Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Marko Grujic and Harry Wilson next summer ni lazima warudishwe Kikosini!!

I'm not sure about Grujic's future lakini Naweza kuona Kuwa Wilson ana bright future iwe ndani ya Liverpool au Nje ya Liverpool.

He will be a World Class
 
Huge day in the Premier League title race for the Reds.

👌🏻 √ 4-0 win
🙌🏻 √ 10th clean sheet
🔝 √ Top of the league
⚽️ √ Mo Salah is top scorer
🔛 √ 6 goal swing on City in GD
👊🏻 √ Last unbeaten side left
😅 √ 3rd best Premier League start by any team in history
 
Kwa liver hii, man u akipona sana 3-0

Ujue mou alikuwa anavizia sana , anatembea na mapungufu hasa ya beki ya liver, atakaa nyuma, atategemea kaunta , nowdays liver wana beki bora baran ulaya,

Hivo kukaa nyuma hakutamsaidia tena, atapigwa kipigo kibaya sana,

Akipata sare atafanya sherehe kama alivyojinasibu kwa arsenal kuwa yy ndio kacheza mpira, wakat ukweli aliingia kucheza rafu tu,

Tena anfield , mou anapaogopa sana, hivo atakaa nyuma akitegemea miujiza, kitakachompata anajua yy,

Hizo rafu hizo ndo zinanipa wasiwasi maana hatuna wachezaji wenye tabia hizo so hatutaweza compete as football need

To win a game you should know the weakness of your opponent... clearly kwa rugby style yao wana nafasi
 
Mou amebak kusubir miujiza kama ilivyotokea game na arsenal akapata sare,

Mpira wa sasa wa man u, ataadhibiwa tu,

Hata makampun ya kubet yameshaichungulia hiyo mech ,man u anakufa kuanzia 3+
mr Gunners ile game Morinyo ataweka kikosi cha kupaki treni na kutoa dro na si vinginevyo..yupo radhi afungwe na Cardif n crew lakini sio Majogoo..
hapa ni Klopp apange mziki wa kuikimbiza hioo treni mpaka tupate ushindi...
 
Milner is a true proffesional, used to give him a lot of sticks

but, ame-improve sana under Klopp and he deserves an extension.
sure he can get another 2yrs to pass his long experience to our comin reds jnrs...
though he would to retire pale Leeds...hope he remain wt us such a flexible xcter he have..
 
TAA akicheza upande mmoja na Shaqir, tunacheza vizuri sana.
Pale Mid wacheze Gin,Fabinho,Keita.
Forwards Mane ( money) Bobby, Mooo.
Naona umeniwekea viungo wa nne mkuu hapa unamaanisha 3-4-3 au vipi
Namuona shaqir, Gin, Fabinho, Keita na mbele nawaona wote vipi nyuma unapangaje?
 
Napoli Anafia hapa
4-2-3-1
salah
mane firmino shaqir
gin fabinho
robertson vvd matip TAA

Alison

Ingawa Mimi Nilimueka Keita ahead of Xhaqiri laiki hii Line-Up yako naikubali kwa 100% kuwa haimuachi mtu salama
 
Ingawa Mimi Nilimueka Keita ahead of Xhaqiri laiki hii Line-Up yako naikubali kwa 100% kuwa haimuachi mtu salama
Keita ni fundi sana wa kudrive team na anakua mtamu zaidi akicheza nyuma ya wale watatu wa mbele madhaifu yake ni pindi tunashambuliwa sio mzuri sana kwenye kucover. namuonaga anaperform fresh kwenye 4-3-3 ya holding wawili
mane firmino salah
keita
millie gin
robertson vvd matip TAA

alison

Ila, kwa gemu ya napoli hatuitaji kutembea sana na mpira nadhamni pasi ndefu ndio pekee za kutuvusha na pressing ya hali ya juu, sasa kwa mtazamo kama huo lazima umeweke shaqir coz jamaa ni aggresive sana
 
Keita ni fundi sana wa kudrive team na anakua mtamu zaidi akicheza nyuma ya wale watatu wa mbele madhaifu yake ni pindi tunashambuliwa sio mzuri sana kwenye kucover. namuonaga anaperform fresh kwenye 4-3-3 ya holding wawili
mane firmino salah
keita
millie gin
robertson vvd matip TAA

alison

Ila, kwa gemu ya napoli hatuitaji kutembea sana na mpira nadhamni pasi ndefu ndio pekee za kutuvusha na pressing ya hali ya juu, sasa kwa mtazamo kama huo lazima umeweke shaqir coz jamaa ni aggresive sana

Whatever the squad itakavyokuwa muhimu tupate ushindi tu Wa Kusonga Mbele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom