Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Fabinho kashaanza kuonyesha makali yake.. Sasa tuna mtu sahihi kwenye DM...

JH, that dude spends 90% of the time on the pitch fixing his armband and stroking his hair.. The rest of 10% spent on sideways and backward passes..!!!

James Pearce na Ian Doyle wapo Bize Kumtengezea Mazingira Henderson ya Kuhakikishisha Hawarm Bench.

Subiri Hendo Aanze Mazoezi Utakuja Kusikia "Fabinho Not yet kuwa Regular Player bado anahitaji Kujifunza".
 
Fabinho kashaanza kuonyesha makali yake.. Sasa tuna mtu sahihi kwenye DM...

JH, that dude spends 90% of the time on the pitch fixing his armband and stroking his hair.. The rest of 10% spent on sideways and backward passes..!!!
....hiyo ya armband nimecheka mpaka basii !
 
Yani mtu anawin 5/5 aerial duels √√√√√

Anacheza 9/12 tackles √√√√√√

Halafu anaekwa Bench na Mtu ambaye katika Career Yake Yote hakuwahi Hata kufikisha 4/12 tackles???? You are not serious Klopp.

Na Red Brigade?
Hiyo team ni trashest
Sio kipimo kama Fabihno ni mzuri
Hendo kathibitisha ubora wake ktk mechi ngumu
 
Nyie hatua hii mtafuzu maana "you are the champion guys" kazi kwa Napol
 
maaan!!! Fabinho is top class!!
Ox akirud sjuy anacheza wap kwnye attacking formation maana Gini is also outstanding

Klopp mara nyingi huwa anacheza na lone DM katikati..

lakini juzi kweye formation ya 4-2-3-1, kacheza na double pivot ya Gini na Faby, kama alivyosema Klopp kwenye his post-match presser kuwa 4-2-3-1 ni Fabinho's favourable formation.

so kama ataendelea na hiyo formation nadhani Gini will be safe, but Keita/Ox and sometimes shaqiri watakuwa rotated a lot kwenye false 10 role, but i'm pretty much sure Keita akisettle completely itakuwa ngumu sana kufanya rotation,,

Shaqiri hana tabu sana because anaweza kucheza pia kama RW so ana option nyigi sana kwenye team.

Ox nadhani atakuwa anaanza kila tutakapokuwa tunacheza na mfumo wa 4-3-3/4-4-2 kutokana na his ball-transitional abilities ambapo ni easy kuwa implemented kwenye free-flowing formation ya 4-3-3.
 
Ukimtaja Fabinho tu unanifanya Niende YouTube Nikarudie Kumuangalia Kwa Mara ya 11...
Dah! Huyu Jamaa Ni Mashine Kweli... 😀😀
Naamini James Pearce na Ian Doyle gonna die in vain ...

hahahaha

Ian Doyle gave him an 8/10

less than that, ingekuwa ni balaa hahaha
 
Fabinho kashaanza kuonyesha makali yake.. Sasa tuna mtu sahihi kwenye DM...

JH, that dude spends 90% of the time on the pitch fixing his armband and stroking his hair.. The rest of 10% spent on sideways and backward passes..!!!

LOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOL
 
Aliyekuwa kipa namba moja wa Liverpool Karius jana kabamizwa goli mbili matata sana na Tanzanian boy Samatta
Yaani waliokuwa huko europa viwango vyao sawa yule kipa alikuwa liver kimakosa tu, yaani karius, hazard, samatta, welbeck wote kapu moja tu
 
Man, remember when we cried about a young CB kwaajili ya kum-partner VVD, and surprisingly we had our very own Kid ambaye alikuwa anasubiri kupewa nafasi.

now, wakati tunajaribu kutafuta wingers, hasa back-up ya Mane (kama asipoondoka), ni wazi kuwa tunaye Harry Wilson, anahitai nafasi pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom