Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

There is no point of Klopp signing new players! Af still ana stick na the same team iliyocheza last year.. Our midfield inakua outclassed na marquinhos in the first 20 mins!!!
 
Klopp anazingua big time, hendo wa nn lovren wa nn, why Keita nje mechi kama hii kiungo kimekufa una option za akina TAA pembeni pale full back wa kulia, afanye mabadiliko mapema asisubir dk 80 hendo sio wa kucheza mechi ya liver kubwa mpange na cardiff
Makocha sometimes sijui wanabetiiii??
 
Klopp anazingua big time, hendo wa nn lovren wa nn, why Keita nje mechi kama hii kiungo kimekufa una option za akina TAA pembeni pale full back wa kulia, afanye mabadiliko mapema asisubir dk 80 hendo sio wa kucheza mechi ya liver kubwa mpange na cardiff

Mimi nimeshasema hill Captain letu Ni SENGE
 
Klopp anazingua big time, hendo wa nn lovren wa nn, why Keita nje mechi kama hii kiungo kimekufa una option za akina TAA pembeni pale full back wa kulia, afanye mabadiliko mapema asisubir dk 80 hendo sio wa kucheza mechi ya liver kubwa mpange na cardiff
Kiungo Na Ata Beki Hakuna Yaani
 
Bal hizi ni za mabeki wa kati,wanajichanganya sana!
VVD kajichanganya bao la kwanza
Robbo kajichanganya bao la pili LKN bado anayetukanwa ni Hendo
Upuuzi mtupu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom