Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwenye timu yao ninawakubali wachezaji watatu tu: Matteo Gouendouzzi, Ozil na Ramsey

Ukiacha hao Arsenal wana Beki mbovu, Forward mbovu walau kwenye kiungo wapo vizuri
Hiyo beki mbovu unayoisema ,kila game inaimalika na mpaka sasa imeshakamilika, yupo bwana mdogo Holding,

Kiungo changu kuna white kante,

Hiyo forward yangu mbovu mpaka sasa ndio imescore magoli zaid yako,

Salah kashakuwa flop had msimu uishe atabak hivi hiv, na kwakiburi cha klopp ataendelea kumpanga daily, huku mnapoteza point
 
Kwenye timu yao ninawakubali wachezaji watatu tu: Matteo Gouendouzzi, Ozil na Ramsey

Ukiacha hao Arsenal wana Beki mbovu, Forward mbovu walau kwenye kiungo wapo vizuri
Wewe ndio umedhihirisha huielewi arsenal,

Kiungo cha arsenal kimeshikiliwa na toreira,

Guobdouzzi ana mpira wa akili sio wa kubattle, huyo ni zaid ya keita wa £50m.

Ramsey, ozil sio wabeba timu,

Sasa subir nov 3, ndio utaelewa,
 
Forward yako nzuri ina magoli mangapi kulinganisha na ya arsenal mpaka sasa?

Wewe jidanganye ,siutakuja emirates ngoja tuone,

Mm liva nilishai term kama timu ndogo sawa na kina swansea,timu gan toka 2011 huna taji lolote hata ngao ya hisani
Hivi wewe usiwatafutie watu dhambi hapa. Yani Liver uifananishe na timu ndogo alafu Arsenal ndo timu kubwa! Silly. Kwa kipi labda?
 
Forward yako nzuri ina magoli mangapi kulinganisha na ya arsenal mpaka sasa?

Wewe jidanganye ,siutakuja emirates ngoja tuone,

Mm liva nilishai term kama timu ndogo sawa na kina swansea,timu gan toka 2011 huna taji lolote hata ngao ya hisani


From Arsenal fan by the way

Arsenal ambayo UCL mafanikio yao ni kufika fainali
 
Forward yako nzuri ina magoli mangapi kulinganisha na ya arsenal mpaka sasa?

Wewe jidanganye ,siutakuja emirates ngoja tuone,

Mm liva nilishai term kama timu ndogo sawa na kina swansea,timu gan toka 2011 huna taji lolote hata ngao ya hisani


Magoli ya Lacazette? Lacazette alinunuliwa pauni milioni 50 sasa tafadhali naomba uniambie striker wenu huyu mliyenunua kwa pauni milioni hamsini msimu uliopita alifunga magoli mangapi
 
Wewe ndio umedhihirisha huielewi arsenal,

Kiungo cha arsenal kimeshikiliwa na toreira,

Guobdouzzi ana mpira wa akili sio wa kubattle, huyo ni zaid ya keita wa £50m.

Ramsey, ozil sio wabeba timu,

Sasa subir nov 3, ndio utaelewa,


Na wewe umejiaminisha kwamba utafua dafu?

Lah, unamtegemea Lacazette na Aubameyang mbele ya VVD na Trent?

Hivyo vitimu choka mbaya mlivyovioshea unafikiri ndio LFC?

Wewe mpaka sasa umecheza mechi kubwa mbili tu na zote ulizopigwa na kuonesha mlivyo low hao waliokupiga nimekutana nao na hawajanipiga
 
Hivi wewe usiwatafutie watu dhambi hapa. Yani Liver uifananishe na timu ndogo alafu Arsenal ndo timu kubwa! Silly. Kwa kipi labda?
Timu gan kubwa hata domestic cup kubeba imekuwa msala?

Hata astonivila alishakuwa mkubwa now ni mdogo,

Ndio maana nimekwambia nenda kwenye rank za UEFA kamuangalie liverpool yupo wapi, walishamuweka kund la wadogo,
 
Timu gan kubwa hata domestic cup kubeba imekuwa msala?

Hata astonivila alishakuwa mkubwa now ni mdogo,

Ndio maana nimekwambia nenda kwenye rank za UEFA kamuangalie liverpool yupo wapi, walishamuweka kund la wadogo,
Sawa the big club - Arsenal
 
Magoli ya Lacazette? Lacazette alinunuliwa pauni milioni 50 sasa tafadhali naomba uniambie striker wenu huyu mliyenunua kwa pauni milioni hamsini msimu uliopita alifunga magoli mangapi
Wewe ulitaka afunge mangapi?tuanzie hapo
 
Na wewe umejiaminisha kwamba utafua dafu?

Lah, unamtegemea Lacazette na Aubameyang mbele ya VVD na Trent?

Hivyo vitimu choka mbaya mlivyovioshea unafikiri ndio LFC?

Wewe mpaka sasa umecheza mechi kubwa mbili tu na zote ulizopigwa na kuonesha mlivyo low hao waliokupiga nimekutana nao na hawajanipiga
Acha kujichosha mzee. Kipofu kaona mwezi.
 
Hiyo tatizo
IMG_20181009_195225_300.jpg
 
Yaan wewe ulitaka afunge mangap?

Mpaka sasa unajua timu yako pale mbele hapaumi? Nakupa mech 5 mtapoteana humu.


Kijana nimekuuliza huyo Lacazette mliyemnunua pauni milioni 50 msimu uliopita alicheza msimu mzima na kufunga magoli mangapi? Yeye ni namba tisa

Kama huna hizo stats kichwani google basi urudi na jibu hapa
 
Kijana nimekuuliza huyo Lacazette mliyemnunua pauni milioni 50 msimu uliopita alicheza msimu mzima na kufunga magoli mangapi? Yeye ni namba tisa

Kama huna hizo stats kichwani google basi urudi na jibu hapa
Nimekuuliza wewe ulitaka afunge mangapi ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom