Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wewe piga kelele, ila muda wakuja kuweka turubai humu , haupo mbali

Soon mtapoteana humu,

Naomba itunze hii COMMENT narudia tena

ITUNZE HII dah hawa loserfoooooooooooooooooooooooooooooool sioni wanatokea wapikatika jamvi hili naona vipigo kama vyote na shughuli inaanzia kwa bournamouth wikiend hii.......................
 
Hapo tunakusanya points 15 zote na bila kusahau UEFA tunaenda kumtandika Napoli cha mbwa koko siku hiyo.

This is Liverpool.
unaota wewe nahisi...............................huku futuhi ushaandaliwa nafasi yakouje kugongwa na kina samatta
 
kweli mpira unafki unafki tu yaani jana hawaloserfoolish wameshinda kiungo kikikamatiwa na le capitain HENDO hatusikii kelele za kupendelewa kwa ENGLISH PLAYERS wala nini....tunangoja mpigwe na bournamouth wikiend mtarud hapa kama sio KLOPP out basi mutamponda MILNER na HENDO dadadek .........mtu akifanya vizuri mpe sifa zake acheni unafki haujengi.....point 3 away hongereni sana ila milner na hendo wanamchango mkubwa ktk point hzo
 
Hawa jamaa nawakubali hawana mambo mengi wanaipandisha team na kupiga pasi chap chap kama kuna mtu anasibiri Milner na hendo wakae benchi atasubiri sana
kweli mpira unafki unafki tu yaani jana hawaloserfoolish wameshinda kiungo kikikamatiwa na le capitain HENDO hatusikii kelele za kupendelewa kwa ENGLISH PLAYERS wala nini....tunangoja mpigwe na bournamouth wikiend mtarud hapa kama sio KLOPP out basi mutamponda MILNER na HENDO dadadek .........mtu akifanya vizuri mpe sifa zake acheni unafki haujengi.....point 3 away hongereni sana ila milner na hendo wanamchango mkubwa ktk point hzo
 
kweli mpira unafki unafki tu yaani jana hawaloserfoolish wameshinda kiungo kikikamatiwa na le capitain HENDO hatusikii kelele za kupendelewa kwa ENGLISH PLAYERS wala nini....tunangoja mpigwe na bournamouth wikiend mtarud hapa kama sio KLOPP out basi mutamponda MILNER na HENDO dadadek .........mtu akifanya vizuri mpe sifa zake acheni unafki haujengi.....point 3 away hongereni sana ila milner na hendo wanamchango mkubwa ktk point hzo

Acha Ukazuzu dogo! Aliyecontrol Midfield area Jana Ni Keita na Ndiyomana tumenyamaza Coz tumeekewa Mtu tunayemuhitaji..

Halafu Jifunze Mpira usiwe boya, Jana ilikuwa ni Rotation kwa Wachezaji Kuwapumzisha Kutokana na Ratiba ya December na Ndiyomana Wameanza kina Origi, Sturridge, Moreno, Matip, Xhaqiri... Kwahiyo Hatuwezi Kumlalamikia Hendo wala Matip Bali Tunajudge kuwa Ni Kesi ya Rotation, Kwahiyo Kama Ni lawama tuilalamikie Rotation na si mchezaji.

Unajitahidi kuupenda Mpira lakini Mpira haukupendi.
 
Acha Ukazuzu dogo! Aliyecontrol Midfield area Jana Ni Keita na Ndiyomana tumenyamaza Coz tumeekewa Mtu tunayemuhitaji..

Halafu Jifunze Mpira usiwe boya, Jana ilikuwa ni Rotation kwa Wachezaji Kuwapumzisha Kutokana na Ratiba ya December na Ndiyomana Wameanza kina Origi, Sturridge, Moreno, Matip, Xhaqiri... Kwahiyo Hatuwezi Kumlalamikia Hendo wala Matip Bali Tunajudge kuwa Ni Kesi ya Rotation, Kwahiyo Kama Ni lawama tuilalamikie Rotation na si mchezaji.

Unajitahidi kuupenda Mpira lakini Mpira haukupendi.
sasa hapo ndio umekiandika nini?yaani lawama uilalamikie ROTATION dah...........kweli akilimali haya anza kuilalamikia hiyo ROTATION kama watu hawajakuona mwendawazimu.......
wewe ni miongoni mwa watu maboya na mabwege hapa jf kwa kujifanya mjuaji wa mambo meeeeeeeeeeengi wakati huna lolote na ndio maana inafikia kipindi unabishana nakukosana na mashabiki wenzako wa liver hapa jamvini kutokana na ufalaz wako wenzio wamekustukia wanakuchukulia zuzu tu so ungekuwa mstaarabu basi ungeuficha upumbavu wako..........then acha kujistukia kama mtoto wa kike nakuona kitambo una shobo za kiboyaboya wewe..hupendi kukosolewa wewe nani hapa jf?una katabia ka kilofa kakujifanya wewe unajua kila kitu ila wenzio hawajui .................punguza uhayawani pimbi wewe!!!!!!ukiamua kuongelea soka ongelea soka bila maneno ya kashfa kwa mwenzio.............

HUNA ULIJUALO ACHA UMUCHKNOW
 
Hawa jamaa nawakubali hawana mambo mengi wanaipandisha team na kupiga pasi chap chap kama kuna mtu anasibiri Milner na hendo wakae benchi atasubiri sana
nyinyi ndio watu wenye uelewa......sio hawa wengine ambao timu ikishinda husikii kelele za english player ila kukiwa na matokeo hasi wataanza kusema klopp anapendelea wachezaji wa kiingereza kutokana na uwoga wake.......mkuu safi sana hata kama ungekuwa ww kocha hivi mchezaji aliyecheza akaifikisha timu final ucl leo useme anapendelwa kama si uboya ni nini
 
Duuuuuh hayo matusi aiseeeeee
sorry mkuu ila hakuna matusi hapo mkuu hizo ni lugha za kawaida ambazo yeye alizianzisha kwa kuniita mm zuzu na nimempa anachostahili maana alitaka kujibiwa hivyo angekuwa mstaarabu angejibu kistaarabu kama mimi nilivyocomment katika comment yangu ya mwanzo........
mtu unamjibu kwa jinsi anavyotaka inaonekana yeye alikuja kishari wakati mimi nipo normal tu
 
kweli mpira unafki unafki tu yaani jana hawaloserfoolish wameshinda kiungo kikikamatiwa na le capitain HENDO hatusikii kelele za kupendelewa kwa ENGLISH PLAYERS wala nini....tunangoja mpigwe na bournamouth wikiend mtarud hapa kama sio KLOPP out basi mutamponda MILNER na HENDO dadadek .........mtu akifanya vizuri mpe sifa zake acheni unafki haujengi.....point 3 away hongereni sana ila milner na hendo wanamchango mkubwa ktk point hzo
Loserfoolish auco
Ass- anal sasa yuko nyuma points 8
 
kweli mpira unafki unafki tu yaani jana hawaloserfoolish wameshinda kiungo kikikamatiwa na le capitain HENDO hatusikii kelele za kupendelewa kwa ENGLISH PLAYERS wala nini....tunangoja mpigwe na bournamouth wikiend mtarud hapa kama sio KLOPP out basi mutamponda MILNER na HENDO dadadek .........mtu akifanya vizuri mpe sifa zake acheni unafki haujengi.....point 3 away hongereni sana ila milner na hendo wanamchango mkubwa ktk point hzo

Unajua jana ushindi umepatikana baada ya subs zipi? Ni baada ya Salah & Firmino kuingia.

Pia sisi huwa hatutak fat mildfield ya Hendo, Milner, Gini.

Hivyo jana Keita na Shaqir walikuwepo na hawa ndio wapandisha mipira siku zote na wanatengeneza chances za ushindi.
 
Alisson Becker ni kipa mmoja ambae tumeokota dodo kwenye mchongoma.

Nimejaribu kuangalia highlights za mechi ya jana nimegundua Alisson kwa sasa hana mpinzani duniani.

Goli letu la tatu lilitokea kwenye kona ya Burnley baada ya piga nikupige Alisson aliokoa mchomo ambao kwa type ya Karius pale jana mechi ingeisha 2-2..

Baada ya beki kuosha mpira haukuenda mbali ukaangukia miguuni mwa Burnley na shambulizi likawa bado lipo on, ikapigwa cross ambayo ilifanyiwa deflection na Salah na ilionekana kabisa inaenda kuwa kona ila Alisson (akiwa under pressure) akaokoa mpira usiwe kona na akauweka kwenye himaya yake.

Sasa tuje kwenye point; Jiweke wewe au kipa mwingine average kama Arizibagabaga kwenye nafasi ya Alisson, team inaongoza 2-1, umetoa mchomo na umeokoa mpira umeuweka kwenye himaya yako. Wakati huo zimesalia sekunde kama 40 mechi kuisha..

Aisee pale nauhakika makipa asilimia 98+ wangelala na kuchukua sekunde zao tano sita ili game iishie 2-1.


Lakini huyu sio kipa wa kawaida, huyu sio De Gea wala sio Leno wala sio Arizibagabaga. Huyu ni Alisson Becker wenyewe wanamwita Ali Hassan Bakari mtoto wa Mwananyamala kwa Kopa.

Kipa mchezaji a.k.a kipa mchezeshaji a.k.a kipa mshambuliaji.. Kutokana na kuwa na jicho kama la Coutinho aliona nafasi ya goli la tatu tofauti na makipa wengine ambao wangeona nafasi ya kupunguza kufungwa goli la pili na kulalia mpira kama yai.

Alisson akamchungulia DS15 nae bila hiyana kwa MS11 kisha kwa Big Shaq and Boom..

Ushujaa wa Alisson akaukamiliza kwa kuizawadia Liverpool goli la tatu.. Ndio goli amefunga Shaqiri lakini kwa wenye jicho na akili ya soka Alisson alicheza kama Pele.

Tuifufue ile form yetu ya last season pale mbele tu na hatuhitaji kuombea team fulani iifunge fulani ili sisi tuwe kwenye nafasi nzuri ya kubeba EPL. Tutaenda sisi kama sisi, mechi moja baada ya nyingine.

Come On Reds.

You'll Never Walk Alone.

Chaliifrancisco
 
Alisson Becker ni kipa mmoja ambae tumeokota dodo kwenye mchongoma.

Nimejaribu kuangalia highlights za mechi ya jana nimegundua Alisson kwa sasa hana mpinzani duniani.

Goli letu la tatu lilitokea kwenye kona ya Burnley baada ya piga nikupige Alisson aliokoa mchomo ambao kwa type ya Karius pale jana mechi ingeisha 2-2..

Baada ya beki kuosha mpira haukuenda mbali ukaangukia miguuni mwa Burnley na shambulizi likawa bado lipo on, ikapigwa cross ambayo ilifanyiwa deflection na Salah na ilionekana kabisa inaenda kuwa kona ila Alisson (akiwa under pressure) akaokoa mpira usiwe kona na akauweka kwenye himaya yake.

Sasa tuje kwenye point; Jiweke wewe au kipa mwingine average kama Arizibagabaga kwenye nafasi ya Alisson, team inaongoza 2-1, umetoa mchomo na umeokoa mpira umeuweka kwenye himaya yako. Wakati huo zimesalia sekunde kama 40 mechi kuisha..

Aisee pale nauhakika makipa asilimia 98+ wangelala na kuchukua sekunde zao tano sita ili game iishie 2-1.


Lakini huyu sio kipa wa kawaida, huyu sio De Gea wala sio Leno wala sio Arizibagabaga. Huyu ni Alisson Becker wenyewe wanamwita Ali Hassan Bakari mtoto wa Mwananyamala kwa Kopa.

Kipa mchezaji a.k.a kipa mchezeshaji a.k.a kipa mshambuliaji.. Kutokana na kuwa na jicho kama la Coutinho aliona nafasi ya goli la tatu tofauti na makipa wengine ambao wangeona nafasi ya kupunguza kufungwa goli la pili na kulalia mpira kama yai.

Alisson akamchungulia DS15 nae bila hiyana kwa MS11 kisha kwa Big Shaq and Boom..

Ushujaa wa Alisson akaukamiliza kwa kuizawadia Liverpool goli la tatu.. Ndio goli amefunga Shaqiri lakini kwa wenye jicho na akili ya soka Alisson alicheza kama Pele.

Tuifufue ile form yetu ya last season pale mbele tu na hatuhitaji kuombea team fulani iifunge fulani ili sisi tuwe kwenye nafasi nzuri ya kubeba EPL. Tutaenda sisi kama sisi, mechi moja baada ya nyingine.

Come On Reds.

You'll Never Walk Alone.

Chaliifrancisco

Kudos Alison ! Thus why We are Liverpool.
 
Hivi kumbe huyo jamaa MWENYE matusi ni shabiki wa arsenal..sasa what is he trying to prove!??arsenal anabishana nini na liver pooll sasa
wewe umeona kuna tusi hapo?acha kukuza mambo hizo ni aina ya lugha ambazo anapewa mtu anayestahili...........kuna lugha ya kuongea na wazazi,vijana,watoto n.k so matumizi ya lugha yanategemea sana na mazingira na mlengwa
 
sasa hapo ndio umekiandika nini?yaani lawama uilalamikie ROTATION dah...........kweli akilimali haya anza kuilalamikia hiyo ROTATION kama watu hawajakuona mwendawazimu.......
wewe ni miongoni mwa watu maboya na mabwege hapa jf kwa kujifanya mjuaji wa mambo meeeeeeeeeeengi wakati huna lolote na ndio maana inafikia kipindi unabishana nakukosana na mashabiki wenzako wa liver hapa jamvini kutokana na ufalaz wako wenzio wamekustukia wanakuchukulia zuzu tu so ungekuwa mstaarabu basi ungeuficha upumbavu wako..........then acha kujistukia kama mtoto wa kike nakuona kitambo una shobo za kiboyaboya wewe..hupendi kukosolewa wewe nani hapa jf?una katabia ka kilofa kakujifanya wewe unajua kila kitu ila wenzio hawajui .................punguza uhayawani pimbi wewe!!!!!!ukiamua kuongelea soka ongelea soka bila maneno ya kashfa kwa mwenzio.............

HUNA ULIJUALO ACHA UMUCHKNOW

#######

Hivi kumbe huyo jamaa MWENYE matusi ni shabiki wa arsenal..sasa what is he trying to prove!??arsenal anabishana nini na liver pooll sasa

Remember one thing Jaslaws "Empty Vessel Makes More Noise "
 
Unajua jana ushindi umepatikana baada ya subs zipi? Ni baada ya Salah & Firmino kuingia.

Pia sisi huwa hatutak fat mildfield ya Hendo, Milner, Gini.

Hivyo jana Keita na Shaqir walikuwepo na hawa ndio wapandisha mipira siku zote na wanatengeneza chances za ushindi.
James Milner is playing the best footy of his life, and it showed at the Turf Moor. The 32 year-old is a brute, workhorse, and a catalyst for this Liverpool team. When the Reds fell 1-0, Milly picked them right back up with a sensational driven shot into the bottom corner that even Joe Hart in his prime would not have a chance at. The vice-captain then switched over and played left-back where it looked as if he had not missed a beat since the 2016 season, showing his great versatility.
 
#######



Remember one thing Jaslaws "Empty Vessel Makes More Noise "
nafikiri msg derivered so its your time to make decision kubadilika au kujifungia katika mahabusu ya fikra kuwa kila kitu unajua wewe na wengine hawajui.................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom