Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,179
Sasa unanihakikishia wewe kama nani.?
Nakuhakikishia 100% Liverpool hatuchezi FUTUHI never.
Nakuhakikishia 100% Liverpool hatuchezi FUTUHI never.
Hii Timu Kama hawa Wajinga Wawili Hendo na Lovren Hawajafa Basi Ni Vigumu Sana Kupata Mafanikio
Mkuu nakuelewa sanaaaaaaaHata Ian Doyle ameandika Makala Yake ya Kuhusu Weakness ya Midfielders Yetu kuwa Ni Nothing but Shit ambayo tunaambiwa Wanachezeshwa Kwa Sababu ya Soccer Management na si Kwa Uwezo.
↓↓↓
How Klopp can find the answer to his big midfield question
Tunaposema Klopp anachezesha Formation ya 4-3-3 kwa ajili ya Kuwafavour Hendo na Milner na si Kwa Maslahi ya Timu, watu Wanabisha! Lakini Ian Doyle analithinitisha hili Mwenyewe kuwa Klopp amekiri jambo hilo Kuwa mfumo Wa 4-2-3-1 utawaacha Wachezaji Wake Nje (Hendo na Milner).
Maneno Ni haya → "Klopp admits the form of Xherdan Shaqiri has prompted him to field a formation (4-2-3-1) that ensures most of his top talent is out on the field".
PUNGUZENI NGONZERA NA MASHAIRI...WEKENI TIPSKila Siku tunaambiwa Kuwa Klopp anatunyamazisha!
Lakini kiukweli Hatuwezi Kunyamazishwa Kwa Kukumbatia Wachezaji baada ya Mechi.
Sisi tutanyamzishwa Kwa Makombe na si venginevyo.
Siku Klopp atakayotuletea EPL na kuyafanya hii Mizigo miwili Hendo & Louvren Kuwa Ni Benchwarmer ndiyo Siku Klopp atakayotunyamazisha na Kutufunga Midomo.
Kwani yeyote atakayepiga kelele baada Ya Klopp Kuleta EPL Hugo atakuwa Ni Mpumbavu.
Leta Kombe Tunyamaze, Endeleza blah blah tuendelee Kulaumu na Kukosoa.
acha mbwembwe unaenda kucheza na napoli inayofundishwa na ancelot huyu peke yake ni kikwazo amesha kutana na kelele kama zote uefa kazichukua nyingi tu kama mchezaji na kocha hakuna asichokijua kwenye crual moment kama hiyo kupita Liverpool ni kwa kutoa damu hakuna ushindi mwepesiHata mwaka jana tulitegemea mechi ya mwisho kumfunga Moscow kwenda playoff na tukashinda big
Mbona hatukupata nafasi ya sweet 16 na mechi mkononi wkt Buvac yupo?
well well well.....
an EPL game after every 2 days, with an UCL chilly spice ontop?
quite a tough spell for us, this.
EPL tukipata at least 10 points out of 12 na pia kumfurusha Napoli kwenye UCL, we have the season well placed where we want it to be. but it's one hell of a spell, man.
View attachment 952040
something like that lakini I want us kumfanya kitu mbaya Manure this time around.You mean tushinde against Everton, Burnley and Bournemouth And draw against Manure?
looks good though
i was a bit worried of Wolves guys run th show vs manshit, vs manure, vs aseno vs spas...but oflate t like they r loosin thier usual flow i ope by th tym we meet t not back..Burnley, Bono, Newcasto s tricky games bt so far this season we have found a way of beatin this 2nd tier tyms...YNWAsomething like that lakini I want us kumfanya kitu mbaya Manure this time around.
am more worried by the likes of Bournemouth.
december is here guys games come in a helter skelter mode...am positive if Midfield is sorted n we see more of Keita best form we wont drop points like we dd on paris...well well well.....
an EPL game after every 2 days, with an UCL chilly spice ontop?
quite a tough spell for us, this.
EPL tukipata at least 10 points out of 12 na pia kumfurusha Napoli kwenye UCL, we have the season well placed where we want it to be. but it's one hell of a spell, man.
View attachment 952040
mkuu sidhani kama hao watakua permanent sooon...amesema bado Fabinho adapt...Keita arudi fit 100%...Shaqir sijui klopp anamuona squad player lol....Klopp aache upuuz wake tunataka Keita, Fabh na Shaqir wawe permanent pale kati, hawa wakina Hendo wazee wa kupass pemben na kwa kipa piga bench wataingia kwenye mechi za fulham lakin sio Uefa
shida ya liver sio washambuliaji ni kiungo.......Shida kubwa ya LFC ni ushambuliaji
Mechi nyingi few or zero shot on target
Hata mechi na Napoli LFC walikuwa na shot on target =0 total 4 wakati wenzao walishoot mara 5 total 19