Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Baadaye mtakuja kumpigia klopp makofi. Kuna watu huku huwa siamini kama ni mashabiki wa Liverpool. Tucheck game wazee tuwaache makocha wafanye kazi zao
 
Mambo ya kujua mtu ni shabik au sio shabik hayakuhusu kila mtu anaandika anachokiona humu

Game tukishinda sawa

Tukilose ni ujinga wa kocha

Ova
 
Unakaza ubongo lkn najua umeelewa

Shabik wa the gono kabishane na chelshit huko huku huna hadhi yako utajiabisha tu
luzapulu a.ka. baskeli la miti kitimu ka half season wonder huna hadhi ya kubatle na washika mtutu 7bu kitimu kenyewe ni maajuza
 
Mara yako ya mwisho kushirik UEFA lini???

Mara yako ya mwisho kuchukua UEFA lini???
Mara yako ya mwisho kumfunga liverpool lin?

Mara yako ya mwisho kuingia nusu fainal UEFA lini

Mara yako ya mwisho kucheza fainal ya UEFA lini?
Mara yako ya mwisho kumzid liverpool point kweny EPL ln

Majibu unayo tyr
luzapulu a.ka. baskeli la miti kitimu ka half season wonder huna hadhi ya kubatle na washika mtutu 7bu kitimu kenyewe ni maajuza
 
.....Carlo Ancelotti, Coach wa SS Napoli ni mmoja kati ya makocha bora, mwenye mafanikio kwenye hii ligi ya mabingwa barani ulaya. Kaibadili Napoli kuwa bora kuliko aliyoiacha mzee Sarri. Tusitegemee mteremko leo, kwa wale mlioona game za Napoli kwa siku za karibuni, mtakubaliana nami kwamba tunaenda kupata wakati mgumu pale Anfield.

Sioni ni kwa vp tunaweza kuvuka kwenda knockout stage. Napoli ni timu nzuri na bora pia. Tuombe tu Mungu awe upande wetu.

YNWA
 
k
Baadaye mtakuja kumpigia klopp makofi. Kuna watu huku huwa siamini kama ni mashabiki wa Liverpool. Tucheck game wazee tuwaache makocha wafanye kazi zao
una pipoz zina viherehere sana yaani vinajifanya vinajua kupanga timu kuliko makocha dadadek
 
.....Carlo Ancelotti, Coach wa SS Napoli ni mmoja kati ya makocha bora, mwenye mafanikio kwenye hii ligi ya mabingwa barani ulaya. Kaibadili Napoli kuwa bora kuliko aliyoiacha mzee Sarri. Tusitegemee mteremko leo, kwa wale mlioona game za Napoli kwa siku za karibuni, mtakubaliana nami kwamba tunaenda kupata wakati mgumu pale Anfield.

Sioni ni kwa vp tunaweza kuvuka kwenda knockout stage. Napoli ni timu nzuri na bora pia. Tuombe tu Mungu awe upande wetu.

YNWA
big up mkuu
 
Mambo ya kujua mtu ni shabik au sio shabik hayakuhusu kila mtu anaandika anachokiona humu

Game tukishinda sawa

Tukilose ni ujinga wa kocha

Ova
Nilikuwa najiuliza hii timu huku ndani wanatoafautiana kwa sababu gani kumbe kuna watu wanaoamini wanajua sana wakati hawajui chochote ,kama unashindwa kujua midfield ya timu yako ambayo ni first eleven, Mimi sijakulazimisha ushabikie timu hii,jipange haujui na bahati mbaya haujui kama haujui .
 
Mara yako ya mwisho kushirik UEFA lini???

Mara yako ya mwisho kuchukua UEFA lini???
Mara yako ya mwisho kumfunga liverpool lin?

Mara yako ya mwisho kuingia nusu fainal UEFA lini

Mara yako ya mwisho kucheza fainal ya UEFA lini?
Mara yako ya mwisho kumzid liverpool point kweny EPL ln

Majibu unayo tyr
MARA YAKO YA MWISHO KUCHUKUA EPL LINI?

ULIKUWA UMEZALIWA TAYARI AU ULIKUWA KATIKA ZIPU?

NAONA BADO UNAOTA ILA UKIAMKA UTAPATA MAJIBU
 
Kuandika yenyewe hujui maana ni shabik wa chama cha mababu zako

CCM na mpira wap na wap kaokote makopo huko na kichaa mwenzako jiwe
Nilikuwa najiuliza hii timu huku ndani wanatoafautiana kwa sababu gani kumbe kuna watu wanaoamini wanajua sana wakati hawajui chochote ,kama unashindwa kujua midfield ya timu yako ambayo ni first eleven, Mimi sijakulazimisha ushabikie timu hii,jipange haujui na bahati mbaya haujui kama haujui .
 
Napoli hawana timu ya kutuzuia sisi iwapo tu Gini na Milner leo watakuwa oustanding! Na ninatarajia hili leo litatokea ndani ya Anfield
 
Shabiki wa CCM na mpira wapi na wapi Nenda kavae mashati ya kitenge cha kijani na njano maana ndo kazi mnazo ziweza
Wewe shabiki wa chadema usiyeijua team yako unalazimisha kwa ufahamu wako kocha afuate akili zako ambazo kimsingi haziwezi ongoza hata kundi la nyumbu na bata utasubiri sana ,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom