Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Faby katika mechi alizotumika moja ndo kacheza vibaya tena kwa nilivyo una mimi kocha ndo kachangia ubovu wake labda unikosoe.Fabinho toa hapo....
Mechi ya Asenal alipangwa namba nane badala ya sita Gini alipangwa sita badala ya nane labda nipewe mtazamo tufauti na nilivyo ona ndo ntakubali kama alibilonga hiyo mechi
Ukizangatia hana mechi nyingi na ile ni big mech.