Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mine is Allison/milner/matip/vvd/Robertson/gini/keita/fabinho/salah/Bobby/mane

Najua ndezi wasiotutakia mema wanaumia


Mine is 4 - 2 - 3 - 1
.............. ALISSON

TAA - MATIP - VVD - ROBBO

............ GINI - FABI

MANE - BOBBY - KEITA

............. SALAH

Nakuhakikishia before HT tunaimaliza game
 
Mwisho wa msimu utakuwa hivi
1 Chelsea
2 Tottenham
3 man city
4 Liverpool

Kweli Upenzi Upofu!! Ivi ndiyo umeaminishwa Na Wapiga Ramli kuwa Spurs na Chelsea watamaliza juu ya Liverpool na Mancity?

Kabla ya Kufikiria Nafasi ya Kwanza, Ungelianza Kumfikiria Arsenal kuwa Muda wowote atakushusha

Lakini sikushangai inawezekana nawewe Ni katika Walioyapokea Kwa Mikono Miwili mawazo ya Neymar ya kuwa Liverpool Haitomaliza ndani ya Top 4.
 
This is Liverpool! Kuna mpuuz nilimwambia humu kuwa december hii licha ugumu wa mechi za EPL hizo 5, but liverpool ataenda kukusanya points zote 15 na kukaa kilele.

Now tumepiga mechi 3 ngumu kabisa na kufanikiwa kujizolea 9 points, na kukaa kilele.

Let'go sasa Napoli ajiandae kwa kipigo cha mbwa koko pale Anfield, The King is Back.
 
Liverpool haina kocha wa kuwapa makombe labda vikombe vya chai tu
 
Kweli Upenzi Upofu!! Ivi ndiyo umeaminishwa Na Wapiga Ramli kuwa Spurs na Chelsea watamaliza juu ya Liverpool na Mancity?

Kabla ya Kufikiria Nafasi ya Kwanza, Ungelianza Kumfikiria Arsenal kuwa Muda wowote atakushusha

Lakini sikushangai inawezekana nawewe Ni katika Walioyapokea Kwa Mikono Miwili mawazo ya Neymar ya kuwa Liverpool Haitomaliza ndani ya Top 4.
Sisi hatuna shaka na nyie kuongoza ligi kwa "kipindi hichi" maana huu ni wakati wenu tena mzuri tu. Msipoongoza msimu huu hamtaongoza tena ndani ya misimu miwili/mitatu ijayo. Mpambane maana huu ndo wakati Liverpool ipo kwenye kiwango bora kabisa. Klopp atakuwa na bahati mbaya kama atatoka mtupu msimu huu.

Wachezaji karibu wote wapo kwenye good moody na wanaongea vizuri na kocha wao Klopp.

Enewei ..karibu sana EUROPA.
 
This is Liverpool! Kuna mpuuz nilimwambia humu kuwa december hii licha ugumu wa mechi za EPL hizo 5, but liverpool ataenda kukusanya points zote 15 na kukaa kilele.

Now tumepiga mechi 3 ngumu kabisa na kufanikiwa kujizolea 9 points, na kukaa kilele.

Let'go sasa Napoli ajiandae kwa kipigo cha mbwa koko pale Anfield, The King is Back.
Kuifunga SSC NAPOLI sio rahisi kihivyo. Ni lazima ukubali Ku loose upande mmoja. Angalia ni wap panakufaa zaidi UEfA or EPL..
 
My preferred team against Napoli

Allison-TAA-Matip-VVD-Robertson/Fabinho-Keita/Shaqiri-Mane-Firmino/Salah

but wont be suprised to see Henderson and Milner in the midfield.
hapo kwenye TAA akae milner the rest are fine
 
Sisi hatuna shaka na nyie kuongoza ligi kwa "kipindi hichi" maana huu ni wakati wenu tena mzuri tu. Msipoongoza msimu huu hamtaongoza tena ndani ya misimu miwili/mitatu ijayo. Mpambane maana huu ndo wakati Liverpool ipo kwenye kiwango bora kabisa. Klopp atakuwa na bahati mbaya kama atatoka mtupu msimu huu.

Wachezaji karibu wote wapo kwenye good moody na wanaongea vizuri na kocha wao Klopp.

Enewei ..karibu sana EUROPA.

Mkuu usijibebeshe False Hope sisi hatuji Europa tunamfunga Napoli na Kusonga mbele
 
Now keep playing our best footballers in every game possible and we may have a great shot kwenye EPL title come may.

we cant afford to drop un-necessary points now.

...and we need to add depth kwenye attacking area na 1 good defensive cover

if we can manage to finish really strong kwenye hii busy period, then we can start to dream.
dreams are made of thissssssss n we dare dream if Keita, Faby combo imekaa poa sanaa waedelee kuwepo uwanjani.....na Salah acheze kati kati kama central srika kama jana then wonders il keep happening....dreams come true
 
Mine is 4 - 2 - 3 - 1
.............. ALISSON

TAA - MATIP - VVD - ROBBO

............ GINI - FABI

MANE - BOBBY - KEITA

............. SALAH

Nakuhakikishia before HT tunaimaliza game
This will be very compact mbele and reduce chance ya open game... Trent and robbo will also suffocate hapo mbele

TBH... Trent bado kea critical game Kama hi
Milner experience mattrrs
 
Watching Barcelona here,

Valverde giving Coutinho a hard time man

Dude used to be a star-man at LFC, and got turned into a bench-warmer at Barca

faked injuries and refused to train with the team for nothing man

think his next move itakuwa ni Serie A.

With Arthur out injured, Valverde going with Bus/Vidal/Raktic, no chance for Coutinho, na akicheza huwa anamchezesha as a Left winger, role ambayo hata wakati yupo LFC alikuwa ana-struggle.

Klopp found him a perfect role and build the team around him, but dude wanted to play with Messi and forgot that grass arent always greener

Let him, go down, no...! deep down
 
Sasa kilichobakia tufunge Magoli Mengi zaidi ili tuwazidi Man Shit kwa GD in case tutalingana points.

Screenshot_20181209-103839.png
 
People really thought Faby and Keita would flop at LFC

Ballers arent made for those occasions man

and the scary thought is, ndiyo kwanza wanaanza kutulia

wait till Ox is back.
Klopp said Faby came from a diffrent rythym of futbal wachache walishindwa kuelewa alivyosema Faby il take tym to adapt to th demands of his position..but now he is settling mdogo mdogo n th signs r bright future commandin th center...Keita nae mzee wa nutmeg tricks ile kasi yake iliyofanya tutoe mahela yote inaanza kuonekana..sio rahisi kuvaa ile jezi ya Liverpool na wakatwangusha...so far so good..
Mr Utlity Man Milner jana as usual alipopangwa kafanya yake huku akitimiza mechi ya 500 EPL, milestone n he aint stoppin soon.
 
This will be very compact mbele and reduce chance ya open game... Trent and robbo will also suffocate hapo mbele

TBH... Trent bado kea critical game Kama hi
Milner experience mattrrs

I agree with you about Milner to play ahead of TAA vs Naples

Milner ni mchezaji ambaye wengi tunampenda sana!

Lakini ni makosa tu ya kimfumo yaliyofanyika ambayo yalifanya tumlalamike!

Hope Kocha hatarudia tena mido ya Hendo-Gini-Milner ambayo imeshindwa Kufanya Kazi kwa sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom