Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nimefurahi kuona analysis ya Doyle

he's the biggest Hendo fan, but nadhani amefungua macho

and i'm glad perfomance ya henderson jana imefungua macho ya watu wengi sana even the inbred scousers pale Liverpool City

Lakini Nina uhakika Game vs Naples ataanza katika FXI kama kawaida ndani ya 4-3-3
 
Mfukuzeni Klopp mpeni timu huyo Buvac kama hajawashusha daraja

Bro, your manager is struggling to impact games at Old Trafford this season after his long time partner and assistant coach Rui Faria left United this year (been working together with Mourinho for 17 years)

Same happened to Benitez when his long time partner Paco left him..

Klopp been with Buvac for over 10 years, ukiachana na mambo ya soka ni long time friends.

hawa assistant coaches are not there to manage the team, but wapo kwaajili ya kuchangia ideas na kutoa statistical analysis za matches (before and after), na ndio watoaji wakubwa wa ideas and approaches during the matches by helping katika ku-note down weaknesses za teams na strength za opponent teams. wanafanya kazi kubwa sana behind the scenes, na wana faida kubwa sana kwa managers.

Buvac might not be a good manager as the managerial position requires a lot of attribute and qualities but surely ni good analytical master who can help katika ku-introduce new ideas and training drills.

There's a huge difference between a MANAGER and a COACH, and i know you understand the differences
 
Henderson ni trash, uingereza unambeba, kuna jukwaa flani niliona hadi waingereza wanam attack ni dhahiri washaanza kumchoka. Komkosoa haimanishi tuna chuki naye but anachoki deliver uwanjani ni hovyo
 
Henderson ni trash, uingereza unambeba, kuna jukwaa flani niliona hadi waingereza wanam attack ni dhahiri washaanza kumchoka. Komkosoa haimanishi tuna chuki naye but anachoki deliver uwanjani ni hovyo

Told people kuwa Hendo's main attribute ilikuwa ni pressing and running down the ground

so after that back-heel injury amepoteza uwezo wa pressing so hata kukimbia anakimbia without purpose at all..

he needs to leave this club if we want to progress further, he's 29 years old but top reds wanamtreat kama youngster wa miaka 20, same to Lovren and Lallana, we need to move on from these players if want to be elite again.
 
Win rate with Henderson in the team -28%

Win rate without Henderson in the team - 72%
 
Top reds will curse at you and call you names if you criticize their favorite players

but they will be the one to curse at players like Karius, Moreno, Mignolet, Matip etc pale wanapocheza hovyo

The irony.
 
last time when we needed a goal to advance kwenye knock-out stages, a 23 year-old boy stepped up a score one of the most iconic goals in the history of CL na kumfanya a biased United fan commentator Martin Tyler apagawe na kusahau kuwa ni United fan..

now, tell me with your chest if a 29 year-old captain who hides behind opponent players when things get tough on the pitch, can do the same thing and step up to save the day!!!?
 
Je wajua

Liverpool wanaweza kukosa Hata nafasi ya kucheza Europa league

FK Crvena Zvezda hawajopoteza game yoyote tokea mwezi April 2018 katika uwanja wao wa nyumbani
Hivo game ijayo PSG huenda wakala kipigo ambapo itawafanya wafikishe point 7.
Ikiwa Liverpool atapigwa na Napoli katika uwanja wa Anfield itawafanya waendelee kubakia na point 6 ambapo watashika nafasi ya mwisho kwenye kundi lao C.

Kama matokeo yatakuwa hivo msimamo utakuwa hivi
1.Napoli point 12
2. PSG point 8
3. FK Crvena Zvezda point 7
4.Liverpool point 6
Lakini anayeshuka kwenda Europa ni team ile iliyomaliza nafasi ya 3 kwenye kundi lake,Hivo Crvena Zvezda watashuka kwenda Europa na Liverpool itarudi EPL

Ikumbukwe Liverpool kombe walibakiwa nao kidogo wanashiriki ni FA cup tuu, EPL bingwa ni Man city
Naona umeanza kubeti kama mzee wenger
 
in his documentary, Steven Gerrard alisema maneno haya;

"Liverpool football club captains always delivers"

Carling Cup final, Europa league final and CL final, our Captain failed to influence a single game and struggled even to control a foot-ball.

but Top reds are calling him a leader for slaping Robertson in the face for fouling neymar and then telling him to f*k off, funny thing is Robertson spent the entire 90 minutes trying to impact the game and drive the entire left flank, whilst the captain was hiding behind marquinos and make easy and safe passes to Allison, Lovren, Gomez, Gini and Milner ili tu zile stats za kupoteza passes zisim-mulike, this is a captain who is afraid to take risks for the team but is hailed as a leader.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom