Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hawaangali magoli. Bali alieshinda mechi ua mwisho
Napoli alitupiga 1 bila so kumtoa ni tumshinde kwa tofauti ya goli 2 na kuendelea, tukimpiga 2 kwa 1 tumekwenda na maji make atakuwa na advantage ya goli la ugenini
 
Mkuu pamoja na heshima kubwa niliyonayo kwako ila naona una matatizo makubwa sana aisee, hasa anapokosolewa Klop au Hendo

Mkuu fuatilia kwanza alicho andika ndiyo uni attack!
Anafikia hatua ya kumuita Liverpool Captain kama ni MSENGE,mm nimemjibu tu
 
Tumefungwa wote
Tukishinda huwa tunashinda wote
Liverpool itasonga mbele Anfield weeks mbili zijazo!
 
Wale mashabiki uchwara wa Liverpool hapa mna haki ya kushangilia ushindi wenu
LKN Liverpool itasonga mbele Jumanne weeks mbili zijazo
 
zumbemkuu
Hata mm huwa sometimes nampinga Klopp mara nyingi tu lkn natumia kauli za heshima!
Sina lugha ingine ya kumjibu mtu kama huyu anti Liverpool
 
Thanks God, the fake captain hatokuwepo against Everton

tutaona a very good mid by default.
Ha ha haa akiwa hayupo huwa anapanga Gini nyuma Faby ndo atembee nashangaaga sana.
Hushangai leo Milner ndo alikua anapigania tim na katolewa
 
Hivi cheltako wanatumia akili au wanatumia nn kufikiriii...
Liverpool hata akifungwa anao uwezo wa kushinda last game na akasonga mbele kwani ukweli wana unafuu mkubwa kuliko wasindikizaji man u.
Through this comments they are proving me right that this is Liver fool fans thread.

Mnajifananisha na Man ambaye keshapita huku nyie mna kibarua na Napoli tena mshinde kwa tofauti ya goli mbili ndio mpite. Heheee.. Mlienda shule kusomea ujinga..??????
 
Liverpool leo inaweza ikawaacha wengi midomo wazi, yale yaliyotokea Anfield na Etihad UEFA last season huenda leo yakajirudia kwa kishindo kikuu
Life isn't always what we expect. Life is not rehearsal, life is a performance.

We expect performance on your game against Naples not expectation like this.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom