Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Kwakuwa huangalii mpira, hizo mech zote kacheza vzr, tatizo ndio alikuwa anaanza kuimpliment tactic zake, ambazo sasa hiv anatoa dozi tuMbona hakubadilika kwa city na chelsea?![]()
Kwakuwa huangalii mpira, hizo mech zote kacheza vzr, tatizo ndio alikuwa anaanza kuimpliment tactic zake, ambazo sasa hiv anatoa dozi tuMbona hakubadilika kwa city na chelsea?![]()
Hiyo beki mbovu unayoisema ,kila game inaimalika na mpaka sasa imeshakamilika, yupo bwana mdogo Holding,Kwenye timu yao ninawakubali wachezaji watatu tu: Matteo Gouendouzzi, Ozil na Ramsey
Ukiacha hao Arsenal wana Beki mbovu, Forward mbovu walau kwenye kiungo wapo vizuri
Wewe ndio umedhihirisha huielewi arsenal,Kwenye timu yao ninawakubali wachezaji watatu tu: Matteo Gouendouzzi, Ozil na Ramsey
Ukiacha hao Arsenal wana Beki mbovu, Forward mbovu walau kwenye kiungo wapo vizuri
Hivi wewe usiwatafutie watu dhambi hapa. Yani Liver uifananishe na timu ndogo alafu Arsenal ndo timu kubwa! Silly. Kwa kipi labda?Forward yako nzuri ina magoli mangapi kulinganisha na ya arsenal mpaka sasa?
Wewe jidanganye ,siutakuja emirates ngoja tuone,
Mm liva nilishai term kama timu ndogo sawa na kina swansea,timu gan toka 2011 huna taji lolote hata ngao ya hisani
Wewe wa ngap kwenye UEFA group?Soon utaibukia europa, Napol hawez kukuacha salama,the same ukienda kwa psg
Mpaka sasa kwenye grup ww ni wa 3
Forward yako nzuri ina magoli mangapi kulinganisha na ya arsenal mpaka sasa?
Wewe jidanganye ,siutakuja emirates ngoja tuone,
Mm liva nilishai term kama timu ndogo sawa na kina swansea,timu gan toka 2011 huna taji lolote hata ngao ya hisani
Forward yako nzuri ina magoli mangapi kulinganisha na ya arsenal mpaka sasa?
Wewe jidanganye ,siutakuja emirates ngoja tuone,
Mm liva nilishai term kama timu ndogo sawa na kina swansea,timu gan toka 2011 huna taji lolote hata ngao ya hisani
Wewe ndio umedhihirisha huielewi arsenal,
Kiungo cha arsenal kimeshikiliwa na toreira,
Guobdouzzi ana mpira wa akili sio wa kubattle, huyo ni zaid ya keita wa £50m.
Ramsey, ozil sio wabeba timu,
Sasa subir nov 3, ndio utaelewa,
Timu gan kubwa hata domestic cup kubeba imekuwa msala?Hivi wewe usiwatafutie watu dhambi hapa. Yani Liver uifananishe na timu ndogo alafu Arsenal ndo timu kubwa! Silly. Kwa kipi labda?
Sawa the big club - ArsenalTimu gan kubwa hata domestic cup kubeba imekuwa msala?
Hata astonivila alishakuwa mkubwa now ni mdogo,
Ndio maana nimekwambia nenda kwenye rank za UEFA kamuangalie liverpool yupo wapi, walishamuweka kund la wadogo,
Wewe ulitaka afunge mangapi?tuanzie hapoMagoli ya Lacazette? Lacazette alinunuliwa pauni milioni 50 sasa tafadhali naomba uniambie striker wenu huyu mliyenunua kwa pauni milioni hamsini msimu uliopita alifunga magoli mangapi
Acha kujichosha mzee. Kipofu kaona mwezi.Na wewe umejiaminisha kwamba utafua dafu?
Lah, unamtegemea Lacazette na Aubameyang mbele ya VVD na Trent?
Hivyo vitimu choka mbaya mlivyovioshea unafikiri ndio LFC?
Wewe mpaka sasa umecheza mechi kubwa mbili tu na zote ulizopigwa na kuonesha mlivyo low hao waliokupiga nimekutana nao na hawajanipiga
Hiyo tatizo
Yaan wewe ulitaka afunge mangap?Ungejibu kwanza tuendelee
Yaan wewe ulitaka afunge mangap?
Mpaka sasa unajua timu yako pale mbele hapaumi? Nakupa mech 5 mtapoteana humu.
Nimekuuliza wewe ulitaka afunge mangapi ?Kijana nimekuuliza huyo Lacazette mliyemnunua pauni milioni 50 msimu uliopita alicheza msimu mzima na kufunga magoli mangapi? Yeye ni namba tisa
Kama huna hizo stats kichwani google basi urudi na jibu hapa
HahahahahahahahahahahahahahahahaYaan wewe ulitaka afunge mangap?
Mpaka sasa unajua timu yako pale mbele hapaumi? Nakupa mech 5 mtapoteana humu.