Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,179
Klopp naona kayajaza hayo kwenye makabati ya Liverpool.Walianza na Carabao
Klopp naona kayajaza hayo kwenye makabati ya Liverpool.Walianza na Carabao
Klopp naona kayajaza hayo kwenye makabati ya Liverpool.
Mkuu fixture ipo. KaangalieMnakutana na nani mwezi May?
Toka klopp aingie liverfool kashinda makombe mangapi.?Klopp kashinda 2 Bundesleague titles
Huyo mvuta ugoro wenu kule Italy hata kombe la mbuzi hana
Then unaleta pumba hapa eti atashinda ndoo?
Labda ya maji
Toka klopp aingie liverfool kashinda makombe mangapi.?
Lfc ikishinda ni matatizo na ikifungwa ni matatizo piaKwan walioanza kushinda mataji walikuaje.? Acha pumba kijana
Usipanic bro. Relax. Anza kujibu swali langu kwanza.Toka aanze kazi ya ukocha Sarri ameshinda nini?
The answer is ZERO
Hata kombe la mbuzi hana
Labda kombe la uvutaji sigara na ugoro
Hawana lilijema kwaoLfc ikishinda ni matatizo na ikifungwa ni matatizo pia
Kwa mtu anaejua mpira na amecheza mpira hio incidence haitakiwi hata kumlalamikia mane.Leo Mashabiki Wa Liverpool Discussion Yao Kwenye Mitandao Ni Hii tu:
"The Mane-Salah rivalry if not properly addressed will cost LFC one day"
View attachment 867314
Wanasema Hapo Niwazi Kuwa Mane Hakumpa Salah Mpira Kwa Makusudi na Wala Si Bahati Mbaya.
Badala Yake Kampa Mpira Keita Aliyekwisha Kuelekewa na Mabeki Wawili Mbele Yake.
Kwa mtu anaejua mpira na amecheza mpira hio incidence haitakiwi hata kumlalamikia mane.
Mane anatumia mguu wa kulia na kwa hio position ilikua rahisi zaidi kumpa pass keita(kushoto kwake) kuliko kumpa pass salah ambayo ilibidi a turn kidgo mpira ndo atoe pass ya uhakika.
Pia kumpa pass keita kunampa options nyingi keita sababu alikua na space.angeweza kupiga kma alivyofanya na pia angeweza kuweka "V" kati mane na salah wakamalizia.
Vile vile toka move imeanza mindset ya mane ilikua nikumtafuta keita na ndo mana hata movement yake ilikua nikumtengenezea space keita ili amuekee ile pass.
Kwa hio ilo swala sidhani kma lipo serious ivo,mane hawezi kumnyima salah pass maksudi.team yoyote anayofundisha klopp inakua na bonding na chemistry nzuri kwa wachezaji.zile mid season camp za marabella huwa zinatengenezwa kwa dhumuni la ku bond wachezaji na kma ni mfatiliaji mzuri trent alishawahi kuhojiwa akasema huwa wanapangiwa mtu wa kulala nao.utakuta lovren hawezi pangiwa na bestie ake salah. Salah atapangiwa na mtu mwengine chumba kimoja ili wapate ku bond. Na wakiwa camp huwa wanaenda tizi na baiskeli sio kma hawa afford magari bali ni kujenga bond tu ya team.
I hope hii issue will be settled faster...
Usipanic bro. Relax. Anza kujibu swali langu kwanza.
Sarri hajawahi kushinda kombe lolote ila msimu huu anashinda. Naongeza tena swali. Huyo Klopp bado hajamaliza kazi ya ujenzi wa timu. Tunataka makombe sisi.
Usipanic bro. Relax. Anza kujibu swali langu kwanza.
Sarri hajawahi kushinda kombe lolote ila msimu huu anashinda. Naongeza tena swali. Huyo Klopp bado hajamaliza kazi ya ujenzi wa timu. Tunataka makombe sisi.
Kama anaweza kufunga magoli kwa mguu wa kushoto katika mazingira magumu, kwa nini ashindwe kutoa pasi kwa mguu wa kushoto?Kwa mtu anaejua mpira na amecheza mpira hio incidence haitakiwi hata kumlalamikia mane.
Mane anatumia mguu wa kulia na kwa hio position ilikua rahisi zaidi kumpa pass keita(kushoto kwake) kuliko kumpa pass salah ambayo ilibidi a turn kidgo mpira ndo atoe pass ya uhakika.
Pia kumpa pass keita kunampa options nyingi keita sababu alikua na space.angeweza kupiga kma alivyofanya na pia angeweza kuweka "V" kati mane na salah wakamalizia.
Vile vile toka move imeanza mindset ya mane ilikua nikumtafuta keita na ndo mana hata movement yake ilikua nikumtengenezea space keita ili amuekee ile pass.
Kwa hio ilo swala sidhani kma lipo serious ivo,mane hawezi kumnyima salah pass maksudi.team yoyote anayofundisha klopp inakua na bonding na chemistry nzuri kwa wachezaji.zile mid season camp za marabella huwa zinatengenezwa kwa dhumuni la ku bond wachezaji na kma ni mfatiliaji mzuri trent alishawahi kuhojiwa akasema huwa wanapangiwa mtu wa kulala nao.utakuta lovren hawezi pangiwa na bestie ake salah. Salah atapangiwa na mtu mwengine chumba kimoja ili wapate ku bond. Na wakiwa camp huwa wanaenda tizi na baiskeli sio kma hawa afford magari bali ni kujenga bond tu ya team.
Mkuu fixture ipo. Kaangalie
Miafrica ndio tulivyoKama anaweza kufunga magoli kwa mguu wa kushoto katika mazingira magumu, kwa nini ashindwe kutoa pasi kwa mguu wa kushoto?
Hii sio mara ya kwanza hawa jamaa kunyimana pasi.
Inawezekana Sallah alimtambia Manne kwa ufungaji bora last season.
Manne anamuoneshea.
Last season haikuwa hivi.
klopp aliona ile situation ya jana, ataifanyia kazi, firminho atakuwepo ile sio injury kubwaNaamin mane na salah watarud kwenye hali yao nzur hlf vp kuhucu firminho juma 4 tutakua nae ama vp?
Na kama ulimtazama Klopp baada ya lile tukio Camera ilimuonesha yeye mwenyewe alihamaki kilichotokea pale.klopp aliona ile situation ya jana, ataifanyia kazi, firminho atakuwepo ile sio injury kubwa