Naona unaelekea kuwa sawa na kina Ollachuga Oc , eden kimario na Malafyale...
Jilindie heshima yako katika Forums za Soccer kwa kupost vitu vinavyomake sense.
Assume PSG akuchape alafu udroo na NapoliDraw ya PSG na Napoli imetuweka pazuri sana!
HahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahNaona unaelekea kuwa sawa na kina Ollachuga Oc , eden kimario na Malafyale...
Jilindie heshima yako katika Forums za Soccer kwa kupost vitu vinavyomake sense.
Endelea kuchochea motoKhe khe khe kheeeee wakati wa mechi nitaongea point. Sasa hivi ni mwendo wa kuwakera mpaka tutakapohamishia matanga Manchester baadaye usiku.
Halafu angalia hata source niliyoweka. Najua una machungu lakini kunitishia heshima yangu hakutosaidia mimi kukaa kimya.
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah unajivunjia heshima yakoKhe khe khe kheeeee wakati wa mechi nitaongea point. Sasa hivi ni mwendo wa kuwakera mpaka tutakapohamishia matanga Manchester baadaye usiku.
Halafu angalia hata source niliyoweka. Najua una machungu lakini kunitishia heshima yangu hakutosaidia mimi kukaa kimya.
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah unajivunjia heshima yako
Endelea kuchochea moto
Kwenda zako huko Liverpool tunawajua miaka yote mmekuwa joka la kibisa hamnaga sumu ya kuchukua kombe la Epl hadi kuku wanajua hilo.Yani pale kati bora ukamueke Mkude anaweza akatembeza Japo buti akala umeme.
But siumishi kichwa sana kwenye EPL naamini hata kama tutashindwa lakini Marathon tunaiweza na tutatoa upinzani kwa City na si timu nyengine ambazo zinajiona zinatoa upinzani kumbe zimekuwa blinded na False hope.
Hata kama sio Clyne wakuanza ila huyu dogo kuwa scouser sometimes kunambeba yaani hata hazungumziwi anapofanya makosa!View attachment 924888
Liverpool ni sawa na gari ya mkaa, ukiiona mjini ujue inaelekea gereji
vs Fulham..Hivi Sunday mnacheza na nani??!
Klopp Blamed
Graeme Souness has pointed the finger at Jurgen Klopp after Liverpool’s defeat to Red Star last night.
The Reds were downed by two first-half Milan Pavkov strikes and the former Reds boss blamed Klopp’s team selection.
“I think not starting with Firmino or Joe Gomez,” the pundit told Virgin Media One when asked where it went wrong for his former club.
“The fact they were on the bench and came on half time suggests they were fine so it wasn’t them carrying something.
“I think the message it sends to the rest of the players was, ‘You won 4-0 last time we’ll be fine again tonight.’
“I’m of the belief you start with your strongest team, get the game won and then get off the players you want to rest.
“I think that message by not picking your strongest team to start with would have an effect with some of the players who did start.
“They weren’t at it. They didn’t start right and when you don’t start right, it really is an uphill battle to get the momentum back again.
“I felt they handed the momentum to Red Star and they managed to keep it for the rest of the game.
“They’re not at the level they were at last year, Liverpool.”
pambana Turin leo utoke kivingine sio tulivyokuzoea mechi mbili ushindi mechi tatu kipigo au draw...vs Bibi Kizee unapiga vz Manshit unapigwa...Liverpool ni sawa na gari ya mkaa, ukiiona mjini ujue inaelekea gereji