Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

"Both teams can attack and score goals, but whoever defends best will win the game”

So, the game will be fecided by defence.

You wanna argue?
 

Click jina lake, utaona options kama Follow, Ignore, Conversation, Find.

Bonyeza hiyo Ignore, basi.
 
Na kinacho mkumwasha nae ni panic tu anatamaa ya kufunga mpaka anakosa hayupo free kama Boby anatamaa ya kua kila kitu ndo tatizo.
 
Kama unatumia Computer basi right click hilo jina lake au kama unatumia Smartphone touch hilo jina lake itakuja profile yake na neno IGNORE kama unavyoona kwenye hiyo Screenshot then utatouch au kuclick hiyo ignore.

 
Mkuu umenikumbusha hii ishu yake yakukosa killer chances ni on going kabisa wala sio ishu jipya...

siku akiamka na kutulia apatapo hizo nafasi atapata 25+ goals per season
 
Please Klopp we need this 4 - 2 - 3 - 1

ALISSON

MILNER - LOVREN - VVD - ROBERTSON

GINI - FABI

BOBBY - KEITA - MANE

MO SALAH
 
I know it is too early but still I've a hope! Well done Soton! Do your job for us
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…