Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nilikuwa najiuliza hii timu huku ndani wanatoafautiana kwa sababu gani kumbe kuna watu wanaoamini wanajua sana wakati hawajui chochote ,kama unashindwa kujua midfield ya timu yako ambayo ni first eleven, Mimi sijakulazimisha ushabikie timu hii,jipange haujui na bahati mbaya haujui kama haujui .
HAO NI WASHANGILIAJI WA LUZA PULU SIO MASHABIKI,MASHABIKI WA LUZAPULU HUWEZI KUWAKUTA JF NA FB MANA ZAMA ZAO ZILISHAPITAGA
 
MARA YAKO YA MWISHO KUCHUKUA EPL LINI?

ULIKUWA UMEZALIWA TAYARI AU ULIKUWA KATIKA ZIPU?

NAONA BADO UNAOTA ILA UKIAMKA UTAPATA MAJIBU
1990 mara ya mwisho

Vp ww mara ya mwisho kuchukua uefa ilikua lin ???
 
Wewe shabiki wa chadema usiyeijua team yako unalazimisha kwa ufahamu wako kocha afuate akili zako ambazo kimsingi haziwezi ongoza hata kundi la nyumbu na bata utasubiri sana ,
Sinaga chama bahat nzur
Hiyo CHADEMA unaijua ww

Kalale umeshiba pesa za posho za majasho ya watu wanyonge wanao hangaika mchan na usiku
 
Nilikuwa najiuliza hii timu huku ndani wanatoafautiana kwa sababu gani kumbe kuna watu wanaoamini wanajua sana wakati hawajui chochote ,kama unashindwa kujua midfield ya timu yako ambayo ni first eleven, Mimi sijakulazimisha ushabikie timu hii,jipange haujui na bahati mbaya haujui kama haujui .

Upo sahihi coz pia utakuwa unamaanisha wale washabiki wenzio wanaowalalamikia Alonso, Morata, Willian nao hawajui mpira wala hawajui FXI ya timu yao
 
1990 mara ya mwisho

Vp ww mara ya mwisho kuchukua uefa ilikua lin ???
na ndio maana nasema humu kuna washangiliaji wa luzapulu maana unaulizwa swali hata majibu huna kiukweli wewe HUJAWAHI CHUKUA EPL TOKA DUNIA IUMBWE
 
Sawa arsenal the GONO
epl sio mchezo SG mwenyewe kaishia kuona wanaume kina Thierry14 wakilibeba yeye mpaka anaingia kaburini hajawahi hata kulisogelea itakuwa wewe..........na hapa ndipo ninapoona tofauti ya washangiliaji na washabiki sasa wewe endelea kushangilia wakati washabiki wametulia tu
 
Napoli 3 luzapulu 1

mimi sio mchawi ila tukutane baada ya dk 90
 
Hongera umebadili footbal uwanja wa siasa na kama hauna chama karibu chama dume CCM ,kamwe hautajuata ! kidumu chama cha mapinduzi
Sinaga chama bahat nzur
Hiyo CHADEMA unaijua ww

Kalale umeshiba pesa za posho za majasho ya watu wanyonge wanao hangaika mchan na usiku[/QUOTE
 
Upo sahihi coz pia utakuwa unamaanisha wale washabiki wenzio wanaowalalamikia Alonso, Morata, Willian nao hawajui mpira wala hawajui FXI ya timu yao
Tuendelee kuunga mkono juhudi za makocha wetu wameaminiwa na management, wakiboronga tuna haki ya kushauri mgt iwatimue sio kuwapangia kazi as if we are employer,Mimi nilikuwa mlalamikaji mzuri lakini sasa ivi naunga mkono juhudi ya mwalimu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom