Marefa wa bongo wanasafari ndefu sanahapa ndio nimeona upumbavu wa marefa wa kibongo dadadeki goli kama hili lilifungwa na MO IBRAHIM wa simba wakalikataa wakasema ni offside daaah sisi tuna safari ndefu sana
Marefa wa bongo wanasafari ndefu sanahapa ndio nimeona upumbavu wa marefa wa kibongo dadadeki goli kama hili lilifungwa na MO IBRAHIM wa simba wakalikataa wakasema ni offside daaah sisi tuna safari ndefu sana
Inapendeza mkiwapo watu kama nyinyi mana wengine tunamakengeza mbaya zaidi hata ukiona jinsi ya kueleza ni mtihani huo ndo ukweli nilitamani sana ni mjibu tangu jana ila nimeshindwa nikatamani nitukane tu nikajikuta sijawahi fanya hivyo.Watch the game again ukiwa umetulia.
Fabinho was the best midfielder kwenye game ya jana, matter of fact ni game yake bora kabisa akiwa na LFC mpaka sasa,
I was scared baada ya kuona line up ya Everton, na nikaona Fabinho will get bullied kama game ya Arsenal, Gomes and Gueye are top class CMs and Marco Silva seems to get the best out of them, but Fabinho won the battle jana (have to say was one of the greatest midfield battles in the league so far, and shout out to Gomes, he was good)
Faby wanted to prove a point jana and he did it, with Firmino out of form and not pressing anymore, it was so easy kwa Gueye, Gomes and Siggy kuchukua mipira kwenye eneo lao na kudrive in the middle, but Faby controlled them, and eventually came out on top.
guess tumezoea kuona CDMs wetu wakikimbia uwanja mzima na kuvacate spaces katikati na ndiyo maana huwa tunakuwa open sana in the middle, but positional awareness ya Fabinho ndiyo ilikuwa deciding factor kwenye battle ya jana, the way he makes himself available for passes and open passing angles to his team-mates is what differentiate a top class DM na wengine.
he won most tackles y'day (6 out of 7), compeleted 50 of his 58 passes, made 5 ball recoveries and won the ball for his team-mates 14 times, 72 touches and 86% passing accuracy. what more do you want from a DM after that perfomance?
he doesnt run with no purposes, doesnt shout to the players or reeferees, doesnt commit useless fouls, he's just a quiety dude ambaye anajua anachokifanya uwanjani na anafanya kwa usalama zaidi, unajua kuwa Fabinho ni moja kati ya DM wenye yellow cards chache sana? na in his career as a DM hajawahi ku-receive a second yellow card.
amecheza dakika si chini ya 400 at LFC na tayari anaongoza kwa kupiga progressive passes to our front three by 33% followed closely by Keita, tunapolalamika hawa jamaa waanze kwenye games, huwa tunaangalia hivi vitu pia.
Firmino needs a rest, and Shaqiri should play as a 10 and not RW.
Hilo hapo mkuuView attachment VID-20181203-WA0006.mp4wakuu naombeni clip ya goli kuanzia kwa VVD iliyotumwa inaonekana ndogo sana cjui tatizo ni nn
wakuu naombeni clip ya goli kuanzia kwa VVD iliyotumwa inaonekana ndogo sana cjui tatizo ni nn
Umesahau dakika 2 alizojilaza mchezaji wenu na sub za dakika ya 94, refa alikuwa fair kabisa
Amka acha kuota wwwewe umehamia wapi ndugu yangu?mbona sikuoni ktk rada za ubingwa?mimi na ww tumepishana point ngapi ndugu?na bado mechi ngapi ligi iishe?tar 5 una burnley away ,tar 8 una bournalmouth away tar 16 una manure hapa kwa ushindi wako wa tia maji tia maji lazima upigwe game mbili nyambaf then mm nakaa hapo nampumulia city kipindi hiko ww una stress za futuhi hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha
Walipoteza muda dakik za nyongeza thus y refa alivuta muda kidogo kama inauma chomoamimi nlikuwa nishaondoka bandani kwa kujua loserfool washapoteza point mbili kumbe hili lirefa lilikuwa linasubiri jamaa wapate kagoli kandondokela poor refa
Mkuu ukute ni mwanafunz wa form one huyo maana ndo wenye tim kama man city , PSG so achana naeeDharau haijawahi kumpa mtu yoyote any self esteem
Hukua na haja ya kututusi namna hii bila sababu
Kumbuka hao unaosema wamezaliwa 60s ndio wanaokulea
Anyways... Yawezekana u mtoto was kikopo, and that's where you belong
Ustaarab sio kwa Kila mtu.... Nimeamini
Tusiache vijana wapotee kindezindeziMkuu ukute ni mwanafunz wa form one huyo maana ndo wenye tim kama man city , PSG so achana naee
Tusiache vijana wapotee kindezindezi
asante mkuu hata hivyo naangalia supersport hapa wamelionesha na wanalijadiliHilo hapo mkuuView attachment 954276
tatizo lenu ni hapo tu huwa hamuangalii chanzo.....wewe unaenjoy sisi tukiitwa as-anal ila ww ukiitwa loserfool ni ttz tayar kikubwa tu uelewe kila mtu ana sababu zake za kupenda kile anachoshabikia na huo ni utani tu wakishabiki wala hatupigani mawe hapa ...kuwa na amani mkuu.......................sijaona tusi nililotukana hapo na kama nimewakwaza plz MNISAMEHE bure kwani mm soka ndio furaha yangu na utani wa hapa na pale ila wewe ungekuwa una battle na watu dizain ya HAJI MANARA hakika unaweza kurusha ngumi.............Dharau haijawahi kumpa mtu yoyote any self esteem
Hukua na haja ya kututusi namna hii bila sababu
Kumbuka hao unaosema wamezaliwa 60s ndio wanaokulea
Anyways... Yawezekana u mtoto was kikopo, and that's where you belong
Ustaarab sio kwa Kila mtu.... Nimeamini