OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Madrid na Liverpool ni timu mbili tofauti.Naheshimu mawazo yako! Kwahiyo nakukumbusha tu kuwa Last season Real Madrid alitolewa jasho na kufungwa na Spurs kwenye Makundi lakini kwenye mtoano alimfuga PSG, Juventus, Bayern na Liverpool mpaka akabeba kombe.
So, whta is your point?
Kuanzia benchi la ufundi mpaka quality ya players. Kwa mtazamo wako unadhani Liverpool anaweza kufanya alichofanya Madrid msimu uliopita.?