Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mku hili halipingiki tena waingereza wenyewe washaona kua FAB3 ni bora sana ktk pitch

HENDERSON washaona ni mzembe thus y WAINGEREZA wameanza kumlilia DIER baada ya kushinda game zao nyingi bila HENDERSON hapa mwisho mwisho

Tazama LFC account istagram utaona first XI ikipangwaga kama HENDO yupo watu huwa wana Raise sanaa hii inaonyesha kuwa watu wameamini HENDO ndie mborongaji mkubwa mpk sasa maana hana ufundi wowote
 
Agree?

IMG_20181216_081716.jpg
 
Hapo mchecheto ni Lovren pekee tu! Lakini mbele ya Lovren akikaa Gini na kuliani kwake akiwepo Milner, kidogo itapunguza risk za huyu jamaa.
Lovren yuko vzr tu labda ni hofu yako tu juu yake. Mm nakuhakikishia Lovren ni beki wa maana sana
 
wenye hasira wote kutwa kucha wapo kwenye majukwaa ya watu
huo ni ushamba mkuu,kama ungekuwa upo vizuri usingeweza kuandika hili povu........huku ni kutokujiamini ndio kunawasumbua hili ni jukwaa huru hakuna mtu mwenye mipaka ya kuingia hapa hata guests wanaingia na kusoma yanayoendelea humu sembuse sisi members!!!!!halafu hii kauli ya kutaka watu wasije hapa imewajaa sana na mimi ndo nawakomoa nikitaka kupost napost anytime cause nina haki hiyo

ukitaka kuweka mipaka watu tusiingie hapa waambie mods wapelekeke hiki kithread chenu JLW maana kule wengine hawana access ya kuingia
 
Lovren yuko vzr tu labda ni hofu yako tu juu yake. Mm nakuhakikishia Lovren ni beki wa maana sana

Mkuu naheshimu mawazo yako!

Lakini kama sababu ya uzuri wake ni kwa points hizi 2 basi I'm speechless:

1 - Alitufikisha Fainali ya Champion League

2 - Ameifikisha Croatia Fainali ya World Cup

Kama unazo Facts nyengine zozote zile za Kuweza Kubackup uzuri wake basi nieleweshe Mkuu pengine sijauona mimi tu uzuri wake.

#YNWA
 
huo ni ushamba mkuu,kama ungekuwa upo vizuri usingeweza kuandika hili povu........huku ni kutokujiamini ndio kunawasumbua hili ni jukwaa huru hakuna mtu mwenye mipaka ya kuingia hapa hata guests wanaingia na kusoma yanayoendelea humu sembuse sisi members!!!!!halafu hii kauli ya kutaka watu wasije hapa imewajaa sana na mimi ndo nawakomoa nikitaka kupost napost anytime cause nina haki hiyo

ukitaka kuweka mipaka watu tusiingie hapa waambie mods wapelekeke hiki kithread chenu JLW maana kule wengine hawana access ya kuingia
Hata kama ni kuichukia Liverpool wewe umepitiliza Mkuu dah too much too much unakera sana sana
 
Hata kama ni kuichukia Liverpool wewe umepitiliza Mkuu dah too much too much unakera sana sana
hili ndio tatizo letu sana wabongo kuwa hawaangalii fact mara zote wanaangalia kutetea upande waliopo hata kama ni upumbavu...........mimi siichukii liverpool kama unavyofikiria wewe hili ni soka na soka ni ushindani muda wote adui unamwombea njaa ili wewe ukae pazuri hapo uilipo ulitamani jana man city apoteze ili wewe hata leo ukisuluhu au ukifungwa isikuathiri katika nafasi uliyopo.......hata wewe ungekuwa katika nafasi za chini huko leo ningeombea ushinde ili umpunguze kasi man utd mpira ndivyo unavyoenda mkuu......msiwe vipofu

sasa kama wewe unaona nakukera na mimi ndio ninavyotaka sasa maana hamujielewi wanaoolewa mpira wale washabiki wa liverpool WANALIVERPOOL HALISI wanaelewa na ndio maana huoni kupayukapayuka kama nyinyi washangiliaji wa livapuli CHIPOLOPOLO..................this is football mkuu,soka ni burudani wachezaji wanaenjoy kucheza pale uwanjani sisi washabiki tunaenjoy kutazama na kutaniana kwa tambo za hapa na pale....nyinyi ndio wale mnaorushaga ngumi kwenye mabanda umiza....shubamitt

kama umekasirika pole mkuu
 
hiy
The best you can do ni kuclick ignore button, hutaona alichoandika.
hiyo ni njia nzuri sana ili asije akapasua kifaa chake kwa hasira ingawa hiyo ni sawasawa na unajamba huku umevaa earphones ukafikiri watu hawatosikia kwakuwa wewe husikii hahahahahahahahahahahahahahahahaha
 
The best you can do ni kuclick ignore button, hutaona alichoandika.
yaani jukwaa lenu wenyewe halafu unalikimbia hapo ndio mpo katika nafasi nzuri katika msimamo naamini mkikaa katika nafasi zenu halisi wote mtakimbia humu mana unaignore watu mpaka utajiignore mwenyewe
 
huo ni ushamba mkuu,kama ungekuwa upo vizuri usingeweza kuandika hili povu........huku ni kutokujiamini ndio kunawasumbua hili ni jukwaa huru hakuna mtu mwenye mipaka ya kuingia hapa hata guests wanaingia na kusoma yanayoendelea humu sembuse sisi members!!!!!halafu hii kauli ya kutaka watu wasije hapa imewajaa sana na mimi ndo nawakomoa nikitaka kupost napost anytime cause nina haki hiyo

ukitaka kuweka mipaka watu tusiingie hapa waambie mods wapelekeke hiki kithread chenu JLW maana kule wengine hawana access ya kuingia
Uwezo wako wa kuelewa mdogo mno, wapi nimezua watu kuja humu kuposti chochote? Nimesema wenye hasira kutwa kucha wapo kwenye majukwaa ya watu, hiyo mimba changa inaonekana bado inakusumbua bint, ukuzubaa majogoo wataikuza shauri yako
 
Uwezo wako wa kuelewa mdogo mno, wapi nimezua watu kuja humu kuposti chochote? Nimesema wenye hasira kutwa kucha wapo kwenye majukwaa ya watu, hiyo mimba changa inaonekana bado inakusumbua bint, ukuzubaa majogoo wataikuza shauri yako
wewe inaonesha ndio hujielewi kabisa na wala hujitambui sasa kwa hiyo statement yako hapo ulikuwa una maanisha nini kama wewe kweli uko vizuri kiakili na kifikra pia.....mimi nipo normal kabisa na ndio tatizo la kubisha na mtu usiyemuona maana mwenzako yupo normal ila wewe unajipanikisha hovyo ,sasa wewe panic toa mapovu ila mimi nipo kawaida na ombea ushinde au usuluhu leo ila ukipigwa hapa kutawaka na makolo kama nyinyi lazma mjipige ban
 
wewe inaonesha ndio hujielewi kabisa na wala hujitambui sasa kwa hiyo statement yako hapo ulikuwa una maanisha nini kama wewe kweli uko vizuri kiakili na kifikra pia.....mimi nipo normal kabisa na ndio tatizo la kubisha na mtu usiyemuona maana mwenzako yupo normal ila wewe unajipanikisha hovyo ,sasa wewe panic toa mapovu ila mimi nipo kawaida na ombea ushinde au usuluhu leo ila ukipigwa hapa kutawaka na makolo kama nyinyi lazma mjipige ban
Kati yangu mimi na wewe nani yupo normal? Mtu masaa yote mipovu inakutoka kama umemeza OMO
 
n
Kati yangu mimi na wewe nani yupo normal? Mtu masaa yote mipovu inakutoka kama umemeza OMO
nikikuita empty set wala sitokuwa nimekosea........maana hata hilo uliloandika nalo ni povu

nikupe pole sana ila kausha tuje hapa baada ya dk 90 ili kutoa pongezi au kufunga turubai la msiba .......uzuri wa mimi sio mnafki mkishinda nitakuja hapa kuwapa hongera zenu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom