kweli.
 
Mbona unateseka, mm nimewaombea ushind mwema wolves (mbweha)

Mkishinda sawa ni sehemu ya matokeo, ila mm binafs nawaombea wolves washinde
Nashukuru ushajua kua matokeo yyt hutokea kwanza

Mwambie na the GONO mwenzio aache ramli
 
...inabidi mfunge twin cam, turbo charged engine maana wanakuja hao, ...Man U aliwasha indicator mapema, keshapita, ...A'Villa nao hao wana ku flash... Chelsea wao wanakuonea haya kukupita...

sie washika bunduki tuna mark time, tunawasubiria kwenye milima...
huyu mwamba ndio aliowaonea huruma mpaka akawafungulia thread humu JF,ni shabiki nguli wa GUNNERS dah sijui yuko wapi maana kimya kingi sana mzee Mbu nakumbuka kipindi kile kulikuwa na huyu jamaa aitwae Nzi naye alikuwa shabiki lialia wa manure haya majamvi yalikuwa yananoga sanaaaaaaaaaaaa

cc. Wacha1 mzee wa khee khe khee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
leo
Nashukuru ushajua kua matokeo yyt hutokea kwanza

Mwambie na the GONO mwenzio aache ramli
ndio utajua kwanini mukaitwa LOSERFOOLISH maana nahisi utakuwa mgeni humu so hujui kisaasili cha hilo jina


JIMENEZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZ
 
Mkuu unawafahamu Wolves lakini?
Si Wa Kuwachukulia poa hao Wasela!

Huwezi tu ukawaza Kutoka GD 4+ kiboyaboya kama unavyodhani

Tutapaswa tupambane kweli.

Unakumbuka tulichowafanya Bournemouth na Man United? Kwanini tushibdwe kupata hiyo GD ya 4 kwa Wolves???
Mimi naamini we are capable ndugu yangu, tena realistically siyo kishabiki!
 
huyu mwamba ndio aliowaonea huruma mpaka akawafungulia thread humu JF,ni shabiki nguli wa GUNNERS dah sijui yuko wapi maana kimya kingi sana mzee Mbu nakumbuka kipindi kile kulikuwa na huyu jamaa aitwae Nzi naye alikuwa shabiki lialia wa manure haya majamvi yalikuwa yananoga sanaaaaaaaaaaaa

cc. Wacha1 mzee wa khee khe khee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Huyo Nzi wa Man United alishajikatia tamaa ya timu yake, labda aibuke saizi kwakuwa "Sosha" kaja kwenye timu yao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom