Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hizi Rekodi Zimewekwa Kwa Ajili Ya Kuvunjwa!
Hata Stoke City, Crustal Palace na West Bromwich Albion Wakati anakuja Klopp Liverpool ushindi wetu kwao ulikuwa Ni Draw, tena hiyo Draw tunaweza kuipatia Anfield na si Away lakini tukapambana mpaka tukaondosha Rekodi za Uteja Kwao.
Sasahivi Hao wote tunapiga Nje Ndani.

Kwahiyo na Huyo Refa Bundi wake tunamchoma Mishkaki Leo usiku na Kumlia Ugali.
Liverpool wanahitaji kucheza kama hawatocheza tena, vivyo hivyo kwa SS Napol. Inawezekana Liverpool wanauhitaji mkubwa sana wa alama tatu(3), ila pengine SS Napol wanauhitaji mkubwa zaidi wa alama moja(1).

Kitu kizuri kwa Liverpool ni kuwa mchezo huu wanaucheza nyumbani(Anfield).... Home ground mentality imekuwa nzuri kwa Liverpool na kitu pekee chakuchunga kwao ni kutowaruhusu Napol kupata goli, kwamaana ya kwamba Liverpool inahitaji alama 3 na clean sheet juu.

Ni fainal kwa Liverpool kabla ya fainal. Sina shaka na current form ya Liverpool kwa sasa ila ninashaka na form ya Liverpool kwenye champions league. Wanachokihitaji ni kufanya Shift tu ya kuuhamisha ubora wa kwenye EPL kuupeleka Champions League.
 
Kwa nini asingeanza hata Fabinho kama Keita kocha hajamwamini, duh hii shida nyingine hii
IMG-20181211-WA0028.jpeg
 
Kuna watu humu mawazo yenu sijuwi yakoje,kocha lazima awe na first eleven na first eleven yenu inajulikana ,mtu anataka wachezaji wa majaribio wacheze ,mkishinda jipongezeni mkifa basi ni mchezo ,kujifanya mnajua kuliko kocha ni ujinga na uchizi kutomwamini dereva ukapanda gari ni uchizi mwingine.
 
Mkuu ina maana kwa mtazamo wako hao gooners ni zaidi ya Liverpool...
Murinyo huyu pale Anfield sana sana atakuja kuisaka draw na sioni akiipata zaidi ataambulia kipigo...
mtasubiri sana sie kupigwa Jpili ni gemu ya 17 bila kupoteza EPL na point 3 safi kabisa...
Mara ya mwisho unashinda kwa united ..ilikuwa msimu gani vile??

#YourNowInEuropa.
 
Leo Tunampiga Napoli Na Kutinga Last Sixteen!

Nani anabisha? Rant boys? Gooners?

For what I know Liverpool have already switched their energy na wachezaji tayari wameanza kupigana kwa ari! Na hilo mutalishuhudia leo vs Napoli.

Ninachowaza kwasasa ni jee Knockout stage tutakutana na nani? Na sio nipoteze muda kuwa leo Tutaqualify vipi1
Endelea kujipa matumaini ...leo huna pa kutokea..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom