Napoli anahitajika kupigwa 1-0 tu ili liver tuweze kuvufu. Tatizo sio wachezaj ila Klopp ndio jipu, huyu jamaa kachoka kifikra, nina experience kila anapoweka mildfield flat kama ile ya jana kelele huwa nyingi za mashabiki na mwishon lazima huwa lazima tupoteza mechi tena kibaya mechi muhimu kabisa.
Jumapili na Everton baada ya kelele za jana, Klopp ataweka kikosi kizur hasa pale kati na formation itakuwa nzur ya ushambuliaji. Lakin baada ya mechi hyo utakuja kuona anaweka kikos anachokijua yeye.
Kiufupi huyu kocha ni jipu la majipu yote pale Epl, mi napata hisia huenda anatumika kuhujum team, amespend M200 lakin had leo anachofanya ni usen.g.e tu.
Namuunga Mkono kocha wa Egypt aliyemwambia Salah kuwa endapo liver itakosa kombe mwaka huu ni vyema aondoke coz anajichafulia CV.
3 fonts wetu Salah, Mane, Firmino wanahitaji kuchezeshwa na mildfield zinazojielewa kama Keita Shaqir na fabh na impact huwa kubwa siku zote wakiwepo.
Klopp hana tofauti na Amunike.