Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

litaisha tu hili tatizo lao wawili

Hudhani kama Mane anaona wivu kwa jinsi Salah anavyokuwa praised?

Wakati sehemu kubwa yeye ndo injini kuu pale mbele?

Unakumbuka last year game tulitoka 1 - 1 na Chelsea Mane aliingia dakika ya 89? Na kuna mechi alikaa benchi mazima?

Mpaka sasa sina uhakika kama bifu lake na Klopp liliisha kabisa au Mane bado kaliweka ndo maana hata kagoma kusign.
 
.
Screenshot_2018-09-16-16-12-52.jpeg
 
Hudhani kama Mane anaona wivu kwa jinsi Salah anavyokuwa praised?

Wakati sehemu kubwa yeye ndo injini kuu pale mbele?

Unakumbuka last year game tulitoka 1 - 1 na Chelsea Mane aliingia dakika ya 89? Na kuna mechi alikaa benchi mazima?

Mpaka sasa sina uhakika kama bifu lake na Klopp liliisha kabisa au Mane bado kaliweka ndo maana hata kagoma kusign.
kama Mane akijiona yeye ni zaidi ya wengine ataodoka tu kama walivyoodoka Torrres, Surez, Coutino n.k
Hii ligi msimu huu ni ngumu kuliko hivyo nafasi za kufunga zikipatikana sio kuleta ubinafsi hata kidogo..
 
Mkuu Hayo unayozungumzia Wewe Ni Mawazo tu Ambayo Watu Wameyaibua Kumlinda Mane Lakini Ukweli Ni Kwamba Mane Pia Anapigia Mguu Wa Kushoto na Analenga Vizuri..
Hapo Ni Wazi Kuwa Alipitisha Uzembe Kwani Hata Salah Alikuwa Na Options Nyingi Kuliko Keita na Alikuwa Yuko Katika Position Nzuri Ya Kufunga Kuliko Keita ukiangalia Kuwa Keita Alikuwa Pembeni sana na Kipa Ameshalipunguza Goli.
kama uliangalia mechi vizuri baada ya Keita kukosa kufunga Klopp aliwaka balaa yaaani hakuelewa kwa nini muda ule aidha Mane apige mwenyewe au ampe Mo, naamini hii wataifanyie kazi lazima nafasi kama hizi magoli yapatikane, na pale Totenham wangefungwo ilkua wamekwisha...
Mane ipo shinda hua nikikumbuka gemu ya Everton na Westbrom msimu uliopita napata shinda kama hatatwangusha mbeleni huyu
 
Watu Wengi Tumemsakama Mane Kwa Selfishness Lakini Hili sio Tatizo la Mane Pekee! Bali Ni La Timu Yote Kwani Ukiiangalia Hii Video Utaona Wazi Kuwa Hata Salah Naye Alikuwa Na Nafasi Ya Kutoa Pasi lakini akatumia Ubinafsi na Kupoteza Mpira.

Kiukweli Kama utaiangalia Hii Video Utamuona Klopp Kakasirika Kupita Kiasi ambacho Hajawahi Kukasirika Kama Hivi.

 
Ukiiangalia Hiyo Video Yapili Hapo Chini Utamuona Na Gini jinsi alivyofanya Ubinafsi Wa Kutotoa Mpira Kwa Wenziwe na Tukapoteza Nafasi.

Ni wazi Kuwa Wachezaji Wetu Wanacheza Kwa Ajili ya Mtu Kufunga na Hawachezi Kwa Ajili ya Timu Kushinda.

 
Dah! Washabiki Wa Liverpool Kumbe Wanahasira Kweli!!!!

Kilichomkuta Mane Baada ya Kupost Instagram ilimbidi Haraka aifute Post Yake.

Mane 1.jpg
Mane 2.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom