Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Fabinho toa hapo....
Faby katika mechi alizotumika moja ndo kacheza vibaya tena kwa nilivyo una mimi kocha ndo kachangia ubovu wake labda unikosoe.
Mechi ya Asenal alipangwa namba nane badala ya sita Gini alipangwa sita badala ya nane labda nipewe mtazamo tufauti na nilivyo ona ndo ntakubali kama alibilonga hiyo mechi

Ukizangatia hana mechi nyingi na ile ni big mech.
 
Napoli ndio timu pekee katika group ambaye hajapoteza mechi mpaka sasa kwa hiyo kuja kupoteza kwa Liverpool wakijua waziwazi kupoteza mechi watatolewa kwenye mashindano, sidhani kama watakubali kirahisi!
 
Kama ataendeleza ujinga wake huu basi
Nitafikia hatua nitasema

Hivii

KLOPP OUT atuachie LFC yetu

Hendo wakumpiga bench-faby\keita\
Haha kwa kocha mwenye akil huwa anamcheka sana klopp maana unabunduki ndan manat ya nini
Sijaona makosa

Liver kadorminate thus y tuchel aliingiza bek na viungo baad ya kuliona hilo


Zaid ROBO ajirekebishe tu kwenye finishing pass bas
Mbona hueleweki braza... Sielewi unatetea lipi unaponda lipi...
 
Malafale anakwambia msimu huu tunacheza vizuri zaidi kuliko last season
Hahahahahah, huyo anatania

Msimu uliopita mlikuwa mnacheza vizuri sana, pressing ya hali ya juu, pasi za haraka, na nafasi za kufunga mlikuwa mnatengeneza nyingi zaidi. Hata Man City alikuwa anapata tabu sana mlipocheza ule mpira wenu dhidi yao.

Baada ya usajili wa January na Summer nikajua sasa Liver mtakuwa hamshikiki
 
Shida kubwa ya LFC ni ushambuliaji
Mechi nyingi few or zero shot on target
Hata mechi na Napoli LFC walikuwa na shot on target =0 total 4 wakati wenzao walishoot mara 5 total 19
 
Kwa mechi zote 13 za msimu huu (tangu July) walizochezea uwanja wao wa nyumbani wa Parc des Princes , PSG wameshinda 12 na kutoa sare na Napoli 1-1. Kwa recodi hii ushindi wa LFC sana sana ungekuwa draw
Kwa mchezaji mmoja mmoja PSG wana wachezaji wengi wenye uwezo mkubwa tatizo lao ni kutokucheza kitimu.

Kwa msimu huu wame-improve baadhi ya maeneo ikiwepo kuwa na goalkeeper mwenye uzoefu.
 
Hahahahahah, huyo anatania

Msimu uliopita mlikuwa mnacheza vizuri sana, pressing ya hali ya juu, pasi za haraka, na nafasi za kufunga mlikuwa mnatengeneza nyingi zaidi. Hata Man City alikuwa anapata tabu sana mlipocheza ule mpira wenu dhidi yao.

Baada ya usajili wa January na Summer nikajua sasa Liver mtakuwa hamshikiki
Malafyale
 
Faby katika mechi alizotumika moja ndo kacheza vibaya tena kwa nilivyo una mimi kocha ndo kachangia ubovu wake labda unikosoe.
Mechi ya Asenal alipangwa namba nane badala ya sita Gini alipangwa sita badala ya nane labda nipewe mtazamo tufauti na nilivyo ona ndo ntakubali kama alibilonga hiyo mechi

Ukizangatia hana mechi nyingi na ile ni big mech.
Kwa hiyo ulitaka apangwe big match tena...
 
Wont take them anywhere.
Southern Highland
Liverpool wakishinda 1-0 vs Napoli watakuwa wamefungana karibu kila aspect except magoli ya kufunga ambayo LFC wanayo mengi kuliko Napoli. Napoli wamefunga 7 na LFC 8 wakifunga 1 inakuwa wamefunag 9 hii ndio criteria ya pili ya UEFA kwa timu zilizofungana point baada ya ile ya kufunga. LFC wakishinda kwa tofauti ya goli moja mbali na 1-0 ndio watatolewa kwa sababu ya goli la ugenini
 
Southern Highland
Liverpool wakishinda 1-0 vs Napoli watakuwa wamefungana karibu kila aspect except magoli ya kufunga ambayo LFC wanayo mengi kuliko Napoli. Napoli wamefunga 7 na LFC 8 wakifunga 1 inakuwa wamefunag 9 hii ndio criteria ya pili ya UEFA kwa timu zilizofungana point baada ya ile ya kufunga. LFC wakishinda kwa tofauti ya goli moja mbali na 1-0 ndio watatolewa kwa sababu ya goli la ugenini
Usichoke kuwaelekeza watu kama hao akina Southern Highland hawajui chochote kuhusu mpira
 
Shida kubwa ya LFC ni ushambuliaji
Mechi nyingi few or zero shot on target
Hata mechi na Napoli LFC walikuwa na shot on target =0 total 4 wakati wenzao walishoot mara 5 total 19
Kufunga inakua shida kubwa kama viungo hawapandishi mipira

Jana Verati kahusika katika yale magoli sasa sisi wafungaji wanakuja kubalansi kiungo watafunga saa ngapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom