Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Mkuu kwa hapa lazima atajirekebisha
Jana wote walizingua, kocha atalizungumzia, pia nadhani "players only" meeting inaweza kusaidia wao kwa wao kujadili hizo mambo za wao kuwania kufunga kila mmoja.
Siku tukidroo au kupigwa kwa makosa yao ndo akili zitawajia kama ilivyokuwa kwa AB.