Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Liv atapona tu ikiwa atamshinda Nap 1-0 au amshinde kwa gap ya 2-0 yaani 3-1, 4-2, 5-3 na kuendelea vinginevyo Liv akishinda kwa gap ya 1 goal yaani 2-1, 3-2, 4-3 ,5-4 Nap atapita kwa goli la ugenini
PSG akidroo timu zote 3 zikawa na point 9, sheria ya UEFA ya kuamua matokeo kwa kutumia head to head results itatumika
Katika hii sakata muadhirika ni Liv kwa sababu hana advantage popote
- PSG VS Liv = PSG ana advantage ya goli la ugenini kamfunga Liv 2 nyumbani
- PSG VS Nap, Napoli ana advantage ya goli la ugenini Napoli kamfunga PSG 2
- Liv vs Nap, Nap ana advantage ya goli la ugenini atakuwa amemfunga goli liv nyumbani
Dawa ni kushinda kwa format ile juu ya 1-0 Au kwa tofauti ya sio chini ya goli mbili
I had the same understanding, ila baadae nimekuja kuona mahali wanasema ikitokea timu zote 3 zikamaliza na 9 points, head to head itahusisha timu zote combined, yaani inakuwa assumed kwamba ile timu ya 4 haikuwepo, kwa hiyo wanaangalia nani alipata points nyingi baina yao?
Unless nilielewa tofauti, ila hivyo ndo ilivyokuwa inaelezea.
Hata hivyo PSG atawafunga jamaa, sisi tuhangaike na Napoli tu.