Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

We really need him against:
1) Napoli
2) Man U
3) Arsenal
4) Man City
Mkuu waingereza huwa wanashida gan yaan mjeruhi daily mbaya zaid ni wale wale wanajirudia
Muda sio mrefu sturrige nae anaenda kuungana na CHAMBERLAND
 
Mkuu waingereza huwa wanashida gan yaan mjeruhi daily mbaya zaid ni wale wale wanajirudia
Muda sio mrefu sturrige nae anaenda kuungana na CHAMBERLAND

Next man up, fate has it's only way of making things happen, too bad and bad timing.

We are caught off guard
 
kweli mpira unafki unafki tu yaani jana hawaloserfoolish wameshinda kiungo kikikamatiwa na le capitain HENDO hatusikii kelele za kupendelewa kwa ENGLISH PLAYERS wala nini....tunangoja mpigwe na bournamouth wikiend mtarud hapa kama sio KLOPP out basi mutamponda MILNER na HENDO dadadek .........mtu akifanya vizuri mpe sifa zake acheni unafki haujengi.....point 3 away hongereni sana ila milner na hendo wanamchango mkubwa ktk point hzo

Ambao hawana akili ni wanaomponda milner na hendo
Binafsi naona jamaa wako vzr sana sema ndo nyota
 
Acha Ukazuzu dogo! Aliyecontrol Midfield area Jana Ni Keita na Ndiyomana tumenyamaza Coz tumeekewa Mtu tunayemuhitaji..

Halafu Jifunze Mpira usiwe boya, Jana ilikuwa ni Rotation kwa Wachezaji Kuwapumzisha Kutokana na Ratiba ya December na Ndiyomana Wameanza kina Origi, Sturridge, Moreno, Matip, Xhaqiri... Kwahiyo Hatuwezi Kumlalamikia Hendo wala Matip Bali Tunajudge kuwa Ni Kesi ya Rotation, Kwahiyo Kama Ni lawama tuilalamikie Rotation na si mchezaji.

Unajitahidi kuupenda Mpira lakini Mpira haukupendi.

Sijawai kukukubali kwenye uchambuzi wako
Kifupi ni hujui mpira wala techniques
Unapenda sana wachezeshaji
Ila jua kwenye mpira kuna kukaba pia
Najua hujawai kucheza mpira ndo mana
 
Ambao hawana akili ni wanaomponda milner na hendo
Binafsi naona jamaa wako vzr sana sema ndo nyota

Watu wasio na hoja hukimbilia kuwaambia wenzao hawana akili, hawajui kitu Fulani etc

Badala ya kuja na facts za kutetea arguments zao.

Nikishaona mtu anatumia hii style kukwepa discussion naachana naye tu, au naelewa tu hamna hamna.
 
Sijawai kukukubali kwenye uchambuzi wako
Kifupi ni hujui mpira wala techniques
Unapenda sana wachezeshaji
Ila jua kwenye mpira kuna kukaba pia
Najua hujawai kucheza mpira ndo mana
Wewe ni type ya watu ambao una ile mentality ya kwamba kama hujawahi kufanya kitu basi hujui, hata fundi akijenga ukuta na unaona umepinda ila kwasababu ni fundi basi unaona yuko sawa tu maana wewe sio fundi na hujawahi kujenga,
 
Wewe ni type ya watu ambao una ile mentality ya kwamba kama hujawahi kufanya kitu basi hujui, hata fundi akijenga ukuta na unaona umepinda ila kwasababu ni fundi basi unaona yuko sawa tu maana wewe sio fundi na hujawahi kujenga,

Kizazi cha division 5 hicho mkuu, hakiwezi kujenga hoja yoyote kutetea point yake, kinakimbilia huna akili, hujui kitu.

Ukishaona hivyo unajua hamna kitu humu.
 
Wewe ni type ya watu ambao una ile mentality ya kwamba kama hujawahi kufanya kitu basi hujui, hata fundi akijenga ukuta na unaona umepinda ila kwasababu ni fundi basi unaona yuko sawa tu maana wewe sio fundi na hujawahi kujenga,

Nasema kwasabab nyie mashabiki mnaangalia mpira kupitia juu kitu kinachokufanya ujione unajua kila kitu
Ila tuliocheza mpira tunajua ndan ya uwanja unaona watu wamekuzunguka2
Kiufupi ni hendo na milner wana workrate kubwa hasa milner
Na hendo ni mzr wa kutuliza midfielder
Hujui kwann klop anawapanga ila klop anajua zaidi yenu wote mnaojifanya wazalendo
Liverpool miaka nenda rudi ilikuwa genge la wahuni ila jamaa kaibadilisha mnaanza kuponda maamuzi yake
 
Kizazi cha division 5 hicho mkuu, hakiwezi kujenga hoja yoyote kutetea point yake, kinakimbilia huna akili, hujui kitu.

Ukishaona hivyo unajua hamna kitu humu.

Jenga hoja kama unayo na sio unapapatapapata bila kujua mpira
Watu kama nyie hamjui chochote ila mmebalikiwa kuponda2
Leta hoja kama unayo
 
Sijawai kukukubali kwenye uchambuzi wako
Kifupi ni hujui mpira wala techniques
Unapenda sana wachezeshaji
Ila jua kwenye mpira kuna kukaba pia
Najua hujawai kucheza mpira ndo mana

Kukaba?
Kwani kwenye Timu yetu Tuna tatizo la Ulinzi??
We have TAA, Gomez, VVD and Robo sasa hapa tuna shida gani ya kujadili kukaba?

Halfu Ni dunia gani unayotoka ambayo Mimi nilihitaji Supporter yako unikubali?

I'm not Musician Man kama Nahitaji your Support unikubali so as to Shine.

I'm here Mimi kama Mimi na wala sihitani Supporter yako ya Kuwa Unikubali.
 
Watu wasio na hoja hukimbilia kuwaambia wenzao hawana akili, hawajui kitu Fulani etc

Badala ya kuja na facts za kutetea arguments zao.

Nikishaona mtu anatumia hii style kukwepa discussion naachana naye tu, au naelewa tu hamna hamna.

Mkuu hapa umenifundisha somo moja Kubwa sana.

Now nimejifunza Kuignore some pepoz...
 
Mkuu hapa umenifundisha somo moja Kubwa sana.

Now nimejifunza Kuignore some pepoz...

Unajua humu hatujuani, unajikuta unabishana na mtu ambaye ingekuwa kitaa usingebishana naye kwa sababu uelewa wake unaujua.

Kwa hiyo inabidi unakuwa selective kutokana na michango ya muhusika, kuna watu hata ujenge hoja vipi, watakwambia una chuki, hujui football management, hujacheza mpira, etc etc. Pia kuna wivu wa kuona mwenzio anashusha nondo katika njia ambayo unaona ni next level, kwa hiyo badala ya appreciation anaponda.
 
Ni mtazamo wangu tu Nahisi Baada ya Kuumia Gomez upo umuhimu Wa Kucheza 4-2-3-1 ili tuchezeshe Wawili Kwenye role ya Namba 6 (Gini na Hendo/Fabinho) tuimarishe ulinzi zaidi.
 
Ambao hawana akili ni wanaomponda milner na hendo
Binafsi naona jamaa wako vzr sana sema ndo nyota
shukrani mkuu kwa kulitambua hilo kuna vijamaa vinajifanya vinajua kuliko KLOPP humu.....watu wana maCV yao na utaalamu wa soka usio na mashaka wanaona kitu kilichopo kwa hawa jamaa wewe upo nyamkunya huko umeshiba sembe lako unaanza kupanga kikosi kwa wachezaji unaotaka wewe na kuwaponda wengine hawajui wakati wana mikataba na wanalipwa pesa ya kutosha.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom