FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,553
Utabebaje wakati unapigwa na Zuwena Zveda!? Labda kama utabeba mimba! Maana matokeo ya magoli ndo hayoKwa taarifa yako tu! Liverpool ndiyo Club pekee ya uingereza inayoshika record ya kuongoza kubeba Vikombe vingi vya EPL, ikifuatiwa na Man U, Pia Liverpool ndiyo Club inayoongoza kubeba UEFA kwa club za Uingereza.
Kutokuona Liver ikibeba kombe basi utakuwa ni mtoto wa juzi, Ila kwa taarifa tu hapo 2005 Liver ilibeba UEFA na 2006 ilibeba FA.
Kwahyo pengine umezaliwa kuanzia miaka ya 2010, sad news mwaka huu Liver inaenda kubeba EPL na UEFA.
Hiii sikuiona mkuu... Asante kwa kuineemesha siku yangu![]()
Mentor usitafute kuvuliwa vyeo bana kwa ushabiki kama madogo wengine. Kuna troll lakini at least do your home work and photoshop things forehand. Hiyo tukio ilitokea Belgrade? Seriously huonu hata logo ya PL?
Hawapendi tu majogoo..Mentor usitafute kuvuliwa vyeo bana kwa ushabiki kama madogo wengine. Kuna troll lakini at least do your home work and photoshop things forehand. Hiyo tukio ilitokea Belgrade? Seriously huonu hata logo ya PL?

Banter is allowed but it should be relevant.Hawapendi tu majogoo..
Sometimes u should allow this when ur rival has being afflicted accordingly![]()
Perhaps no objections or some exceptions may be applied when such banter doesn't breach. Take it as a normal internet jestBanter is allowed but it should be relevant.
️
toka uanze kufuatilia soka au toka uijue liverpool lini uliwahi kuishuhudia ikibeba EPL sema ukweli wako MUNGU anakuona.........mara ya mwisho kuchukua ligi kuu ya england EMMANUEL OKWI ,MBWANA SAMATTA hawajazaliwaFact ni
Fact ni kwamba Liverpool ndiyo Club inayoongoza kwa kubeba EPL mara nyingi kuliko club zote uingereza huku ikifuatiwa na Man U ya pili.
Shock news, Mwaka huu liver anabeba EPl na UEFA. Hutak kufa
Nashukuru tu kuwa unakubali kocha anaweza badilisha formation wakati wa sub.From 4-3-3 to 4-2-3-1 tayari hiyo ni form nyingine
Nakubali kuwa formation inaendana na wachezaji lakini pia opponent anaweza force kubadili formation
Sikusema hivyoSo what was your genuine point on "formations are not necessary in footie?"
kama teams zingekuwa zina-switch formation, kulingana na opponent anavyocheza uwanjani, basi tungekuwa tunashuhudia formation zikibadilika kila baada ya dakika10,
understand the meaning of "tactical shape" kabla ya kung'amua formation.
again as i've explain earlier, a sub can not impact the formation, but it can if a core-player of the team is subbed on. you cant just sub off a winger kwenye 4-4-2 na kwenda kwenye 4-5-1, unless unamuingia midfielder (s), ambaye ni core master wa hiyo formation.
you dont just change formations just because opponent team inatawala, unless una player (s) capable wa hiyo formation, if not you will be forced to change the defensive shape eg, 1-2 to 2-1 or 1-4 kama alivofanya pep against us this season.




umekuja kuanua tanga eeh!!



Shida ya Liverpool ni haya madharau, na mwisho wa msimu = 0 trophyMnagombania kikombe kimoja na Mbwana Samatta
😀
Tangu EPL ianzishwe 1992 hamjawahi kuchukua kombe, hata nafasi ya pili mmeshika mara tatu tu tangu 1992. Sasa haya majigambo yametoka wapi mkuu wa kwenye swamps?Kwa taarifa yako tu! Liverpool ndiyo Club pekee ya uingereza inayoshika record ya kuongoza kubeba Vikombe vingi vya EPL, ikifuatiwa na Man U, Pia Liverpool ndiyo Club inayoongoza kubeba UEFA kwa club za Uingereza.
Kutokuona Liver ikibeba kombe basi utakuwa ni mtoto wa juzi, Ila kwa taarifa tu hapo 2005 Liver ilibeba UEFA na 2006 ilibeba FA.
Kwahyo pengine umezaliwa kuanzia miaka ya 2010, sad news mwaka huu Liver inaenda kubeba EPL na UEFA.
Labda epl ya vigwaza,mtaendelea kuwa washiriki tu, full stop!Fact ni
Fact ni kwamba Liverpool ndiyo Club inayoongoza kwa kubeba EPL mara nyingi kuliko club zote uingereza huku ikifuatiwa na Man U ya pili.
Shock news, Mwaka huu liver anabeba EPl na UEFA. Hutak kufa
Sikusema hivyo
Nilisema unamtoa striker unamuingiza tena kwa tactical approach na formation inachange kwa sababu sasa kuna viungo watano katikati na kufanya iwe 4-5-1 badala ya 4-4-2, rudia soma maandishi yangu ya kwanza