Tukipaki hata hiace tu leo tunaliwa dawa ni kushambuliaWakuu mi naona mfumo unaotufaa leo ni kushambulia tu ila tukiingia na formation ya kudefence tabu itakuwa kubwa
Tukipaki hata hiace tu leo tunaliwa dawa ni kushambulia
kwa mabeki wetu kipindi kile hata hio 3-3 ni kheri ndugu....kwa sasa defense tupo kamili ndio maana kwa PSG pointi tatu muhimu sana tutaodoka nazo..Ww si ndiye ulimfunga tatu first half halafu second half mambo yakawa 3-3
Kila la kherikwa mabeki wetu kipindi kile hata hio 3-3 ni kheri ndugu....kwa sasa defense tupo kamili ndio maana kwa PSG pointi tatu muhimu sana tutaodoka nazo..
asante sanaKila la kheri
Mimi ni Muumini wa Dakika 90 huwa sinaga Majigambo! Ninasubiri baada ya Dakika 90 tu Nimpongeze Klopp au Nimlaumu.naona unavyojitetea
Kwangu Mimi Mpira Kushinda Ni Mbinu na Kupoteza Ni Uzembe! Hakunaga kitu Bahati Mbaya kwa Upande wangu.
So, Ni lazima Klopp ashinde game nijue katumia mbinu bora, Au akipoteza nitajua kuwa katumia mbinu mbovu.
My Take: Lawama au Pongezi kwangu Mimi haipekuki... I don't Care If kuna Mtu ataleta Mipasho au atanuna.
Download app ya BURMA TV ipo play storeWazee mwenye link ya kustream nitaomba anitumie
Duuuu, huyu Klop huyuTeam to play PSG: Alisson, Gomez, Lovren, Van Dijk, Robertson, Milner, Henderson, Wijnaldum, Mane, Salah, Firmino.
Subs: Mignolet, Fabinho, Keita, Sturridge, Shaqiri, Matip, Alexander-Arnold.